Hali inazidi kuwa tete nchini Kenya, vuguvugu la kisiasa linazidi kushika kasi.
Kutokana na maandamano yanayoendelea Polisi/ Wanajeshi wanaonekana kutumia nguvu kubwa kuwadhibiti waandamanaji.
Tazama video hapo chini, inaonesha matumizi makubwa ya nguvu na vifaa vya kijeshi pia Kuna Waandishi wa Habari wanaonekana kuingia matatizoni.
View attachment 2571495
Ngoja wanao isifiaga waje watushirikisheKwani katiba mpya inasemaje?
Taabu tupuNgoja wanao isifiaga waje watushirikishe
Ngoja tumuulize Erythrocyte.Ngoja wanao isifiaga waje watushirikishe
Njaa kali..bei ya unga ipo juu.Wanataka nn huko maana kule ufaransa wanasema umri wa kustaafu usiongezwe sasa Kenya nn tena??!!
https://www.facebook.com/Kwani katiba mpya inasemaje?
Namngojea hapaaaNgoja tumuulize Erythrocyte.
Jeshi halijaingia hapoHali inazidi kuwa tete nchini Kenya, vuguvugu la kisiasa linazidi kushika kasi.
Kutokana na maandamano yanayoendelea Polisi/ Wanajeshi wanaonekana kutumia nguvu kubwa kuwadhibiti waandamanaji.
Tazama video hapo chini, inaonesha matumizi makubwa ya nguvu na vifaa vya kijeshi pia Kuna Waandishi wa Habari wanaonekana kuingia matatizoni. Video nyingine chini zinaonesha Wananchi wameiba gari ya polisi.
View attachment 2571495
View attachment 2572105
View attachment 2572106
Hakuna mjeshi hapo, nguo za polisi Kenya zimekuvurugaHali inazidi kuwa tete nchini Kenya, vuguvugu la kisiasa linazidi kushika kasi.
Kutokana na maandamano yanayoendelea Polisi/ Wanajeshi wanaonekana kutumia nguvu kubwa kuwadhibiti waandamanaji.
Tazama video hapo chini, inaonesha matumizi makubwa ya nguvu na vifaa vya kijeshi pia Kuna Waandishi wa Habari wanaonekana kuingia matatizoni. Video nyingine chini zinaonesha Wananchi wameiba gari ya polisi.
View attachment 2571495
View attachment 2572105
View attachment 2572106