Trubarg
JF-Expert Member
- Jan 8, 2020
- 4,388
- 7,223
- Thread starter
- #21
Uchunguzi wangu umebaini kinachofanyika pale Kijazi ni hujuma licha ya fensi kuweka pale lakini kuna watu wanaikata au kuulaza Ili wapate sehemu ya kulala.
Video hii mmeichunia leo asubuhi.
Nashauri doria ifanyike kabla ya mengi hayajafanyika.
Video hii mmeichunia leo asubuhi.
Nashauri doria ifanyike kabla ya mengi hayajafanyika.