Serial A league walishawahi kushusha vigogo kama Juventus daraja hadi la pili kwa kosa la rushwa michezoni.Like goli alilofungwa kipa wa Singida Big Star hata mtoto unayecheza Umitashumita hafungwi. Nini kinaendelea Liti? Acha tunyamanze tu.π·π·
Huku ukiishusha Simba au Yanga ndio mpira utafia hapo hapoSerial A league walishawahi kushusha vigogo kama Juventus daraja hadi la pili kwa kosa la rushwa michezoni.
Tanzania timu kubwa zinanunua mechi na mambo mswano
Nimefanya hivyo ila bado haijasaidia.Duh, kama huku ndio kunyamaza sijui kusema ingekuweje, pole sana kunywa maji mengi husaidia pia
Ulikuwa sahihi kuzima TV. Tuendelee tu kuzima TVNami jana Namungo vs makolo nilizima tv baada ya Kipa wa makolo kafungwa kizembe
Wydad vs makolo nayo nilizima tv baada ya kipa wa makolo kufungwa kizembe
Mpaka walimvunja Banda. Singida Big Hana tofauti na Toto African Yani wako radhi wafie uwanjani ila wasifungwe na Simba ngoja wakutane na dada yao sasa km hawapo.Uliwaona walivyocheza na simba,????leo kama mtu anajua mpira andambwile kagusa mpira mara ngapi???jamaa alikuwa anazurura tu,kibabage ndo kabisaaaa yupo tu anamshangaa moloko kama hamjui..baroso ndo akaona akawasalimie viongozi wake wa msimu ujao kabla ya mechi..
Nchi ina mambo hii,any ways,tukutane fainali ya FA,soka hapo ndo huwa linapigwa sio huku kwa yanga b,huku ni maigizo na maelekezo tu.
Hii ni Ligi Gani Utopolo alofungwa mechi Moja tu??Yanga imefungwa mechi Moja tu katika misimu miwili. Imezifunga timu za Nchi nyingine katika michuano ya kimataifa.
Leo mleta mada anataka kuishangaa Yanga kumfunga Singida? Au anategemea Singida kumzidi ufundi Yanga?
Acha wivu wa kishamba. Saga chupa unywe kama umeumia sana na Mtivii wako huo! Eeboo!
Siku mtakapocheza na Singida Big kwenye F.A ndo nitavunja na mrejesho utakuja.Kuzima tu tv haitoshi. Ikiwezekana ivunje kabisa ili nafsi yako ipate faraja.
Tena tawi la mnaziLile ni tawi la jangwani...
ππππNaskia goli la kwanza la Yanga ni la maagizo toka kwa Dr. Mwigulu Nchemba.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]