Nelson Mwombeki
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 2,933
- 3,397
Hookers cant call me shit, i call them shit!Bwana usikasirike kisa haunaa hela. We tafuta utaitwa rijali. Mbona sisi hatuwatukani mkitiita wabaya? Tena kitu ambacho hatuwezi kukitoa. Wewe uvivu wako wa kutafuta pesa Ndo ukasirike?
Sawa Msemaji Wa Wanaume JF kawaambie na wanaume wenzio kina Dada wamesema tutafute pesa ili nisiwatukane tena wakiquestion urijali wangu kisa pesa.
Hivi nyie mnajiona mnavyocomment au mnaona poapoa kwasababu wanaume wadhaifu kwenu,nani anakuja act upon??,kila mtu humu ni mtu mzima,huna haja ya kumsemea yeyote… tatizo uko twisted kutoka nyumbani kwenu,either mama hayupo duniani na kama yupo haku play role yake well....umetokea toto Nunda usiyejua mwanamke ni mtu kama wewe anayehitaji heshima….ningekuona wa maana kama harakati zako za kutokomeza biashara,ungezifanya aridhini ….sio kututisha huku kwenye keyboard!
Hivi nyie mnajiona mnavyocomment au mnaona poapoa kwasababu wanaume wadhaifu kwenu,
Hata kama...ila yamefika sehemu yake.Preach
Kuna MTU akiona hii comment atasunya hatari. Usiandike hapa kuna mwanaume mwenzenu mmetuma aje atuseme kisa tunawadhalilisha atachukia kweli kweliUmenikumbusha Mbali, Kuna Mtumwa Mmoja wa Roma ya zamani anaitwa Publius of Syrus, Aliwahi Kusema Don't Find Happines in someones Sorrows!, unazidi kunivutia ase!
Pimp anamjuaga anaemuuza. Katufute hela uache kuwa bitterHookers cant call me shit, i call them shit!
Aisee.. itakuwa business zake mwenyewe, sifahamiani na Mtu hapa JF.. sina wa kumtuma humu!Kuna MTU akiona hii comment atasunya hatari. Usiandike hapa kuna mwanaume mwenzenu mmetuma aje atuseme kisa tunawadhalilisha atachukia kweli kweli
Nakuzingia bwana najua hamna wanaume wenye akili zao watakaemtuma MTU awasemee. Sema huo msemo huko juu nimeuelewa sanaAisee.. itakuwa business zake mwenyewe, sifahamiani na Mtu hapa JF.. sina wa kumtuma humu!
I aint bitter, its just you aint that boujee,Pimp anamjuaga anaemuuza. Katufute hela uache kuwa bitter
Akimaliza ameze vipande vya kioo ili asipate hasira tena maana atakua Hana uwezo wa kuingia hukupasua screen!,lol
Utajibeba. Katafute hela wala kesho ukiona watu wanasemwa hawana hela hutakasirika Sana Sana utasema Hawa wanawake wanaona kisa hatutoi hatuna ila wewe unakasirika sababu hela huna sasa unahisi unadharaulika kumbe hamna hata aliewahi kukuomba hata 100 hivyo hatujui unayo au LA. Hizi hasira Ndo nimeelewa kaka uko teeee.I aint bitter, its just you aint that boujee,
Hahahaa.. i always Learn very new things nikiwa nimelewa kama hivi, Zamani ili uamuzi uonekane Bora wanaujadili watu wakiwa hawajalewa na kisha huujadili tena wakiwa wamelewa kisha uamuzi utaokubalika katika state zote Mbili Huchukuliwa kama uamuzi sahihi.. Hii inakuwaga Motivation yangu!Nakuzingia bwana najua hamna wanaume wenye akili zao watakaemtuma MTU awasemee. Sema huo msemo huko juu nimeuelewa sana
Hahahahaaa. Walevi kwa kupenda kupaisha busara za kinywaji bwana. Halafu Jana nimepita ubungo nikashangaa kuna Micasa na City pork Kama vile vya Tabata. Uko ya Ubungo au Tabata?Hahahaa.. i always Learn very new things nikiwa nimelewa kama hivi, Zamani ili uamuzi uonekane Bora wanaujadili watu wakija hawajalewa na kisha huujadili tena wakiwa wamelewa kisha uamuzi utaokubalika katika state zote Mbili Huchukuliwa kama uamuzi sahihi.. Hii inakuwaga Motivation yangu!
Am cool with yall, mattafact i dont give a damn F who you sleep or lay with am just commenting on your remarks,Hata kama...ila yamefika sehemu yake.
Sio leo tu, kila siku nitayatoa
Ubungo, Mabibo Hapa.. Hahahaa wenye Busara zao walisema In Wine there is Wisdom!Hahahahaaa. Walevi kwa kupenda kupaisha busara za kinywaji bwana. Halafu Jana nimepita ubungo nikashangaa kuna Micasa na City pork Kama vile vya Tabata. Uko ya Ubungo au Tabata?
Huwez jua km nnazo au sina, ila ni vizuri mmelitetea soko lenu vizuri,Utajibeba. Katafute hela wala kesho ukiona watu wanasemwa hawana hela hutakasirika Sana Sana utasema Hawa wanawake wanaona kisa hatutoi hatuna ila wewe unakasirika sababu hela huna sasa unahisi unadharaulika kumbe hamna hata aliewahi kukuomba hata 100 hivyo hatujui unayo au LA. Hizi hasira Ndo nimeelewa kaka uko teeee.
In beer?? Ngoja nilale mkuu kesho nisije nikachelewa kwa bosi. Usiku mwemaUbungo, Mabibo Hapa.. Hahahaa wenye Busara zao walisema In Wine there is Wisdom!
Na tunalipenda na ukome kutuharibia biashara. Hatutumi kidude chako kufanyia biashara useme tutakumalizia. Utilize mshono watu wakitumia pesa na viungo vyaoHuwez jua km nnazo au sina, ila ni vizuri mmelitetea soko lenu vizuri,
Hahahaa usiku Mwema Mkuu, Asante kwa Company yako!In beer?? Ngoja nilale mkuu kesho nisije nikachelewa kwa bosi. Usiku mwema
HoochiesNa tunalipenda na ukome kutuharibia biashara. Hatutumi kidude chako kufanyia biashara useme tutakumalizia. Utilize mshono watu wakitumia pesa na viungo vyao