Chagu, furaha ya mtu hainunuliwi wala kulazimishwa. Mwanzoni wafuasi wa Ccm mlidai kuwa Cdm imekufa. Hii ni baada ya kuwafika bei baadhi yao na wengine mamluki mliowatuma humo. Lakini wananchi wamewaprove wrong . Kuwa Cdm ipo na ipo mioyoni mwao.
Hiki ni kipindi cha campaign, mwacheni kila mgombea ajinadi kwa njia anayoiona ni sahihi kwake. Lissu jana amezungumza almost 40 minutes na alizungumzia matatizo ya watu wa kanda ya ziwa eg. Kilimo cha pamba, matatizo ya wavuvi kufirisiwa na kuchomewa mali zao, ajira kwa vijana nk. Na alitumia kama dk 3 kuzungumzia mambo ya kupigwa kwake risasi. So acha watu waombwe kura.
Ungelaumu vyombo vya matangazo ningekuelewa