Kinachodaiwa kuwa mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo ni mazingaombwe yaliyotengenezwa kumngo'a mkuu wa TRA Kidata

Kinachodaiwa kuwa mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo ni mazingaombwe yaliyotengenezwa kumngo'a mkuu wa TRA Kidata

Kidata si alifikuzwa kazi na mwendazake?
Aliondolewa hadhi ya ubalozi na kufutwa kazi ya ubalozi na JPM. Akateuliwa kuwa RAS (Mtwara).na huyo huyo JPM.

Baada ya SSH kuingia, akamteua kuwa boss wa TRA kazi ambayo alifanya Dr. Philip Mpango kabla ya kuteuliwa kuwa waziri wa Fedha
 
Jana zilisambaa taarifa kwamba wafanyabaishara wa soko la Kariakoo wataanza mgomo usio na kikomo kuanzia Jumatatu Juni 24.

Kinachodaiwa kuwa mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo ni mazingaombwe yaliyotengenezwa pia Kuna Waziri Mwandamizi anahusishwa katika mgomo huo kutokana na kile kinachodaiwa kuwa kutokuwa na maelewano mazuri na baadhi ya vigogo Serikalini na pia kufanyiwa hujuma na baadhi ya Watendaji wake wa chini wenye ushirika na Wafanyabiashara na vigogo Serikalini ili kumuharibia kwa Rais na kuletwa mwingine wanayemtaka wao.
Tulieni dawa iwaingie ninyi na chura wenu. Mapambio mengi kazi yanafanya kihuni tu.
 
Back
Top Bottom