Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Hawajawahi kukosa kosa mkuu.Saiv wamemwagwa wengi kinoma wakiangalia risiti hawakosi kosa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajawahi kukosa kosa mkuu.Saiv wamemwagwa wengi kinoma wakiangalia risiti hawakosi kosa
Aliondolewa hadhi ya ubalozi na kufutwa kazi ya ubalozi na JPM. Akateuliwa kuwa RAS (Mtwara).na huyo huyo JPM.Kidata si alifikuzwa kazi na mwendazake?
Kesho ni kuwahi tu kama Kawa unaskilizia response ya watuHawajawahi kukosa kosa mkuu.
Ukiwahi anza sio unasikiliziaKesho ni kuwahi tu kama Kawa unaskilizia response ya watu
Haya mambo yana wenyewe....mi bado Gen Z hawajaniinspireUkiwahi anza sio unasikilizia
Ukijichanganya utafanywa chamboHaya mambo yana wenyewe....mi bado Gen Z hawajaniinspire
Soma NB kwenye vile vipeperushi vya mgomo😁😁😁Ukijichanganya utafanywa chambo
Sio bongo hiiSoma NB kwenye vile vipeperushi vya mgomo😁😁😁
Lugha tata sana imetumika pale, mshale wa jicho utakuhusu, mshale huu huu au mshale upi daslam hii, na jicho lipi hasa.Soma NB kwenye vile vipeperushi vya mgomo😁😁😁
Wazeee wa fasihi mzeee😁😁😁😁we saliti camp upelekwe stooLugha tata sana imetumika pale, mshale wa jicho utakuhusu, mshale huu huu au mshale upi daslam hii, na jicho lipi hasa.
Ni CCM ndiyo inagopa. Inajua migomo ni njia rahisi sana ya wananchi kuondoa serikali madarakani.Watanganyika tumerogwa!? Kwanini tunaogopa migomo?
Tulieni dawa iwaingie ninyi na chura wenu. Mapambio mengi kazi yanafanya kihuni tu.Jana zilisambaa taarifa kwamba wafanyabaishara wa soko la Kariakoo wataanza mgomo usio na kikomo kuanzia Jumatatu Juni 24.
Kinachodaiwa kuwa mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo ni mazingaombwe yaliyotengenezwa pia Kuna Waziri Mwandamizi anahusishwa katika mgomo huo kutokana na kile kinachodaiwa kuwa kutokuwa na maelewano mazuri na baadhi ya vigogo Serikalini na pia kufanyiwa hujuma na baadhi ya Watendaji wake wa chini wenye ushirika na Wafanyabiashara na vigogo Serikalini ili kumuharibia kwa Rais na kuletwa mwingine wanayemtaka wao.
Majungu,Majungu,Majungu this time yamekithiri!Hayawi hayawi Sasa yamekua Kidata kaondolewa TRA Hana baya Mama atavuna anachokipanda mwenyewe
Kaleta mzanzibari kuwa boss wa tra
Watanganyika mmekwisha
Kazi ipo.Kaleta mzanzibari kuwa boss wa tra
Watanganyika mmekwisha
Yana mwisho hayaKaleta mzanzibari kuwa boss wa tra
Watanganyika mmekwisha