Kina Mwigulu watamfanya Mama kuharibikiwa

Kina Mwigulu watamfanya Mama kuharibikiwa

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Mama Samia alianza vyema. Kama ilivyo ada stahiki zake tukampa.

Sasa kazungukwa na genge la walamba asali wenye kujali maslahi yao. Wako tayari kuchakachua hata kura za maoni eti kuonekana kuwa tulio wengi tunaridhika kiroho safi na kulipa tozo. Maajabu ya Mussa!



Uhalali wa tozo hizi au hata hao wapiga chapuo wake uko wapi?

Mama anapoendelea kuwasikiliza na kuwapa promo watu hawa, asisahau kujiandaa kupokea mrejesho wa kuwa rais wa hovyo kupata kutokea, atakapokuwa nje ya madaraka.

Walikuwapo kina mawe hapa washupavu kweli kweli legacy zao leo, ziko wapi?
 
Hii nchi bado watu ni wajinga sana ( ujinga siyo tusi) kama huyu mleta mada hata inaelekea hajui nchi inaendeshwaje, hivi Mwigulu ni nani nchi hii hadi abebe lawama zote hizo?
 
Hii nchi bado watu ni wajinga sana ( ujinga siyo tusi) kama huyu mleta mada hata inaelekea hajui nchi inaendeshwaje, hivi Mwigulu ni nani nchi hii hadi abebe lawama zote hizo?
MWIGULU MWENYE USHAHIDI DHIDI YA RWAKATARE RAIS WA MAWE MJIVUNI ASIYE NA EXPOSURE
 
Ina onesha kwa watu wengi wa nchi hii uwelewa bado n mdogo.

Huwezi kumlaumu Mwigulu, January au Nape kwa haya yanayoendelea..

Wakulaumiwa ni Samia mwenyewe, sababu yeye ndie mwenye maamuzi ya mwisho..

Kama angekua yuko tofauti na kina Mwingulu basi angechukua hatua kuwaondoa au la hata kulikaripia jambo hili.

Kukaa kwake kimya katika tatizo hili la kuongezeka kwa gharama za maisha ni JIBU tosha anabariki huu ujinga..

Kina mwigulu ni ming'ombe tu, orchestrator ni Samia mwenyewe.
 
Hii nchi bado watu ni wajinga sana ( ujinga siyo tusi) kama huyu mleta mada hata inaelekea hajui nchi inaendeshwaje, hivi Mwigulu ni nani nchi hii hadi abebe lawama zote hizo?

Ujinga si nao ni relative? Tena ujinga si ni kama manyani na mak*ndu yao? Basi kwenye majinga wewe ndiyo baba lao sasa. Huna ujualo chawa uchwara wee!

Bure kabisa!
 
Sisi tunavyo fikiri na kuwaza sivyo wao wanavyo shirikiana kupeana mawazo ili nchi ipige hatua na isonge mbele.
Haya kuna malipo tena ya wapangaji kulipa 10% ya kodi wanayolipa,TZ ina wakazi wangapi wamepanga.

TUTAELEWANA KIDOGO KIDOGO
 
Sisi tunavyo fikiri na kuwaza sivyo wao wanavyo shirikiana kupeana mawazo ili nchi ipige hatua na isonge mbele.
Haya kuna malipo tena ya wapangaji kulipa 10% ya kodi wanayolipa,TZ ina wakazi wangapi wamepanga.

TUTAELEWANA KIDOGO KIDOGO

Tangu lini walamba asali kuwaza kwa maslahi yetu kweli? "Aaah wapi!" -- Diamundo.
 
Ujinga si nao ni relative? Tena ujinga si ni kama manyani na mak*ndu yao? Basi sasa kwenye majinga wewe ndiyo baba lao sasa. Huna ujualo chawa uchwara wee!

Bure kabisa!

Unamlaumu Muhudumu anayetekeleza maagizo ya Bosi wake? Ulitaka Waziri afanye nini kama anaagizwa fanya xyz na Bosi wake? Ulitaka akataye? Kwa nini Mwigulu hakufanya hivi alivyokuwa chini ya Magufuli hata kama aliongoza Wizara nyingine?

Kama unaona mambo hayaendi sawa lawama peleka kwa raisi wa nchi na siyo Waziri, Waziri anatekeleza tu, Waziri wa Tanzania hana power yoyote ile, power yote ipo kwa raisi wa nchi!
 
Unamlaumu Muhudumu anayetekeleza maagizo ya Bosi? Ulitaka Waziri afanye nini kama anaambiwa fanya xyz na Bosi wake? Ulitaka akataye? Kwa nini Mwigulu hakufanya hivi alivyokuwa chini ya Magufuli hata kama aliongoza Wizara nyingine?

Kama unaona mambo hayaendi sawa lawama peleka kwa raisi wa nchi na siyo Waziri, Waziri anatekeleza tu, Waziri wa Tanzania hana power yoyote ile isipokuwa raisi wa nchi!

Mimi huyo? Karibu Tahrir mjomba:

Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir.

Wenzio tuko huku. Unafanya nini huko kusikokuwa na majibu?

Walamba asali wote na chawa wao tofauti baina yao itoke wapi au iwe na umuhimu gani kwetu?

Kwetu sisi hao "Wote maji ya nyanja!" --JKN

Habari ndiyo hiyo.
 
Ina onesha kwa watu wengi wa nchi hii uwelewa bado n mdogo.

Huwezi kumlaumu Mwigulu, January au Nape kwa haya yanayoendelea..

Wakulaumiwa ni Samia mwenyewe, sababu yeye ndie mwenye maamuzi ya mwisho..

Kama angekua yuko tofauti na kina Mwingulu basi angechukua hatua kuwaondoa au la hata kulikaripia jambo hili.

Kukaa kwake kimya katika tatizo hili la kuongezeka kwa gharama za maisha ni JIBU tosha anabariki huu ujinga..

Kina mwigulu ni ming'ombe tu, orchestrator ni Samia mwenyewe.
Nakuunga mkono,Magufuli alipoingia madarakani alishauriwa umeme uongezwe bei ila aliachakata na akakataa had leo hii umeme upo bei ile ile.Ila nawaambia muda c mrefu huu umeme upo bei juu.Ukiwa boss ukishauriwa na watu wako wa chini kama huwez kupima huo ushauri na kutoa mawazo chanya kwa wanamchi wako maana yake ww hutoshi......
 
Nakuunga mkono,Magufuli alipoingia madarakani alishauriwa umeme uongezwe bei ila aliachakata na akakataa had leo hii umeme upo bei ile ile.Ila nawaambia muda c mrefu huu umeme upo bei juu.Ukiwa boss ukishauriwa na watu wako wa chini kama huwez kupima huo ushauri na kutoa mawazo chanya kwa wanamchi wako maana yake ww hutoshi......

Nisiache kukazia:

"Walikuwapo kina mawe hapa washupavu kweli kweli legacy zao leo, ziko wapi?"

Tunahitaji misingi imara:

Alisema J. J. Rawlings (rip):

"Ni lazima ifikie pale ambapo hata kama shweitani atakuwa ndiye mtawala (rais), itakuwa ni lazima afanye kile ambacho Waghana (wananchi) wanataka na wala siyo kile ambacho yeye shweitani na genge lake wanataka."


Upinzani, Aluta Continua! Ni lazima kupigania kupata haki, uhuru na maendeleo japo haitakuwa rahisi
 
Kila mtu anataka siti ya mama 2025. Mwigulu Nchemba ndio anaonesha dhahiri kabisa.

Acha aendelee kumgombanisha Mama Samia na wananchi.
Sasa kama mnaamini tozo ni za Mwigulu bado mtamchagua hiyo 2025 akigombea? Mtakuwa watu wa ajabu kabisa.
 
Back
Top Bottom