Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Nami nifundisheUmeshapata Jibu Juu ya Ufafanuzi uliokuwa unautafutia majibu?
Njoo Pm nikufundishe jinsi unavyotakiwa kusalimiana na wadada Pm....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nami nifundisheUmeshapata Jibu Juu ya Ufafanuzi uliokuwa unautafutia majibu?
Njoo Pm nikufundishe jinsi unavyotakiwa kusalimiana na wadada Pm....
Nadhani kuna mtu anakusaidia kutype leo.
Nami nifundishe
khaaah... wewe.
Halafu mbona mimi sikutaka ufafanuzi ulikuwa ujumbe chonganishi tu.
[emoji23] nimekumbk.sawa ngj nisubiriTukimaliza Lugha .....au umeshasahau?
[emoji23] nimekumbk.sawa ngj nisubiri
Pouwa .usichelew sasa darasaningj ngj bsi
Pouwa .usichelew sasa darasani
Pindi linaanz saa sita kamili
Malipo ulisema utalipa nini ?eehhh!
Ha Ha Ha[emoji23] huyo mkuu nimemchokoza mahali fulani leoSponsor Daby atarekebisha
Ha Ha Ha[emoji23] huyo mkuu nimemchokoza mahali fulani leo
Hawezi kulipa akijua mlipwaji ni mimi
Mwalimu ndio mimi nitAkufundisha hata bureBasi anitafutie mwalimu Mwingine
Huyu simpli...tena soon nitakunyima kufundishana naye.
Mwalimu ndio mimi nitAkufundisha hata bure
Kinachinishangaza mlume akisha gonga mzigo, salam mara 20 kwa siku na viswali uchwara kama upo? Vipi my? ndio inakuwa style yenu nyie wadada.Salaam sio tatizo salimia mara moja basi lakini sio ukiingia ukitoka salaam eiiiish salaam mara 10 kwa siku
Si una ndg vijijini watumie salaam radio free africa au radio one
Achana na wasalaam kuna wale wa maswali maswali mengiii vipi upo, umekula nini, uko wapi eiiish nilivyo mvivu sasa