Hahahaha. . . yatakushinda baba wewe.nani? kale kajamaa ambako hakana mbele wala nyuma? nasikia hata chumba kafukuzwa hana hela ya kodi,ndo huyo? ama kweli mkataa pema.......
we usimsikilize Lizzy bana,hajanasa akanasika ndo mana anaongea hivo.Kama kumsoma nimemsoma kwenye hiyo thread ila sikuafiki."Binafsi siamini wala sioni ni kwa namna gani "kuolewa ni bahati". Kwangu mimi bahati ipo kwenye kumpata mtu ambae anaelewa nini maana ya ndoa na kuiheshimu ndoa yake, anaempenda mwenzi wake, anaemheshimu mwenzi wake pamoja na mawazo yake, anaemsikiliza mwenzake, anaejielewa na kujitahidi kumwelewa mwenzake, aliye tayari kujitoa kwa mwenzake, anaejua na kutimiza majukumu yake, anaejitahidi kumfurahisha mwenzake kwa maneno na matendo. Vivo hivyo kwa wanaume. . . . wenye bahati sio waliooa bali ni waliooa wanawake wenye sifa nilizotanguliza hapo juu.
Kuoa/kuolewa sio bahati hivyo usibahatishe" Lizzy
Hii nimeichukua kwny uzi wa Lizzy na ni kwa faida ya wale wooote ambao hawajaisoma na we Bishanga hebu rejea hapo!
mke wangu ana bahati sana aisee,vigezo vyote vya charming girl hapo juu bishanga navitimiza.Wewe Bishanga umeoa? Je una uhakika mai waifu wako ana bahati kuolewa na wewe na kwa vipi? Ukijibu hili utakuwa umeelewa kama kuolewa ni bahati au la.
na ku do?Bishanga mpango mzima kwenye dunia ya leo ni pesa,hayo mengine yanarekebishika studio,mume wa kazi gani zaidi ya kukusababishia mtikisiko wa ubongo?mara leo karudi na ndom yenye mchuzi,kesho kanishushia kipondo,kesho kutwa anarudi asubuhi tena akiwa kaibiwa everything na amelewa chakali! Sasa waume wa dizaini hii ndo wamejaa tele huko kwenye ndoa bahati itatoka wapi??
No thank you!
Mara mia kidogo. . .alafu hata hawanishtui. Nimenasa kwa nanii. . .mpaka ninasuke na wewe utakua ulishapata wa kukufilisi.mkataa pema PABAYA panamsubiri kwa mikono miwili.
Hivi mara ngapi kwa mwezi unakutana na njemba yenye mihela kama bishanga?
habari za jioni mama? unapika nini?
we usimsikilize Lizzy bana,hajanasa akanasika ndo mana anaongea hivo.Kama kumsoma nimemsoma kwenye hiyo thread ila sikuafiki.
Kuolewa ni bahati kama uko nyumbani unasubiri kuolewa,kama unakazi yako sidhani kama ni bahati manake huwi tegemezi kwa mume.
Bishanga mpango mzima kwenye dunia ya leo ni pesa,hayo mengine yanarekebishika studio,mume wa kazi gani zaidi ya kukusababishia mtikisiko wa ubongo?mara leo karudi na ndom yenye mchuzi,kesho kanishushia kipondo,kesho kutwa anarudi asubuhi tena akiwa kaibiwa everything na amelewa chakali! Sasa waume wa dizaini hii ndo wamejaa tele huko kwenye ndoa bahati itatoka wapi??
No thank you!
nimekosa nini tena shem wangu mpenzi,kwanza hata simu ulizima wewe.
...haswa kwa miaka hii kweli hawana budi kusema ivo. kwanza idadi ya wadada unaoweza kusema ni "wife material" imeshuka sana, pili umakini wa wanaume kutaka mke bora na wakusaidiana kimaisha umekua juu sana!...(kiufupi tumepanda bei gafla...lmao!)