Kina Mwigulu watamfanya Mama kuharibikiwa

Kina Mwigulu watamfanya Mama kuharibikiwa

Hii inchi ina watu wajinga sana no wonder haibadiliki. Jitu linamtetea mwigulu huyu aliyeibukia chombo flani cha TV juzi hapa akisema asiyetaka kulipa tozo ahamie burundi!
 
Sasa kama mnaamini tozo ni za Mwigulu bado mtamchagua hiyo 2025 akigombea? Mtakuwa watu wa ajabu kabisa.

Kwani huwa wanachaguliwa basi? Mwendo si ni ule ule wa kawaida wa kutangazana kama fadhila za kupeana ulaji ki Mahela Mahela tu?
 
Kwani huwa wanachaguliwa basi? Mwendo si ni ule ule wa kawaida wa kutangazana kama fadhila za kupeana ulaji ki Mahela Mahela tu?
Sahihi kabisa. Imefikia hatua wenye akili timamu hawahangaikagi kupanga foleni siku ya kupiga kura.
 
Mama Samia alianza vyema. Kama ilivyo ada stahiki zake tukampa.

Sasa kazungukwa na genge la walamba asali wenye kujali maslahi yao. Wako tayari kuchakachua hata kura za maoni eti kuonekana kuwa tulio wengi tunaridhika kiroho safi na kulipa tozo. Maajabu ya Mussa!

View attachment 2334562

Uhalali wa tozo hizi au hata hao wapiga chapuo wake uko wapi?

Mama anapoendelea kuwasikiliza na kuwapa promo watu hawa, asisahau kujiandaa kupokea mrejesho wa kuwa rais wa hovyo kupata kutokea, atakapokuwa nje ya madaraka.

Walikuwapo kina mawe hapa washupavu kweli kweli legacy zao leo, ziko wapi?
Samia hayuko hapa kukufurahisha weww bali kuleta maendeleo,subirieni Rais wa Maigizo ndio mje mchekeane..
 
Hii nchi bado watu ni wajinga sana ( ujinga siyo tusi) kama huyu mleta mada hata inaelekea hajui nchi inaendeshwaje, hivi Mwigulu ni nani nchi hii hadi abebe lawama zote hizo?
Nilishawahi kuandika hapa.

Kuwa wanaomzunguka wanaongea lugha moja ambayo haifahamu.

Watamburuza mno.
 
Mama nae aamke sasa asisubiri kuharibikiwa, vinginevyo ikitokea hivyo atakuwa amejitakia mwenyewe asijemlaumu mtu.
 
Nilishawahi kuandika hapa.

Kuwa wanaomzunguka wanaongea lugha moja ambayo haifahamu.

Watamburuza mno.

Siyo lugha asiyoifahamu tu mkuu. Haka ka picha nako yawezekana kana ukweli kakutosha tu:

IMG_20220820_172058_204.jpg


Si wanasema zilongwa mbali?
 
Mama nae aamke sasa asisubiri kuharibikiwa, vinginevyo ikitokea hivyo atakuwa amejitakia mwenyewe asijemlaumu mtu.

Hapa ndipo kwenye lile sikio letu pendwa. Halijawahi kumwacha mjinga mjinga salama.
 
Kama Madelu shida ni urais akiamini kwenye mkwanja amuulize mwenzie EL yaliyomkuta pale dodoma na hela zake + connection.

Kijana hana network inayoweza kumpa urais achilia mbali hela, labda wenye maamuzi yao wamkubali na kumtakasa. Bahati mbaya sana wenye maamuzi yao walishamtumia hapo nyuma, they know him very well.
 
Kama Madelu shida ni urais akiamini kwenye mkwanja amuulize mwenzie EL yaliyomkuta pale dodoma na hela zake + connection.

Kijana hana network inayoweza kumpa urais achilia mbali hela, labda wenye maamuzi yao wamkubali na kumtakasa. Bahati mbaya sana wenye maamuzi yao walishamtumia hapo nyuma, they know him very well.

Hii dhana ya "wenye maamuzi yao" ni potofu. Ndiyo maana tunaishia kupata makapi. Kwanini watu wote wenye kujidhania kuwa wanafaa wasishindanishwe wote kwa uwazi? Kwanini wenye maamuzi wasiwe wapiga kura?

Hapa ndipo mapinduzi yanahitajika na hii ni across the board:

Muda wa mapinduzi vyamani ni sasa
 
Hamna Yule juu Hana cha kupoteza. Anawasikiliza nyie wenye nchi yenu. Hata mkisema aondoke Leo anaondoka.

Tatizo ni wahuni waliomzunguka wanamwingiza chaka Ile baya msoga family siyo poa kabisa.
Acheni kumtetea yeye ndo mwenye mamlaka ya nchi, kwann mnasingizi watu wengine?

Hii kauli ya khsingizia watu wengine wakati yeye ndo mwenye mamlaka ni kis**ge sana
 
Nilishawahi kuandika hapa.

Kuwa wanaomzunguka wanaongea lugha moja ambayo haifahamu.

Watamburuza mno.
Acha upuuzi ww watamburuza vp? Yeye ndo anawatuma kufanya huo upuuz ndiomaana yupo kimya
 
Ujinga si nao ni relative? Tena ujinga si ni kama manyani na mak*ndu yao? Basi kwenye majinga wewe ndiyo baba lao sasa. Huna ujualo chawa uchwara wee!

Bure kabisa!
Tujibizane kwa hoja tafadhari matusi, kejeli hazitujengi, tusiambizane maneno makali!
 
Tujibizane kwa hoja tafadhari matusi, kejeli hazitujengi, tusiambizane maneno makali!

Jinafasi kufahamu matusi na kejeli zilikoanzia. Nikadhani ungemwambia hayo muasisi mwenyewe. Kwa maana miye nimejibu mapigo tu kama yalivyokuja na kwa maneno yake yale yale:

IMG_20220825_224024_643.jpg


Au ulipenda nimshangilie tu huyu ndugu mjumbe?
 
Acheni kumtetea yeye ndo mwenye mamlaka ya nchi, kwann mnasingizi watu wengine?

Hii kauli ya khsingizia watu wengine wakati yeye ndo mwenye mamlaka ni kis**ge sana
Yule kawekwa tu hujui Hili wala lile. Hata mkimwacha aamue yeye hakuna lolote.

Kiufupi kashikiwa tochi. Wamlikaji wanakoelekea ndo anafuata
 
Back
Top Bottom