MeruA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 1,390
- 2,148
Ukioa unaleta mtu ndani ya familia yenu ni vyema kama mzazi anayejali familia yake ajue mtu anayeingizwa katika familia yake kama ni sahihi, kuolewa ni kwenda nje na familia hivyo mama kama ana uhakika alimuandaa vyema binti yake ataenda kufaulu mitihani,nadhani nimeeleweka mkuu.