Kinachodaiwa kuwa mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo ni mazingaombwe yaliyotengenezwa kumngo'a mkuu wa TRA Kidata

Kinachodaiwa kuwa mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo ni mazingaombwe yaliyotengenezwa kumngo'a mkuu wa TRA Kidata

The Supreme Conqueror

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2017
Posts
458
Reaction score
1,280
Jana zilisambaa taarifa kwamba wafanyabaishara wa soko la Kariakoo wataanza mgomo usio na kikomo kuanzia Jumatatu Juni 24.

Kinachodaiwa kuwa mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo ni mazingaombwe yaliyotengenezwa pia Kuna Waziri Mwandamizi anahusishwa katika mgomo huo kutokana na kile kinachodaiwa kuwa kutokuwa na maelewano mazuri na baadhi ya vigogo Serikalini na pia kufanyiwa hujuma na baadhi ya Watendaji wake wa chini wenye ushirika na Wafanyabiashara na vigogo Serikalini ili kumuharibia kwa Rais na kuletwa mwingine wanayemtaka wao.
 

Attachments

  • Screenshot_20240623-110725.png
    Screenshot_20240623-110725.png
    251.6 KB · Views: 6
  • Screenshot_20240623-110801.png
    Screenshot_20240623-110801.png
    487 KB · Views: 7
  • Screenshot_20240623-110745.png
    Screenshot_20240623-110745.png
    463.7 KB · Views: 4
Jana zilisambaa taarifa kwamba wafanyabaishara wa soko la Kariakoo wataanza mgomo usio na kikomo kuanzia Jumatatu Juni 24.

Kinachodaiwa kuwa mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo ni mazingaombwe yaliyotengenezwa pia Kuna Waziri Mwandamizi anahusishwa katika mgomo huo kutokana na kile kinachodaiwa kuwa kutokuwa na maelewano mazuri na baadhi ya vigogo Serikalini na pia kufanyiwa hujuma na baadhi ya Watendaji wake wa chini wenye ushirika na Wafanyabiashara na vigogo Serikalini ili kumuharibia kwa Rais na kuletwa mwingine wanayemtaka

Kwani Alphayo Japan Kidata ambaye ni kamishna mkuu wa TRA kafanya nini? Kosa lake lipi mpaka wamjadili hivi? Ni kweli nami nimeona kuna viujumbe vikitembea .Kwanza niseme namfahamu kama ni kamishna wa tra sina mahusiano naye yoyote yale ila kama wanamshambulia basi itakuwa majukumu yake kayatimiza kweli na kuna sehemu itakuwa kawabana wajanja. Je swali la msingi kodi ya serikali inafika au haifiki labda hapo tujiulize? Je yeye ni msimamizi wa sheria za kodi au mtungaji? Kosa lake lipi kusimamia sheria ipasavyo? Natamani sana nikutane naye nimpongeze kwa kazi ngumu anayofanya. Nachokiona ni kuna watu wamebanwa na janja janja zao ama kuna mtu anataka nafasi ndiyo kaona atumie nafasi hii kumchafua. Hivi watanzania wenzangu hii habari ya kuchafuana pasipo kuwa na ukweli mbona tunapenda sana ingekuwa muda mwingi tunatumia kujenga maendeleo mbona tungekuwa mbali. Swala la kodi Kidata kapewa kusimamia ila inaonyesha kuna watu wanataka atoke ili mambo yao yapite.
 
Kwani Alphayo Japan Kidata ambaye ni kamishna mkuu wa TRA kafanya nini? Kosa lake lipi mpaka wamjadili hivi? Ni kweli nami nimeona kuna viujumbe vikitembea .Kwanza niseme namfahamu kama ni kamishna wa tra sina mahusiano naye yoyote yale ila kama wanamshambulia basi itakuwa majukumu yake kayatimiza kweli na kuna sehemu itakuwa kawabana wajanja. Je swali la msingi kodi ya serikali inafika au haifiki labda hapo tujiulize? Je yeye ni msimamizi wa sheria za kodi au mtungaji? Kosa lake lipi kusimamia sheria ipasavyo? Natamani sana nikutane naye nimpongeze kwa kazi ngumu anayofanya. Nachokiona ni kuna watu wamebanwa na janja janja zao ama kuna mtu anataka nafasi ndiyo kaona atumie nafasi hii kumchafua. Hivi watanzania wenzangu hii habari ya kuchafuana pasipo kuwa na ukweli mbona tunapenda sana ingekuwa muda mwingi tunatumia kujenga maendeleo mbona tungekuwa mbali. Swala la kodi Kidata kapewa kusimamia ila inaonyesha kuna watu wanataka atoke ili mambo yao yapite.
Hivi hamjui dalili za serikali iliyoshindwa kuendesha nchi? Hapa hakuna cha wananchi wala Kdata wala kuchafuana bali ni matokeo ya serikali inayoendeshwa kihuni huni.
 
Jana zilisambaa taarifa kwamba wafanyabaishara wa soko la Kariakoo wataanza mgomo usio na kikomo kuanzia Jumatatu Juni 24.

Kinachodaiwa kuwa mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo ni mazingaombwe yaliyotengenezwa pia Kuna Waziri Mwandamizi anahusishwa katika mgomo huo kutokana na kile kinachodaiwa kuwa kutokuwa na maelewano mazuri na baadhi ya vigogo Serikalini na pia kufanyiwa hujuma na baadhi ya Watendaji wake wa chini wenye ushirika na Wafanyabiashara na vigogo Serikalini ili kumuharibia kwa Rais na kuletwa mwingine wanayemtaka wao.
Hata hivyo Kidata ka-survive TRA...TRA ni pagumu (ina fitna sana), ambazo players wake ni wafanyabiashara, wanasiasa na kiasi wafanyakazi wa hapohapo, hususani senior officials.
 
Hivi hamjui dalili za serikali iliyoshindwa kuendesha nchi? Hapa hakuna cha wananchi wala Kdata wala kuchafuana bali ni matokeo ya serikali inayoendeshwa kihuni hu

shida inaanzia sheria wanazopewa na kutakiwa kuzifata. wanasiasa wao mtaji ni kura sasa hivi wamekuwa wakali sababu ni kipindi cha maombi kinakaribia. mwisho wa siku zigo anatafutiwa mtu avalishwe. Kamishna wa tra toka lini akawa na nguvu za kuja na sheria zake hata bpolisi hawana nguvu hizo. Sheria zinatungwa na hawa hawa wabwakilishi wetu ambao baadaye wanakuja tena zikana na tra wasipozifata wanabanwa na hao hao wabunge. Kwani kidata si huyu huyu kila siku tunaona makusanyo anavuka leo shida ni nini? au kwa sababu kipindi cha maombi kimefika? Kwenye ukweli tuseme ukweli na tusimuonee mtu kisa nafasi aliyopo au kwa sababu ya kubana jambo flani. Hii tabia naona kwa sasa imezidi utasikia flani hafai flani hafai ukifatilia unakuta ni majungu tu. Haya akitolewa ndiyo utapata nafasi wewe? Siasa mbaya sana. Mimi sioni sababu ya kulalamikia efd adhabu ambayo waziri kasema kiwango cha juu ni milioni 15 kama ni muadilifu unatoqa shida ipo wapi? nimemsikia mbunge mmoja juzi akisema hata wao wabunge hawaombi risiti ila ndiyo wa kwanza kusema tra nao hawafikii malengo na mwisho lawama anabebeshwa kamishna mkuu .
 
Naona siasa zimeanza.

Wananchi tunapaswa sasa kuamka, gharama za maisha zimekuwa kubwa sana na chanzo chake ni walaji aka wanasiasa kuwa wengi NAA kutafuta sana nchi kuliko kile kinachozalishwa.
 
Jana zilisambaa taarifa kwamba wafanyabaishara wa soko la Kariakoo wataanza mgomo usio na kikomo kuanzia Jumatatu Juni 24.

Kinachodaiwa kuwa mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo ni mazingaombwe yaliyotengenezwa pia Kuna Waziri Mwandamizi anahusishwa katika mgomo huo kutokana na kile kinachodaiwa kuwa kutokuwa na maelewano mazuri na baadhi ya vigogo Serikalini na pia kufanyiwa hujuma na baadhi ya Watendaji wake wa chini wenye ushirika na Wafanyabiashara na vigogo Serikalini ili kumuharibia kwa Rais na kuletwa mwingine wanayemtaka wao.
Watanganyika tumerogwa!? Kwanini tunaogopa migomo?
 
Back
Top Bottom