Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Afu Simara na Shunie mnaniudhi.
Njooni hata na I'd fake, unatupia picha kisha unasepa.

Afu ukute wanaume wanaobabaikiwa jukwaani, hata kuosha pummbu zao hawajui.
Chefuuuu....
[emoji23][emoji23][emoji23] kaangalieni kwenye uzi wa forex ule wa kwanza wakati wanaanza mafunzo walikua wanatuma labda wazitoe ila zilikuwepo.

Mimi nina ka ID kamoja tu haka haka
 
Nashangaa mkuu nawengine tunapenda toa pesa cash sio kwa mi mpesa wala tigo pesa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…