Hamna Yule juu Hana cha kupoteza. Anawasikiliza nyie wenye nchi yenu. Hata mkisema aondoke Leo anaondoka.Mnamuonea Mwigulu bure!
Haya yanayotokea ni sababu ya yule pale juu. Ndio akili yake ilipoishia
MWIGULU MWENYE USHAHIDI DHIDI YA RWAKATARE RAIS WA MAWE MJIVUNI ASIYE NA EXPOSUREHii nchi bado watu ni wajinga sana ( ujinga siyo tusi) kama huyu mleta mada hata inaelekea hajui nchi inaendeshwaje, hivi Mwigulu ni nani nchi hii hadi abebe lawama zote hizo?
pityKila mtu anataka siti ya mama 2025. Mwigulu Nchemba ndio anaonesha dhahiri kabisa.
Acha aendelee kumgombanisha Mama Samia na wananchi.
Hii nchi bado watu ni wajinga sana ( ujinga siyo tusi) kama huyu mleta mada hata inaelekea hajui nchi inaendeshwaje, hivi Mwigulu ni nani nchi hii hadi abebe lawama zote hizo?
Sisi tunavyo fikiri na kuwaza sivyo wao wanavyo shirikiana kupeana mawazo ili nchi ipige hatua na isonge mbele.
Haya kuna malipo tena ya wapangaji kulipa 10% ya kodi wanayolipa,TZ ina wakazi wangapi wamepanga.
TUTAELEWANA KIDOGO KIDOGO
Ujinga si nao ni relative? Tena ujinga si ni kama manyani na mak*ndu yao? Basi sasa kwenye majinga wewe ndiyo baba lao sasa. Huna ujualo chawa uchwara wee!
Bure kabisa!
Unamlaumu Muhudumu anayetekeleza maagizo ya Bosi? Ulitaka Waziri afanye nini kama anaambiwa fanya xyz na Bosi wake? Ulitaka akataye? Kwa nini Mwigulu hakufanya hivi alivyokuwa chini ya Magufuli hata kama aliongoza Wizara nyingine?
Kama unaona mambo hayaendi sawa lawama peleka kwa raisi wa nchi na siyo Waziri, Waziri anatekeleza tu, Waziri wa Tanzania hana power yoyote ile isipokuwa raisi wa nchi!
Nakuunga mkono,Magufuli alipoingia madarakani alishauriwa umeme uongezwe bei ila aliachakata na akakataa had leo hii umeme upo bei ile ile.Ila nawaambia muda c mrefu huu umeme upo bei juu.Ukiwa boss ukishauriwa na watu wako wa chini kama huwez kupima huo ushauri na kutoa mawazo chanya kwa wanamchi wako maana yake ww hutoshi......Ina onesha kwa watu wengi wa nchi hii uwelewa bado n mdogo.
Huwezi kumlaumu Mwigulu, January au Nape kwa haya yanayoendelea..
Wakulaumiwa ni Samia mwenyewe, sababu yeye ndie mwenye maamuzi ya mwisho..
Kama angekua yuko tofauti na kina Mwingulu basi angechukua hatua kuwaondoa au la hata kulikaripia jambo hili.
Kukaa kwake kimya katika tatizo hili la kuongezeka kwa gharama za maisha ni JIBU tosha anabariki huu ujinga..
Kina mwigulu ni ming'ombe tu, orchestrator ni Samia mwenyewe.
Nakuunga mkono,Magufuli alipoingia madarakani alishauriwa umeme uongezwe bei ila aliachakata na akakataa had leo hii umeme upo bei ile ile.Ila nawaambia muda c mrefu huu umeme upo bei juu.Ukiwa boss ukishauriwa na watu wako wa chini kama huwez kupima huo ushauri na kutoa mawazo chanya kwa wanamchi wako maana yake ww hutoshi......
Mambo kwisha haribika
Kitambo
Sasa kama mnaamini tozo ni za Mwigulu bado mtamchagua hiyo 2025 akigombea? Mtakuwa watu wa ajabu kabisa.Kila mtu anataka siti ya mama 2025. Mwigulu Nchemba ndio anaonesha dhahiri kabisa.
Acha aendelee kumgombanisha Mama Samia na wananchi.