Wakati mwingine unashindwa umlaumu nani, mama hawezi kuona hili au kuna jambo juu ya hili.Mama Samia alianza vyema. Kama ilivyo ada stahiki zake tukampa.
Sasa kazungukwa na genge la walamba asali wenye kujali maslahi yao. Wako tayari kuchakachua hata kura za maoni eti kuonekana kuwa tulio wengi tunaridhika kiroho safi na kulipa tozo. Maajabu ya Mussa!
View attachment 2334562
Uhalali wa tozo hizi au hata hao wapiga chapuo wake uko wapi?
Mama anapoendelea kuwasikiliza na kuwapa promo watu hawa, asisahau kujiandaa kupokea mrejesho wa kuwa rais wa hovyo kupata kutokea, atakapokuwa nje ya madaraka.
Walikuwapo kina mawe hapa washupavu kweli kweli legacy zao leo, ziko wapi?
SA100 hana sifa hata moja ya kuwa Rais ...ukisikia rais aliye okotwa jalalani ndiyo huyu.kwake uzalendo ni mafiiMama Samia alianza vyema. Kama ilivyo ada stahiki zake tukampa.
Sasa kazungukwa na genge la walamba asali wenye kujali maslahi yao. Wako tayari kuchakachua hata kura za maoni eti kuonekana kuwa tulio wengi tunaridhika kiroho safi na kulipa tozo. Maajabu ya Mussa!
View attachment 2334562
Uhalali wa tozo hizi au hata hao wapiga chapuo wake uko wapi?
Mama anapoendelea kuwasikiliza na kuwapa promo watu hawa, asisahau kujiandaa kupokea mrejesho wa kuwa rais wa hovyo kupata kutokea, atakapokuwa nje ya madaraka.
Walikuwapo kina mawe hapa washupavu kweli kweli legacy zao leo, ziko wapi?
Nakuunga mkono na hakuna sababu yakumumunya maneno wakati hsli iko wazi inaonekana.sirikali nzima imeshindwa imebaki kuokoteza tu vitu vidogo vidogo visivyoleta suluhisho lakudumu la changamoto za hii nchi.Ina onesha kwa watu wengi wa nchi hii uwelewa bado n mdogo.
Huwezi kumlaumu Mwigulu, January au Nape kwa haya yanayoendelea..
Wakulaumiwa ni Samia mwenyewe, sababu yeye ndie mwenye maamuzi ya mwisho..
Kama angekua yuko tofauti na kina Mwingulu basi angechukua hatua kuwaondoa au la hata kulikaripia jambo hili.
Kukaa kwake kimya katika tatizo hili la kuongezeka kwa gharama za maisha ni JIBU tosha anabariki huu ujinga..
Kina mwigulu ni ming'ombe tu, orchestrator ni Samia mwenyewe.
Jinafasi kufahamu matusi na kejeli zilikoanzia. Nikadhani ungemwambia hayo muasisi mwenyewe. Kwa maana miye nimejibu mapigo tu kama yalivyokuja na kwa maneno yake yale yale:
View attachment 2334959
waziri wa fedha ana dhamana kubwa sana ktk kushauri mambo haya ya fedha! Ila anaonekana yeye binafsi ndio chanzo cha maujinga yote haya!