Ndugu WANA FORUM,
Kampeni za chadema mwaka huu hazina ile amsha amsha tulioyozoea miaka ya nyuma.
Naona viongozi wote wa kitaifa na wagombea wote wa kitaifa wanafuatana kwa pamoja mfano pale shinyanya Alikuwepo M/kiti, mgombea urais na makamu. Je haiwezekani kugawana pa kwenda? Kuna ulazima wa kuwa pamoja kama ny*mbu?
Kuna haja gani ya kushukia mjini kahama kwa ndege then unasafiri kwa gari zaidi ya km 100 kwenda shinyanga na kuacha kuto- kuwasalimu wana Kahama? Ilishindikana nini kuwahi kidogo angalau afanye mkutano mmoja kahama then jioni (kama walivyofanya) waendelee na mkutano Shinyanga? Je hii ni dharau kwa wana kahama? Ni matumizi mabaya ya rasilimali za kampeni? Au ni kutojipanga?
Pili nimegundua tangu wawatimue TBC kama vile wamesusiwa na media ama kuna mgomo baridi. Kile kitendo kimewaharibia sana picha kwa jamii ya wanahabari. Kama media house kubwa TBC anafanyiwa vile nani atathubutu kufanya kazi na hiki chama? Kama mpiga picha anadhalilishwa na kuhatarisaha maisha yake kwa tuhuma ambazo kimsingi sio zake ni za mrusha matangazo aliyepo studio, ni mwandishi yupi anaweza kuhatarisha maisha yake?Ningeshauri Waombe msamaha na kuahidi kutorudia hili jambo, ili twende pamoja na waandishi na media!
Sera!
Hawanadi sana Sera zaidi ya kutumia nguvu nyingi kuonesha wao sio vibaraka wa mabeberu. Wangenadi zaidi Sera na ilani yao, automatically wangekuwa wameonesha namna walivyodhamiria kuendeleza nchi na mwananchi. Hii ingetosha zaidi. Lakini ndugu Lssu mpaka sasa hivi anazidi kuharibu maana anasema hata makinikia sio yetu hatuna haki nayo... Anazidi kuharibu...
Karibuni na nyie wadau mchangie namna wanavyoharibu ili wajirekebishe mapema
La sivyo Act watanyakua nafasi ya CDM na kuwa KUB!
Wasalaam!
Sungudi!
Kampeni za chadema mwaka huu hazina ile amsha amsha tulioyozoea miaka ya nyuma.
Naona viongozi wote wa kitaifa na wagombea wote wa kitaifa wanafuatana kwa pamoja mfano pale shinyanya Alikuwepo M/kiti, mgombea urais na makamu. Je haiwezekani kugawana pa kwenda? Kuna ulazima wa kuwa pamoja kama ny*mbu?
Kuna haja gani ya kushukia mjini kahama kwa ndege then unasafiri kwa gari zaidi ya km 100 kwenda shinyanga na kuacha kuto- kuwasalimu wana Kahama? Ilishindikana nini kuwahi kidogo angalau afanye mkutano mmoja kahama then jioni (kama walivyofanya) waendelee na mkutano Shinyanga? Je hii ni dharau kwa wana kahama? Ni matumizi mabaya ya rasilimali za kampeni? Au ni kutojipanga?
Pili nimegundua tangu wawatimue TBC kama vile wamesusiwa na media ama kuna mgomo baridi. Kile kitendo kimewaharibia sana picha kwa jamii ya wanahabari. Kama media house kubwa TBC anafanyiwa vile nani atathubutu kufanya kazi na hiki chama? Kama mpiga picha anadhalilishwa na kuhatarisaha maisha yake kwa tuhuma ambazo kimsingi sio zake ni za mrusha matangazo aliyepo studio, ni mwandishi yupi anaweza kuhatarisha maisha yake?Ningeshauri Waombe msamaha na kuahidi kutorudia hili jambo, ili twende pamoja na waandishi na media!
Sera!
Hawanadi sana Sera zaidi ya kutumia nguvu nyingi kuonesha wao sio vibaraka wa mabeberu. Wangenadi zaidi Sera na ilani yao, automatically wangekuwa wameonesha namna walivyodhamiria kuendeleza nchi na mwananchi. Hii ingetosha zaidi. Lakini ndugu Lssu mpaka sasa hivi anazidi kuharibu maana anasema hata makinikia sio yetu hatuna haki nayo... Anazidi kuharibu...
Karibuni na nyie wadau mchangie namna wanavyoharibu ili wajirekebishe mapema
La sivyo Act watanyakua nafasi ya CDM na kuwa KUB!
Wasalaam!
Sungudi!