Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi waendelee kulalama tuNtaanzia wapi sasa. Maana midomo yao imejaa zege na wallet zao zimejaa makaratasi. Ukiona coins zinawekwa kwenye wallet basi ujue hali ishakuwa si khali...
Niangusage basiMi nasubiria uangukie kwangu ili liwe fundisho kwa madogo wa JF
Comment #735Wazee baba na Wazee mama hii hoja mmefikia wapi?
Naona uzi umekimbia kweli kweli. Kuna njia mpya katikati huko tusiendelee kuaibika.
Weka ushirikiano...Niangusage basi
BasiHuwa sirudi nyuma...niandikie hapa
Ukinuangusaga si Ndo ushirikiano wenyewe huo sasaWeka ushirikiano...
Wengine hamuangukagi sasa...Ukinuangusaga si Ndo ushirikiano wenyewe huo sasa
HahahahaaWengine hamuangukagi sasa...
Sijaona mchango wako hapaNipo mpenzi
Ha ha haaa daahKabla ya Yote wanataka uwaombe Radhi kuhusu Mgogoro wa Kiuchumi unaoendelea kati ya USA na UCHINA, kisha utake Radhi kwa mahusiano Mabovu kati ya Israel na Syria..