Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Huo mstali wa mwisho kwamba ndo unanianika hapa juani kijanja? Mungu anakuona ujue mbona mm sijasema chochote,[emoji23]
 
Mi naona unatakiwa ufanye hivi, unaingia PM, unatoa salamu unasema hivi "nipe namba ya wakala ukatoe pesa fasta" anakutumia labda mpesa 14733 jina litatokea mariam kideba, sawasawa, ikishaingia ndo anakutumia namba yake kwenye namba hiyo iliyotolea muamala, baaaas
 
Hahahahaaa. Njoo ufanye marudio mchumba

Mchumba haina marudio ii, labda kufanya updates.

Ila hili zoezi msilichukulie easy, hasa pale unapoona kabisa kama usipofanikiwa utakuwa umepoteza mbaya, kuna vile una approach ukiwa unasema liwalo na liwe hapo ndo rahisi.
 
JF women ni type nyingine ya hookers kumbe, km type za kisukari, wale wa road unaanza tu shin ngapi, hawa wa humu unaanza nao mbali msosi, wine, fudi, all that just to hit the [emoji78][emoji78], afu kutufanya tunatupa jiwe gizani sio fresh hatujui km tunalenga akina Shrek au Cinderella,
 
Mchumba haina marudio ii, labda kufanya updates.

Ila hili zoezi msilichukulie easy, hasa pale unapoona kabisa kama usipofanikiwa utakuwa umepoteza mbaya, kuna vile una approach ukiwa unasema liwalo na liwe hapo ndo rahisi.
Haaahhaa.
 
Nyie ni hookers tuu hamna lolote
 
[emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867]
It doesnt matter hoochie, cuz naweza nikatumia ID mpya nikakutumia cash kidogo ule na unywe wine na vocha kidogo just to hit that ish which am sure will do, and hutajua ni mimi so haina effect hiyo [emoji867], am just pointing the obvious [emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…