Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
haaaaaaaaaaahhh
Nasubiri summary.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haaaaaaaaaaahhh
Madame B njoo utoe summaryNasubiri summary.
Tayari nimesha kata balimi kama 6 hivi..[emoji12] [emoji12]Em kunywa soda apo kwa mangi ukimaliza ujilipie
[emoji23][emoji23][emoji23] kaangalieni kwenye uzi wa forex ule wa kwanza wakati wanaanza mafunzo walikua wanatuma labda wazitoe ila zilikuwepo.
Hututakii mema, tutafukuliwa makaburi kama yote[emoji23]Tunawasubiri wakuje [emoji16][emoji16][emoji16]
Niliziona hata mimi[emoji23][emoji23][emoji23] kaangalieni kwenye uzi wa forex ule wa kwanza wakati wanaanza mafunzo walikua wanatuma labda wazitoe ila zilikuwepo.
Mimi nina ka ID kamoja tu haka haka
Mimi ndiye bingwa wa salamu PM
Nadhani ulijionea aina ya watu wanaotusakama.Niliziona hata mimi
Niliziona hata mimi
Nashangaa mkuu nawengine tunapenda toa pesa cash sio kwa mi mpesa wala tigo pesa.....Mambo yalipofikia sio mazuri. Nadhani inahitajika busara ya ziada kufundishana na kuelekezena pasipo kubughudhiana na kutukanana.
Kina dada wa JF mnataka tufanye nini! tutafute mbinu zipi! Mnalalamika tukija PM ni salamu tu salamu tu hamna ya maana.
Sasa swali letu ni mnataka tukija tujadili nini! hali ya hewa! siasa za mashariki ya kati? au hurricane ya Amerika?
Unapotaka kumwambia mtu jambo unaanza na salamu kisha salamu za kina kidogo kisha lengo mahususi. Sasa nyie tumeshindwa kuwaelewa. Mtuambie mnatakaje nasi tufanye hivyo.
au pesa! nitatumaje tupesa twangu bila hata kujuliana hali! namba nitaipataje.
Nadhani ulijionea aina ya watu wanaotusakama.
mkuu nani kakukera leo naona sio kawaida yako.Ha ha ha ha
Hhhaaaa ndivyo walivyoNadhani ulijionea aina ya watu wanaotusakama.
Mkuu usichukulie serious nachangamsha genge tu.....kuna sehemu nipo navuta vuta muda na JF nisiboreke.mkuu nani kakukera leo naona sio kawaida yako.
basi ni jambo jema nilikuwa na wasiwasiMkuu usichukulie serious nachangamsha genge tu.....kuna sehemu nipo navuta vuta muda na JF nisiboreke.
Hapana kuwa na amani kabisa ndugu yangu.basi ni jambo jema nilikuwa na wasiwasi
😀😀😀😀😀😀 kwamba wana sura za humphrey polepole🙂🙂
nyie wafukunyuku
Nadhani ulijionea aina ya watu wanaotusakama.
Hahaha nyie si mnasema huwa hamuangalii suraa??Niliziona hata mimi
Kidogo nijisahau nikukumbushe mpira wa jana, wakati sio uzi wake.Hahaha nyie si mnasema huwa hamuangalii suraa??
poaHapana kuwa na amani kabisa ndugu yangu.
Basi kama kuna ambae unampatia, usitujumuishe wanawake wote kwa kosa la mwanamke mmoja aliyekutendaKuna ambae nampatia.