Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Serial A league walishawahi kushusha vigogo kama Juventus daraja hadi la pili kwa kosa la rushwa michezoni.Like goli alilofungwa kipa wa Singida Big Star hata mtoto unayecheza Umitashumita hafungwi. Nini kinaendelea Liti? Acha tunyamanze tu.😷😷
Tanzania timu kubwa zinanunua mechi na mambo mswano