mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
as long as dhalimu ameondoka,lawama zote apewe yeye sisi tuendelee kula raha na asali kwa amani.
awiiiiiiiiiiiiiiiii.
wewe ndugu yangu mnafiki sana,na kwa sababu hiyo nikwambie unaiokosea sana nafsi yako.
kwa magufuli mlimini n kuhubiri kwamba yeye ndiye msemaji wa mwisho,kwa mama mnasema anashauriwa au anaharibiwa makusudi.
awiiiiiiiiiiiiiiiii.
wewe ndugu yangu mnafiki sana,na kwa sababu hiyo nikwambie unaiokosea sana nafsi yako.
kwa magufuli mlimini n kuhubiri kwamba yeye ndiye msemaji wa mwisho,kwa mama mnasema anashauriwa au anaharibiwa makusudi.