KabisaaUkioa unaleta mtu ndani ya familia yenu ni vyema kama mzazi anayejali familia yake ajue mtu anayeingizwa katika familia yake kama ni sahihi, kuolewa ni kwenda nje na familia hivyo mama kama ana uhakika alimuandaa vyema binti yake ataenda kufaulu mitihani,nadhani nimeeleweka mkuu.
Fact kabisaIko hivyo kote aisee akina mama huwa hawajali sana binti anaolewa wapi, ila wanakuwa makini sana kujuchunguza kijana anakooa nadhani ni kwa sababu kijana anapooa analeta mtu mgeni kwenye familia kwa hiyo ni halali mtu kutaka kumjua memba huyu mpya. Wanawake wengine ni akina Yona akiingia tu chomboni bahari inachafuka.
HujakoseaWanawake wanajuana,yaan mama anamjua huyu mwanamke mzugaj,mdangaji,mkwel ama si mkwel....
Na hata sku1 usimbishie mama yako,sabab utakuja juta,akikwambia mwanangu huyu mwanamke hafai ujue hafai kwel.
Iko hivyo kote aisee akina mama huwa hawajali sana binti anaolewa wapi, ila wanakuwa makini sana kujuchunguza kijana anakooa nadhani ni kwa sababu kijana anapooa analeta mtu mgeni kwenye familia kwa hiyo ni halali mtu kutaka kumjua memba huyu mpya. Wanawake wengine ni akina Yona akiingia tu chomboni bahari inachafuka.
Kwanza bi mkubwa alionyesha wasi wasi halafu baadae akaja kumpenda? Labda ule wasiwasi wake wa mwanzo ulikua na maana kubwaKuna mdada niliwahi mpeleka nyumbani, akamkuta mama bi mkubwa akaanza kumuuliza vijimaswali vichache tu ndipo wakafikia kwenye kabila. Akamwambia mama yeye ni Mnyamwezi, mama akasema sawa
Yule binti alivyoondoka akaniuliza, huyu Mnyamwezi mtawezana kweli? Nikamwambia tutawezana, akaguna akajubu kinyonge, Haayah! Nikamuuliza vipi kwani, akanambia wacha.tusubiri tuone. Hakikupita kipindi kirefu binti aliniacha ingawa mama alikuwa anampenda mno
Lakini kina baba huwa wana compromise kwenye masuala haya. Anaweza akakwambia halafu akakuacha mwenyewe ufanye maamuzi. Na pengine kina baba hua wanaelezaga wasiwasi kutokana na maneno wanayopewa na mama zetu huko chumbaniMie naona ht kwa baba tu..baba akishamtilia mashaka mchumba wako bas jiweke pembeni tu..
Lakini kina baba huwa wana compromise kwenye masuala haya. Anaweza akakwambia halafu akakuacha mwenyewe ufanye maamuzi. Na pengine kina baba hua wanaelezaga wasiwasi kutokana na maneno wanayopewa na mama zetu huko chumbani
Ukiona baba kabebea bango sana ujue kuna information za uhakika kumuhusu mchumba anazifahamuπππ inategemea na aina ya baba...
Ukiona baba kabebea bango sana ujue kuna information za uhakika kumuhusu mchumba anazifahamu
Eti mdogo wako hajapata mchumba bado. Na huyo aliyekuwa anaongea naye vipi?Nilishawahi date demu mama aliongea nae kwenye simu tu one day video call.. Akamwambia sister mdogo wako hajapata bado mchumba... Mwezi tu baada ya huyo kauli tukaachana.. Demu ni tapeli tu
Tapeli Tu tuliachanaEti mdogo wako hajapata mchumba bado. Na huyo aliyekuwa anaongea naye vipi?
Uzuri wanafanya hayo yote for the best interest of their children, kwa hiyo japo saa zingine tunawalalamikia lakini wana haki ya kufanya hivyounadhan info bas??ni ule uzito wa neno mzaz..maana wazaz bwana wana macho ma3..imaginr men atoke simiyu huko.wazaz wawe let say ntwara hizo info nan anampa??ni vile mzaz anakua anajua hapa kuna chaka..hy ile posa tu barua ilivyoandika mzaz makini anajua hapa kuna zwazwa tu ...mm dingi angu alikaa na barua 1week ya kuleta posa kila.siku akawa anaiangalia..anaisoma...ila barua ya posa ya dadangu aliisoma.akasema rubbish na akatia ngumu hawatak.sie tukashikia kidedea....kweli hawakudumu wakaachana.. wazaz ni Mungu wa 2
Uzuri wanafanya hayo yote for the best interest of their children, kwa hiyo japo saa zingine tunawalalamikia lakini wana haki ya kufanya hivyo