Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Daah aisee nilienda pm kwa demis nilijuta

Full kufukuliwa makaburi hata salamu skumaliza kuitoa vzur nishakula block

Demis mungu anakuona kwa ulivyonifanyia [emoji23] [emoji23] [emoji3]
hahaha
 
Wazee baba na Wazee mama hii hoja mmefikia wapi?

Naona uzi umekimbia kweli kweli. Kuna njia mpya katikati huko tusiendelee kuaibika.
 
Nimesoma comments zote mpka hapa nimetumia dk 2 na sekunde 39, ni hayo tu
 
Ntaanzia wapi sasa. Maana midomo yao imejaa zege na wallet zao zimejaa makaratasi. Ukiona coins zinawekwa kwenye wallet basi ujue hali ishakuwa si khali...
Basi waendelee kulalama tu
 
Back
Top Bottom