chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
hahaa, hili la Mangi naona almost ndio limeshatoholewa na kuwa neno la maduka ya rejareja, maana naonaga hata kwenye matangazo radion na kwenye tv wanatumia eti kwa Mangi wakimaanisha maduka ya rejarejaNatumaini neno "Mangi" ni wafanya biashara na siyo swala la ukabila?!
Tumeipenda thread yako tatizo ni hilo la "Umangi"...