Kinachoendelea Kampala University ni kama utapeli, matokeo ya Wanafunzi 300+ wa Udaktari yana utata, Serikali itusaidie Wanafunzi

Kinachoendelea Kampala University ni kama utapeli, matokeo ya Wanafunzi 300+ wa Udaktari yana utata, Serikali itusaidie Wanafunzi

Upumbavu huo upo SAUT Mwanza pia,, unapata Incomplete wakati umekidhi kufanya pepa. Ni ujingaaa mtupuuuu.
 
Wanachojua wao kuna vitu havijakamilika na kama tumeambiwa tulipe ada ya mwaka wa tatu wakati matokeo ni incomplete maana yake wanataka wale ada zetu huku wakitambua hakuna uwezekano wa Kwenda mbele.
do not pay, ushenzi huu vyuo vya kati vya afya wanao sana. machame is an example. Unaingia mwaka wa tatu ukishindwa ku clear wanakufukuza na kula hela zako. Machame wamefanya sana wizi huu. faneni mgomo mamlaka zishituke.
 
Chuo cha Kampala University hiki ambacho kipo Gongo la Mboto kina shida kubwa sana, najua wengi mnajua kimewahi kufungiwa siku za nyuma kutokana na magumashi mengi ambayo kimekuwa kikifanya.

Serikali iingilie kati kuangalia hiki chuo, sisi wanafunzi ambao tupo chuoni hapo tunapitia wakati mgumu.

Mfano sasa hivi wanafunzi wa Diploma ya Udaktari wa mwaka wa kwanza na mwaka wa pili matokeo yetu yote yameonesha ni incomplete wakati sisi tumeshafanya kila kitu, chuo kinatulazimisha tuendelee na mwaka wa tatu wakati wanatambua wazi kuwa kufanya hivyo lazima huko mbele ya safari tudunde.

Tumeshaenda hadi Wizara ya Afya ambao ndio wanaosimamia mitihani yetu, wao wanasema tatizo lipo upande wa chuo.

Wanachojua wao kuna vitu havijakamilika na kama tumeambiwa tulipe ada ya mwaka wa tatu wakati matokeo ni incomplete maana yake wanataka wale ada zetu huku wakitambua hakuna uwezekano wa Kwenda mbele.

Tukiwauliza nini kinachoendelea wanatuzungusha tun a kutupiga danadana, wanataka tulipe ada tu.

Serikali iingilie kati na kutusaidia, kuna mambo mengi hayapo sawa katika hiki chuo.

Kuna baadhi ya wanafunzi wameshakata tamaa ya kuendelea na masomo ukizingatia tunalipa ada kubwa, wengine tunatoka familia dun, hivi inakuwaje unafika mwisho wa masomo na hauwezi ku graduate, unamueleza nini yule ambaye amekuwa akikupa fedha ya ada

Kuna watu wanaishia kulia tu hatuna msaada.


================

MAJIBU YA KAMPALA UNIVERSITY
Academic Register wa Kampala University, Dkt. Edward Kamea ameulizwa kuhusu kinachoendelea, amefafanua: “Ili uweze kufanya mitihani unatakiwa uwe na mahudhurio ya 90%, wanafunzi wengi hawakufikisha kiwango hicho na hawakuruhusiwa kufanya mitihani.

“Wanafunzi wakalalamika walipoambiwa kuwa hawajakidhi vigezo vya kufanya mitihani, kukatokea mvutano baada ya kujulishwa hivyo.

“Sisi chuo tukawaombea kwa Wizara ya Afya wafanye mitihani kisha tutaangalia, Wizara ikaamua kuwaruhusu lakini maamuzi yao ni kwamba itakuwa incomplete kwa kuwa mitihani hiyo inasimamiwa na Wizara ya Afya na NACTE.”

SWALI: Kwa nini Wizara iruhusu wanafunzi wafanye mitihani wakati umesema inatambulika hawajakidhi vigezo?

JIBU: Waliruhusiwa kwa sababu wanafunzi walikuwa wanaleta fujo, hata Wizara waliweka tamko lao hilo katika maandishi kuhusu kuwaruhusu, hivyo wanafunzi walifanya mitihani wakitambua kuwa hawana vigezo.

Baadaye tukazungumza na Wizara kuhusu hilo, tukawaomba Wizara kuwa sisi tutakuwa na utaratibu wa kuwafundisha vitu ambavyo hawakusoma lakini waendelee na utaratibu mwingine, Wizara imeridhia.

Hivyo, Novemba 28 wataanza mitihani ile ambayo hawakutimiza vigezo, wanafunzi wetu ni wagumu sana kuhudhuria darasani.

SWALI: Kama matokeo yanaonesha ni INCOMPLETE na wanafunzi wanatakiwa kurudia mitihani, yanahusiana vipi na masuala ya kurudia mitihani wakati wanafunzi wanasema mitihani yote wamefanya, je ni kwamba wamefeli wote?

JIBU: Hapana siyo kwamba wamefeli, bali hawakutimiza vigezo vya mahudhurio, kuna muongozo wa topics ambazo wanatakiwa kuwa wamezisoma hadi kumaliza mwaka wa masomo, so wao walifanya mitihani wakati wakijua kuwa hawajakamilisha vigezo hivyo.

SWALI: Wanafunzi wameridhia kuhusu suala hilo?
JIBU: Ndio wameridhia

SWALI: Idadi ya wanafunzi ambao matokeo yao yapo incomplete ni wangapi?
JIBU: Ni zaidi ya 300, sikumbuki idadi kamili mpaka nipitie katika nyaraka

SWALI: Ni kweli kuwa hawawezi kufanya hiyo mitihani ya marudio bila kuwa wamelipa ada ya mwaka wa tatu?
JIBU: Hawajalazimishwa kufanya kusoma mwaka wa tatu, kama anaaka kusoma lazima alipe ada

SWALI: Malalamiko ya Wanafunzi pia ni kwanini walipe ada wakati huo wanarudia mitihani, inamaanisha akifeli mitihani ya marudio na ada inakuwa imeenda, lipoje hili?

JIBU: Hilo ni juu yako unatakiwa kumaliza masomo na kutimiza vigezo, mbona hata vyuo vingine wanafanya hivyo, unataka Kwenda mwaka mwingine bila kulipa ada!
Elimu ya Tanzania na third world countries ni Utapeli

Over!
 
Hao wanafunzi ni takribian mia tano na wote wamelipa ada

Hivi kwa akili timamu unaamini kua wanafuzi wote washindwe kutimiza mahuzurio hayo ni utetezi wao tu chuo hakuna ukwli hapo yani hakuna hata mwanafunzi mmja alietimiza mahuzurio ..na usipotimiza mahuzurio hutakiwi kukaa kwenye mtihan wala unakua sio eligible student sasa wanafunzi wote waliofanya mtihan wametimiza mahuzurio na waliokua hawajatimiza mahu
katumwa huyo🚮
 
Hatujui tuanze wapi !
Yani serekali kama kupitia TCU au vyovyote vile hiki chuo ambacho hakina hata communication kipindi hiki cha matatizo na wanafunzi wake ni lazima kiangaliwe tena hapa kwenye usajilit wake.
Ni haki ya msingi kikatiba kuongea na kusikilizwa ilimradi hauvunji sheria, laminitis Kampala hapa tukiwauliza tu hata kwa vikao wana tutishia kututoa nje ya vikao, hii nidhamu ya woga ni wrong sana!
Kuna wanao laumu tumechagua chuo kibaya lakini turudi tena TCU hapa kwenye hiki kipengele, naiwezekani ma
katumwa huyo🚮
Hajatumwa! Hilo suala ni for sure tuna hudhuria vipindi. chief ali verify na akuturuhusu.
 
Hatujui tuanze wapi !
Yani serekali kama kupitia TCU au vyovyote vile hiki chuo ambacho hakina hata communication kipindi hiki cha matatizo na wanafunzi wake ni lazima kiangaliwe tena hapa kwenye usajilit wake.
Ni haki ya msingi kikatiba kuongea na kusikilizwa ilimradi hauvunji sheria, laminitis Kampala hapa tukiwauliza tu hata kwa vikao wana tutishia kututoa nje ya vikao, hii nidhamu ya woga ni wrong sana!
Kuna wanao laumu tumechagua chuo kibaya lakini turudi tena TCU hapa kwenye hiki kipengele, naiwezekani ma

Hajatumwa! Hilo suala ni for sure tuna hudhuria vipindi. chief ali verify na akuturuhusu.
Nilichoshangaa anasema tunalaumu chuo wakati hakuna anachojua!!!
 
Chuo cha Kampala University hiki ambacho kipo Gongo la Mboto kina shida kubwa sana, najua wengi mnajua kimewahi kufungiwa siku za nyuma kutokana na magumashi mengi ambayo kimekuwa kikifanya.

Serikali iingilie kati kuangalia hiki chuo, sisi wanafunzi ambao tupo chuoni hapo tunapitia wakati mgumu.

Mfano sasa hivi wanafunzi wa Diploma ya Udaktari wa mwaka wa kwanza na mwaka wa pili matokeo yetu yote yameonesha ni incomplete wakati sisi tumeshafanya kila kitu, chuo kinatulazimisha tuendelee na mwaka wa tatu wakati wanatambua wazi kuwa kufanya hivyo lazima huko mbele ya safari tudunde.

Tumeshaenda hadi Wizara ya Afya ambao ndio wanaosimamia mitihani yetu, wao wanasema tatizo lipo upande wa chuo.

Wanachojua wao kuna vitu havijakamilika na kama tumeambiwa tulipe ada ya mwaka wa tatu wakati matokeo ni incomplete maana yake wanataka wale ada zetu huku wakitambua hakuna uwezekano wa Kwenda mbele.

Tukiwauliza nini kinachoendelea wanatuzungusha tun a kutupiga danadana, wanataka tulipe ada tu.

Serikali iingilie kati na kutusaidia, kuna mambo mengi hayapo sawa katika hiki chuo.

Kuna baadhi ya wanafunzi wameshakata tamaa ya kuendelea na masomo ukizingatia tunalipa ada kubwa, wengine tunatoka familia dun, hivi inakuwaje unafika mwisho wa masomo na hauwezi ku graduate, unamueleza nini yule ambaye amekuwa akikupa fedha ya ada

Kuna watu wanaishia kulia tu hatuna msaada.
Musiwe munaomba kudahiliwa kwenye vyuo vya vya kisenge Kama hivyo
 
Jamani Kwa kweli kamapala ni matapeli na waongo ,,mana hizo sababu zinazotelewa zote ni uongo sana..
Wewe external amekuja ametukagua na akaona kabisa tunafaa kufanya mtihani na wale ambao hawakukidhi vigezo pia list Yao ilitoka na hawakufanya kweli na Wala hakuna fujo iliyotokea pale chuo
Leo hii mtu anasema wanafunzi wote hatukukidhi vigezo na tulikuwa tunajua sema tukaforce huyo ni muongo adi muongo Tena
Unataka kusema wanafunzi wote tungekuwa watoro walimu wangekuwa tayari washareport hilo swala department
Wengine hatujawahi kumis ata kipindi kimoja Leo unanambia attendance yangu mbovu kweli na Bado unanisainisha ni kubari kulipa ada na matokeo yakitoka mabovu iwe imekula kwetu
Yani huu ni wizi was wazi wazi
 
Chuo cha Kampala University hiki ambacho kipo Gongo la Mboto kina shida kubwa sana, najua wengi mnajua kimewahi kufungiwa siku za nyuma kutokana na magumashi mengi ambayo kimekuwa kikifanya.

Serikali iingilie kati kuangalia hiki chuo, sisi wanafunzi ambao tupo chuoni hapo tunapitia wakati mgumu.

Mfano sasa hivi wanafunzi wa Diploma ya Udaktari wa mwaka wa kwanza na mwaka wa pili matokeo yetu yote yameonesha ni incomplete wakati sisi tumeshafanya kila kitu, chuo kinatulazimisha tuendelee na mwaka wa tatu wakati wanatambua wazi kuwa kufanya hivyo lazima huko mbele ya safari tudunde.

Tumeshaenda hadi Wizara ya Afya ambao ndio wanaosimamia mitihani yetu, wao wanasema tatizo lipo upande wa chuo.

Wanachojua wao kuna vitu havijakamilika na kama tumeambiwa tulipe ada ya mwaka wa tatu wakati matokeo ni incomplete maana yake wanataka wale ada zetu huku wakitambua hakuna uwezekano wa Kwenda mbele.

Tukiwauliza nini kinachoendelea wanatuzungusha tun a kutupiga danadana, wanataka tulipe ada tu.

Serikali iingilie kati na kutusaidia, kuna mambo mengi hayapo sawa katika hiki chuo.

Kuna baadhi ya wanafunzi wameshakata tamaa ya kuendelea na masomo ukizingatia tunalipa ada kubwa, wengine tunatoka familia dun, hivi inakuwaje unafika mwisho wa masomo na hauwezi ku graduate, unamueleza nini yule ambaye amekuwa akikupa fedha ya ada

Kuna watu wanaishia kulia tu hatuna msaaday
Mnakwenda shule kuchezea? Mahudhurio yanakuwa aje hafifu hadi unakosa sifa ya kufanya mitihani? Mbio kulaumu chuo!
Yani wanafunzi wote hao tuwe watoro
Embu fikiri kabla ya kuongea kwanza
 
Chuo cha Kampala University hiki ambacho kipo Gongo la Mboto kina shida kubwa sana, najua wengi mnajua kimewahi kufungiwa siku za nyuma kutokana na magumashi mengi ambayo kimekuwa kikifanya.

Serikali iingilie kati kuangalia hiki chuo, sisi wanafunzi ambao tupo chuoni hapo tunapitia wakati mgumu.

Mfano sasa hivi wanafunzi wa Diploma ya Udaktari wa mwaka wa kwanza na mwaka wa pili matokeo yetu yote yameonesha ni incomplete wakati sisi tumeshafanya kila kitu, chuo kinatulazimisha tuendelee na mwaka wa tatu wakati wanatambua wazi kuwa kufanya hivyo lazima huko mbele ya safari tudunde.

Tumeshaenda hadi Wizara ya Afya ambao ndio wanaosimamia mitihani yetu, wao wanasema tatizo lipo upande wa chuo.

Wanachojua wao kuna vitu havijakamilika na kama tumeambiwa tulipe ada ya mwaka wa tatu wakati matokeo ni incomplete maana yake wanataka wale ada zetu huku wakitambua hakuna uwezekano wa Kwenda mbele.

Tukiwauliza nini kinachoendelea wanatuzungusha tun a kutupiga danadana, wanataka tulipe ada tu.

Serikali iingilie kati na kutusaidia, kuna mambo mengi hayapo sawa katika hiki chuo.

Kuna baadhi ya wanafunzi wameshakata tamaa ya kuendelea na masomo ukizingatia tunalipa ada kubwa, wengine tunatoka familia dun, hivi inakuwaje unafika mwisho wa masomo na hauwezi ku graduate, unamueleza nini yule ambaye amekuwa akikupa fedha ya ada

Kuna watu wanaishia kulia tu hatuna honestly kabisa, Kwa Maoni yangu ya Kizalendo Chuo Cha KIUT Gongo la mboto. Hakina Hadhi nahisi pia hata sifa za kuwa Chuo kikuu kinacho offer Degree yoyote ya Science ya kada ya Afya.
Kwa kuzingatia yalee yalio tokea awali niwape Rai wahitimu wa kidato Cha sita, Cha Nne ,walee wa Certificate na wanaotaka kuendelea na Diploma au kozi nyingine ya Science ya Afya wakiepuke chuo hicho Kama ukoma.
Licha ya kutoa Elimu ya Taaluma nyeti ya Afya kwa kiwango Duni pia haina mfumo Mzuri wa Uendeshaji(Management).
Kama umekosa selection Vyuo vingine ni Bora uwe mvumilivu na Uvute Subira au ufanye maamuzi Mengine kuliko either kupoteza muda na fedha au kuwa Sehemu ya Udidimizaji wa Taaluma ya Afya kwa kutoa huduma Duni kwa sababu ulipatiwa Underrate training ukiwa Mafunzoni..
 
Diploma ya udaktari ndiyo upoje?
Clinical Officer(Maafisa taabibu) maalufu Kama CO.
In such sio Udaktari,maana by Logic hakuna "Diploma ya Udaktari" Tanzania au Duniani kabisa
 
Ha
Hiyo incomplete imesababishwa na nini, maana kama mme clear sioni logic ya kujaziwa incomplete.......jaribuni kuwaona TCU
Hao ni wanafunzi wa Diploma (Stashahada) wako Chini ya baraza la Vyuo vya Ufundi(NACTE) na Wizara ya Afya Chief. TCU haihusiki na misalaba yao. Na ukirejea maelezo yake anaesema wamesha onana na Wizara ya Afya ambayo ndio Ina coordinate mafunzo na Mitihani na imesema kwao hakuna shida ni green light shida iko chuoni.
So hapo wenye shida ni Chuo na wanafunzi
 
Inavyo onekana Kuna Kitu hapo Chuo kinacho husu wanafunzi hakikuwa submitted na Kama kilikuwa submitted Basi kilikuwa na shida mahali. Angalien vizuri, procedure book zenu, log book na au Assignment ni vitu vidogo ila very potential.
Nakumbuka mwaka fulani chuo fulani more than 50+ student walishindwa kuendelea na Masomo kwa muhula husika kwa Issue ya Procedure book za Rotation kutokuwa filled appropriate.
Kama mnaweza ombeni Guidance ya Wizara na NACTE Wawa ambie changamoto ya kila mtu ili msolve na Chuo ila hapo kuendelea na 3rd Yeah ni kutwanga Maji kwenye kinu maana Level ya Diploma hakuna kucarry so nilazima uwe clean ulikotoka ili kuweza kuendelea mbele.
Poleeni Sana Wataalam 😢😢
Maana ya incomplete maana yake ni mwanafunzi hajakizi vigezo kufanya mtihan wa mwsho ila wanafunzi wamekizi vigezo na wamefanya mtihan wa mwisho ila matokeo ya wanafunzi wote yameletwa kama hayajakizi vigezo hakuna solution yeyote waliochukua isipokua kuwagawa katika makundi mawili
 
Uko sahihi San aisee. Good Selection of Studying institution ni Muhimu Sana. Kuna Taasisi za Elimu na baadhi ya Vyuo hapa Nchini by Default tu hasikushawishi kuajiri Graduaters wao.
Maan cheti na kichwa vina vitu viwili tofautii.
Kwa Sasa Elimu Tena ya kozi za Jada ya Afya imekuwa biashara inayolipa vizuri hivyo magumashi yamekuwa mengi Sana Mjin
Ni vizuri kuwa makini wakati wa kuchagua Vyuo vya kusoma, maana Vyuo vingine kama hiko KIU hata waajiri wakiona tu Cheti chake wanatupa kwenye dustbin!!naongea kwa uzoefu kwa sehemu 3 tofauti nilizojitolea Idara ya HR
 
Sio kweli Academic register anachoongea coz three days before NACTE examination walifk kwa ajili ya kufanya verification kama wanafunzi wako verified kufanya exams or not, na baada ya apo watu wakawa selected kufanya mitihn although sio wote coz wengn waliambia wana incomplete kabla ya mtihn. Sasa issue ya attendance inatokea wap apo na kwann kama wameona mahudhurio ni sabb wakaamua kuturuhusu kufanya mtihn..!? Kampala you guys you are not serious..tunataka sababu ya incomplete and by the way hakuna mwanafunzi alofanya fujo ata mmoja coz namba za mtihn zenyew mlitupa usiku wa kuamkia day ya exams na fujo izo zimefanyika mda gn...Kampala tell the truth and be honest kwakwel
🤣🤣🤣🤣Kumekucha naona Siri za jandoni zinamwaga barabarani. Huwa siamini vyuo vyote vya dar isipokuwa MUHAS na UD tuuu
 
Kuna hicho chuo cha kampala na kuna hiki KAM COLLEGE hapa kimara sijui vinangoja nini hapa duniani,

Mana ada kubwa alafu ujinga ni mkubwa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣So kiufupi ukubwa wa Ada na Ujinga wao vinalingana au sio Mkuu..??
 
Back
Top Bottom