Changamoto za ndoa zimekuwa nyingi sana sababu ya kesi za ugumba.
Mume analalamika mkewe hashiki mimba kumbe kamuoa binti akiwa above 28 binti kashakula sana p2 huko nyuma. Kina Dr Mwaka wanapiga hela za ujanja ujanja na bado mimba hazipatikani
Kutumia Vidonge vya kuzuia mimba muda mrefu. Mabinti kuchelewa kuolewa sababu ya elimu na career vyote vyanzo vya matatizo.
Wamama wafundisheni mabinti kucheza na muda wa kila kitu vizuri
Matatizo mengi ya wanawake ni sababu ya kuchelewa kuolewa.
Maana kila mwanamke ana hisia na miwasho ya nyegez pia..
Ni uongo kusema binti atavumilia hiyo miwasho yake na hamu ya tendo la ndoa.. toka amevunja ungo mpaka anafika miaka 28 ama 30 ndipo aolewe.
Lazima hapo kati kati awe anafanya tendo. Na madhara yake ndio hayo.
Angeolewa mapema yasingetokea Maana huwezi toa mimba ya mume wako. Ama hawezi tumia hizo P2 kwa mumewe.
Anakuwa anatimiza haja zake za mwili bila kujiweka risk zozote
Mume analalamika mkewe hashiki mimba kumbe kamuoa binti akiwa above 28 binti kashakula sana p2 huko nyuma. Kina Dr Mwaka wanapiga hela za ujanja ujanja na bado mimba hazipatikani
Kutumia Vidonge vya kuzuia mimba muda mrefu. Mabinti kuchelewa kuolewa sababu ya elimu na career vyote vyanzo vya matatizo.
Wamama wafundisheni mabinti kucheza na muda wa kila kitu vizuri
Matatizo mengi ya wanawake ni sababu ya kuchelewa kuolewa.
Maana kila mwanamke ana hisia na miwasho ya nyegez pia..
Ni uongo kusema binti atavumilia hiyo miwasho yake na hamu ya tendo la ndoa.. toka amevunja ungo mpaka anafika miaka 28 ama 30 ndipo aolewe.
Lazima hapo kati kati awe anafanya tendo. Na madhara yake ndio hayo.
Angeolewa mapema yasingetokea Maana huwezi toa mimba ya mume wako. Ama hawezi tumia hizo P2 kwa mumewe.
Anakuwa anatimiza haja zake za mwili bila kujiweka risk zozote