Kinachoendelea Mjini Dodoma, kumbe Serikali ina pesa nyingi sana. Trump yuko sahihi kufunga. Hatuna sababu ya kuwa Omba omba

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Sherehe zinazofanyika ktk nchi hii chini ya kile chama, bajeti zake ni kubwa mno hata kw akufikiria tu.

Uki imagine kwamba hii ni Nchi maskini huku wanatujazia Madeni kila mwaka utaamini kabisa hii mikopo huwa inachelushwa.

Trump wa Marekani atakuwa amewashtukia omba omba wote wa Afrika wanaotwisha mizigo ya madeni kwa Wananchi huku wao wakizitumbua kwa starehe na anasa.

Mungu Mbariki Trump wa Marekani.
 
Ni kufuru kufuru
 
Hela za kuchota TU hizo baada ya kuahidi kuwauzia rasilimali zetu baada ya kupita kwenye uchaguzi ujao!

Likibuma ndio figisu huanza!
 
chuki zako kwa waislamu hazikusaidii kitu mkuu

haya jaribu kuelezea kinachoendelea, wazungu wanaandamana kupinga waafrika kunyimwa misaada kwa maana masikini wa afrika watakosa dawa, serikali ya tanzagiza inafanya party ya kufuru, wabunge wanaolipwa mamilioni wanashindana ulafi kula wakati mita chache nje ya bunge watoto yatima hawajui jioni watakula nini, birthday hela kibao zinatumika hata kusema tu basi labda wakasherehekee na watoto yatima hamna, hiyo ni nini kama siyo satanism ?
 

sas hilo linahusianaje na waislamu? kwanu waliokuepo kule dodoma wote ni waislamu?
 
sas hilo linahusianaje na waislamu? kwanu waliokuepo kule dodoma wote ni waislamu?

sijawahi kusikia wabunge wakikufuru wakishindana kula kwa ulafi wakati wa Mwalimu Nyerere, B.Mkapa au hata J.Magufuli kama una huo ushahidi wa raisi Christian akifanyiwa birthday party unaweza kuniwekea, btw fedha wanazotumia kufanya party huko dodoma nina uhakika zingetosha kuziba pengo lililoachwa na usaid kusaidia watu kwa kiasi kikubwa sana tu, lkn nooooo wanajirusha tu tena na ndege mpya wamenunua nasikia …
 

angalia sasa, aga khani ni charity? mtanzagiza gani wa chini anatibiwa aga khani? tembea mikoani na wilayani huko porini ukaone hospitali Christian zinavyotoa huduma kwa kila mtu hata kwa wasi na dini, sehemu ambako hata serikal ya tanzagiza haifiki lkn Christians wapo wanahudumia watu …
 

Pesa ya Mwarabu na Wajomba. Uchaguzi ukiisha nayo itapotea.
 
Hujisumbui kusoma...
Hujisumbui kutafiti....

Unaongozwa kihisia na ufinyu wa taarifa ulizonazo katika ubongo wako usiojifunza......

Sina msaada kwa matatizo hayo makubwa....pole sana mkuu!
 
Hujisumbui kusoma...
Hujisumbui kutafiti....

Unaongozwa kihisia na ufinyu wa taarifa ulizonazo katika ubongo wako usiojifunza......

Sina msaada kwa matatizo hayo makubwa....pole sana mkuu!

kwa nini kuna vita somalia, yemeni, siria, pakistani, afghanistan, mali, sudani, maurtania, iraki, libya? btw anaye fund al shabab somalia ni saudi arabia, vita ya yemeni inachochewa na qatari na saudia, why?
 
kwa nini kuna vita somalia, yemeni, siria, pakistani, afghanistan, mali, sudani, maurtania, iraki, libya? btw anaye fund al shabab somalia ni saudi arabia, vita ya yemeni inachochewa na qatari na saudia, why?
Unataka kujifunza?!!!

Well.....

Magaidi ni watu wabaya sana.....

Hivi ni haohao wasaudia wanaowapa silaha M 23 kuwaua ndugu zetu wakongomani?!!

Hitler aliwahiliki wayahudi milioni 6 katika zile "gas chambers" ,alikuwa anawafanyia kazi hao waarabu wa Saudi Arabia?!!
 
Wanapenda shuguli hawa
Shuguli kila leo..
Mwendo wa kukata mauno tu

Ova
 
kwa nini kuna vita somalia, yemeni, siria, pakistani, afghanistan, mali, sudani, maurtania, iraki, libya? btw anaye fund al shabab somalia ni saudi arabia, vita ya yemeni inachochewa na qatari na saudia, why?
Unatupikia mseto wa biriani ,Kande na ugali katika sufuria moja ?!!!

Sudan= Wanapigania maslahi binafsi(Marafiki Jenerali AbdelFattah El Burhani na rafikiye Dagalo )...nyuma yake yako mataifa makubwa kinzani....mataifa hayo ndiyo yanayoshirikiana na baadhi ya nchi za kiarabu kusimika vikundi vya kigaidi na waasi kama M 23 ili KUSITAWALIKE na malengo yao YATIMIE....

Jitahidi uwe unakula ndizi mbivu kwa wingi ....ubongo wako umelala huo ha ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…