Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Hookers cant call me shit, i call them shit!
 
Hivi nyie mnajiona mnavyocomment au mnaona poapoa kwasababu wanaume wadhaifu kwenu,
 
Umenikumbusha Mbali, Kuna Mtumwa Mmoja wa Roma ya zamani anaitwa Publius of Syrus, Aliwahi Kusema Don't Find Happines in someones Sorrows!, unazidi kunivutia ase!
Kuna MTU akiona hii comment atasunya hatari. Usiandike hapa kuna mwanaume mwenzenu mmetuma aje atuseme kisa tunawadhalilisha atachukia kweli kweli
 
Kuna MTU akiona hii comment atasunya hatari. Usiandike hapa kuna mwanaume mwenzenu mmetuma aje atuseme kisa tunawadhalilisha atachukia kweli kweli
Aisee.. itakuwa business zake mwenyewe, sifahamiani na Mtu hapa JF.. sina wa kumtuma humu!
 
I aint bitter, its just you aint that boujee,
Utajibeba. Katafute hela wala kesho ukiona watu wanasemwa hawana hela hutakasirika Sana Sana utasema Hawa wanawake wanaona kisa hatutoi hatuna ila wewe unakasirika sababu hela huna sasa unahisi unadharaulika kumbe hamna hata aliewahi kukuomba hata 100 hivyo hatujui unayo au LA. Hizi hasira Ndo nimeelewa kaka uko teeee.
 
Nakuzingia bwana najua hamna wanaume wenye akili zao watakaemtuma MTU awasemee. Sema huo msemo huko juu nimeuelewa sana
Hahahaa.. i always Learn very new things nikiwa nimelewa kama hivi, Zamani ili uamuzi uonekane Bora wanaujadili watu wakiwa hawajalewa na kisha huujadili tena wakiwa wamelewa kisha uamuzi utaokubalika katika state zote Mbili Huchukuliwa kama uamuzi sahihi.. Hii inakuwaga Motivation yangu!
 
Hahahahaaa. Walevi kwa kupenda kupaisha busara za kinywaji bwana. Halafu Jana nimepita ubungo nikashangaa kuna Micasa na City pork Kama vile vya Tabata. Uko ya Ubungo au Tabata?
 
Hahahahaaa. Walevi kwa kupenda kupaisha busara za kinywaji bwana. Halafu Jana nimepita ubungo nikashangaa kuna Micasa na City pork Kama vile vya Tabata. Uko ya Ubungo au Tabata?
Ubungo, Mabibo Hapa.. Hahahaa wenye Busara zao walisema In Wine there is Wisdom!
 
Huwez jua km nnazo au sina, ila ni vizuri mmelitetea soko lenu vizuri,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…