Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salamu gani za kufuatana pm!! Akinisalimia daby nikajibu niko poa nawr si umeona. Sasa "niambie" nayo salamu ya wapi? Nikikuambia konyo takuwà nimekosea?Muda nwingine tunawasalimu tu mkuu hatuhitaji mahusiano ya kimapenzi.
Unafuata PM kuonyesha umeguswa na kutaka kujua kashindaje na anaendeleaje.Salamu gani za kufuatana pm!! Akinisalimia daby nikajibu niko poa nawr si umeona. Sasa "niambie" nayo salamu ya wapi? Nikikuambia konyo takuwà nimekosea?
Ndio.Hapana... kwani salamu nayo yahitaji pesa?
Tusichoshane kwakweli.Unafuata PM kuonyesha umeguswa na kutaka kujua kashindaje na anaendeleaje.
Niambie ni salamu nzuri kbisa na haitii mimba.
Ndio jibu la hiyo salamu.Konyo ndiyo nini?
Haya.Acha nije nikutie nyingine basi
Mo ndio nani? Shaachana nae mie, am singo lede nakula raha za dunia.Naona siku hizi @Mo hafanyi kazi zake vizuri unatukosea heshima kaka zako.
Nani anakuharibu mdogo wangu?Panua pm basi
Ndo sitaki sasa.Sasa utatongozwaje tena kama hautaki salamu?
Salaam sio tatizo salimia mara moja basi lakini sio ukiingia ukitoka salaam eiiiish salaam mara 10 kwa siku
Si una ndg vijijini watumie salaam radio free africa au radio one
Achana na wasalaam kuna wale wa maswali maswali mengiii vipi upo, umekula nini, uko wapi eiiish nilivyo mvivu sasa