Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Ha haa haaa aisee umejuaje! Last weekend tulikuwa Saadan tukitokea kipumbwi Pangani! Tunashukuru kwa ofa hiyo, hata hivyo niseme tu kuwa ile ofa ya kwanza inatosha na inaonesha heshima na upendo wenu kwetu. Tar tajwa tutakuwa Mkomazi mkuu.
CC: Thad
Hahahaha, safi Sana, nikiwa km mdhamini nawapa ofa ,Saadan National Park ,October 13-14 ,mkasheherekee Nyerere Day
 
Hahahaha, safi Sana, nikiwa km mdhamini nawapa ofa ,Saadan National Park ,October 13-14 ,mkasheherekee Nyerere Day
Ha haa haaa aisee umejuaje! Last weekend tulikuwa Saadan tukitokea kipumbwi Pangani! Tunashukuru kwa ofa hiyo, hata hivyo niseme tu kuwa ile ofa ya kwanza inatosha na inaonesha heshima na upendo wenu kwetu. Tar tajwa tutakuwa Mkomazi mkuu.
CC: Thad
Hii ndio raha ya kuwa na 'matured & responsible man' [emoji8]

Asante sana mtu chake, jiandaeni kwa harusi yetu itakayofanyika kabla ya kuisha kwa mwaka huu.
 
Shukrani mkuu Daby hii sredi nimefatilia kuanzia mwanzo mpaka hapa ilipofikia, nimepata kutambua true color ya baadhi ya memba wa kike humu Jamvini...



Kumbe sio badoo tu na jf wamo😃
 
Shukrani mkuu Daby hii sredi nimefatilia kuanzia mwanzo mpaka hapa ilipofikia, nimepata kutambua true color ya baadhi ya memba wa kike humu Jamvini...



Kumbe sio badoo tu na jf wamo[emoji2]
Hahahaha, Hahahaha ,hahahaha
 
Haya maswali ndio yananikimbiza hivi unaniuliza nimekula nawezaje ishi bila kula au nikikwambia sijala utanitumia hela ya kula
Shunie mambo?Jukwaa letu pendwa limepoa sana!
 
Duuh
 
Mmmh
 
Hahaha
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…