Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Muda nwingine tunawasalimu tu mkuu hatuhitaji mahusiano ya kimapenzi.
Salamu gani za kufuatana pm!! Akinisalimia daby nikajibu niko poa nawr si umeona. Sasa "niambie" nayo salamu ya wapi? Nikikuambia konyo takuwà nimekosea?
 
Salamu gani za kufuatana pm!! Akinisalimia daby nikajibu niko poa nawr si umeona. Sasa "niambie" nayo salamu ya wapi? Nikikuambia konyo takuwà nimekosea?
Unafuata PM kuonyesha umeguswa na kutaka kujua kashindaje na anaendeleaje.

Niambie ni salamu nzuri kbisa na haitii mimba.
 
Salamu gani za kufuatana pm!! Akinisalimia daby nikajibu niko poa nawr si umeona. Sasa "niambie" nayo salamu ya wapi? Nikikuambia konyo takuwà nimekosea?
Konyo ndiyo nini?
 
Unafuata PM kuonyesha umeguswa na kutaka kujua kashindaje na anaendeleaje.

Niambie ni salamu nzuri kbisa na haitii mimba.
Tusichoshane kwakweli.

Inatia hasira hiyo salamu acha tu.
 
Salaam sio tatizo salimia mara moja basi lakini sio ukiingia ukitoka salaam eiiiish salaam mara 10 kwa siku

Si una ndg vijijini watumie salaam radio free africa au radio one

Achana na wasalaam kuna wale wa maswali maswali mengiii vipi upo, umekula nini, uko wapi eiiish nilivyo mvivu sasa


Wewe ndie unaenifaa. Hata mimi sipendi maneno mengi. Nakuambia hitaji langu moja kwa moja.

Ila wanawake hamueleweki, nikija moja kwa moja unaona kama nimekudharau kukuelezea hisia zangu.
 
Back
Top Bottom