Kinachoendelea Mjini Dodoma, kumbe Serikali ina pesa nyingi sana. Trump yuko sahihi kufunga. Hatuna sababu ya kuwa Omba omba

Kinachoendelea Mjini Dodoma, kumbe Serikali ina pesa nyingi sana. Trump yuko sahihi kufunga. Hatuna sababu ya kuwa Omba omba

Unatupikia mseto wa biriani ,Kande na ugali katika sufuria moja ?!!!

Sudan= Wanapigania maslahi binafsi(Marafiki Jenerali AbdelFattah El Burhani na rafikiye Dagalo )...nyuma yake yako mataifa makubwa kinzani....mataifa hayo ndiyo yanayoshirikiana na baadhi ya nchi za kiarabu kusimika vikundi vya kigaidi na waasi kama M 23 ili KUSITAWALIKE na malengo yao YATIMIE....

Jitahidi uwe unakula ndizi mbivu kwa wingi ....ubongo wako umelala huo ha ha ha ha

kwa hiyo anasa inayofanywa tanzagiza kufanya party kubwa na kuchezea fedha wakati wananchi wanataabika ni “ mataifa kinzani” pia yanahusika? haijulikani nani atagharamia dawa za wagonjwa tanzagiza baada ya misaada kusitishwa, jibu lake party, party and party, kufuru, ulafi no help for the needy yoote hayo ni “mataifa kinzani” yanahusika?
 
Sherehe zinazofanyika ktk nchi hii chini ya kile chama, bajeti zake ni kubwa mno hata kw akufikiria tu.

Uki imagine kwamba hii ni Nchi maskini huku wanatujazia Madeni kila mwaka utaamini kabisa hii mikopo huwa inachelushwa.

Trump wa Marekani atakuwa amewashtukia omba omba wote wa Afrika wanaotwisha mizigo ya madeni kwa Wananchi huku wao wakizitumbua kwa starehe na anasa.

Mungu Mbariki Trump wa Marekani.
Chadema wamefanya mkutano wiki nzima, wakilala na kula katika hotel ya kifahari, watu zaidi ya 1200
 
kwa hiyo anasa inayofanywa tanzagiza kufanya party kubwa na kuchezea fedha wakati wananchi wanataabika ni “ mataifa kinzani” pia yanahusika? haijulikani nani atagharamia dawa za wagonjwa tanzagiza baada ya misaada kusitishwa, jibu lake party, party and party, kufuru, ulafi no help for the needy yoote hayo ni “mataifa kinzani” yanahusika?
Ccm ni bahati mbaya sana ktk nchi hii
 
Sherehe zinazofanyika ktk nchi hii chini ya kile chama, bajeti zake ni kubwa mno hata kw akufikiria tu.

Uki imagine kwamba hii ni Nchi maskini huku wanatujazia Madeni kila mwaka utaamini kabisa hii mikopo huwa inachelushwa.

Trump wa Marekani atakuwa amewashtukia omba omba wote wa Afrika wanaotwisha mizigo ya madeni kwa Wananchi huku wao wakizitumbua kwa starehe na anasa.

Mungu Mbariki Trump wa Marekani.
Tutofautishe kati ya "Serikali" na "Chama"! Japo umeeleweka, maana vyote ni sahihi kusema kama ulivyosema. Ila pia hata chama kina pesa pia, wanachama 12 milioni kwa ada zao ya chini kabisa 2000 kwa mwaka una 2.4B, weka miladi kama viwanja, majengo yao, ruzuku, hujauza mavazi ya chama, njoo kwenye wanaojitokea kusaidia chama kwanini wasiwe na hela? Tusichanganye kuna serikali na kuna chama.
 
Tutofautishe kati ya "Serikali" na "Chama"! Japo umeeleweka, maana vyote ni sahihi kusema kama ulivyosema. Ila pia hata chama kina pesa pia, wanachama 12 milioni kwa ada zao ya chini kabisa 2000 kwa mwaka una 2.4B, weka miladi kama viwanja, majengo yao, ruzuku, hujauza mavazi ya chama, njoo kwenye wanaojitokea kusaidia chama kwanini wasiwe na hela? Tusichanganye kuna serikali na kuna chama.
Usidanganyike kwamba Ccm inatumia pesa za chama. Big No.
 
Sherehe zinazofanyika ktk nchi hii chini ya kile chama, bajeti zake ni kubwa mno hata kw akufikiria tu.

Uki imagine kwamba hii ni Nchi maskini huku wanatujazia Madeni kila mwaka utaamini kabisa hii mikopo huwa inachelushwa.

Trump wa Marekani atakuwa amewashtukia omba omba wote wa Afrika wanaotwisha mizigo ya madeni kwa Wananchi huku wao wakizitumbua kwa starehe na anasa.

Mungu Mbariki Trump wa Marekani.
Fedha za mambo ya ovyo ovyo zipo siyo za maendeleo ya watu. Kwa mfano badala ya kuwekeza gharama kubwa ya kununua magari ya washa washa kuwaumizia raia wako unge nunua matrecta na kuwakopesha kwenye viji na kuhakikisha wakulima wanapata huduma kwa bei Raisi kwa mfano heka moja ukalimiwa kkwa sh. 20,000 badala ya 50,000 mpaka 70,000 na vijana wengi wakapata ajira uhalifu ungepungua na nchi ingekuwa na uhakika wa Amani. Ona sasa kinachotokea Conga, serikali imeuwa vijana 170 hadharani laana inakuja vijana hao wanataka kuing'oa serikali madarakani wakisaidiana na M23. Pamoja wale vijana walio uliwa wengi wao walikuwa ni wahalifu waliokubuhu lakini wamefika ktk hatua ile ni baada ya misingi ya nchi kusahau sera za vijana. Kwa mfano kupatikana kwa vitabu mashuleni, Kujengwa kwa wingi vyuo vya ufundi, Mikopo yenye Riba na masharti nafuu.Sasa usipotimiza hayo halafu ukaseme vijana wajiajiri watajiajiri kwa skils zipi zaidi ya kuwa vibaka. Serikali inatakiwa iweke miundo mbinu wezeshi kwa vijana kupata elimu pamoja na ujuzi wakuweza kujitegemea. Kunakipindi fulani kulikuwa na wimbi kubwa la vijana wakitanzania kuzamia Meli, ingawa sasa limepungua, kukaja wimbi la vijana wengi wa Kitanzani kwenda kwa nia haramu Afrka kusini, ingawa kwa sasa nalo limepungua, hivi sawa wimbi kubwa la vijana nikujishughurisha na umachinga ktk sehemu zisizo rasmi kwahiyo kunakamata kamata kila siku huko mijini. Kilimo peke yake ndicho kitakacho weza kumuokoa kijana wakitanzania kwa sasa. Tuna ardhi kubwa sana na yenye rutuba bidhaa za kilimo zinahitajika sana duniani yakitengwa maeneo Rasmi kwa ajili ya kilimo cha biashara yakapimwa vizuri alafu wakagawiwa vijana.Ikatengwa bajeti ya kuwakopesha ili waendeleze hayo maeneo mkopo ukawa wa mda mrefu tena wangeanza na wanafunzi wa Sua wanao maliza degree na Masters baada ya hapo.serkali ikipata uzoefu wa uendeshaji wanashuka hata kwa vijana wasio na Elimu, hii migrant from vijijini kuna mjini ingeisha kabisa. Ila serikali yetu inaweza zaidi ktk kujilinda ili wapizani wasiiwanyang'anye madaraka. Ni kweli unaweza ukawadhibiti wapinzani au ukawamaliza nguvu kabisa na wakafutika wenyewe, Ila wananchi huwezi kuwadhibiti hayo yanayoendelea Congo ni matunda yalio Anzia kwa Rais Mabutu sasa madhara yake ndiyo hayo yanayoonekana Leo. Tanzania tusipoangalia tutafikia huko. Chama kinaweza kikawa hata kimoja ila kama kitaweza kuendesha nchi kwa misingi iliyo sawa na haki wananchi wake hawana shida nacho, lakini ukiona malalamiko kila kona ujue kuna udhaifu mahali. Watu wanasema oooh kwakuwa Rais ni MwNamke kwa hiyo watu hawamuogopi. Uraisi ni taasisi na taasisi haina jinsia kikubwa ni mifumo ya nchi ipoje. Nakomea hapo kwanza kwa leo. Watanzania wote tunapaswa kuijenga nchi yetu kwa mioyo yetu yote. Na wale wanaotapanya Rasilimali zetu tusiwaonee aibu tuwakemee, kwani hizi rasilimaliinakwenda zikiisha hasa rasilimali asili
 
Fedha za mambo ya ovyo ovyo zipo siyo za maendeleo ya watu. Kwa mfano badala ya kuwekeza gharama kubwa ya kununua magari ya washa washa kuwaumizia raia wako unge nunua matrecta na kuwakopesha kwenye viji na kuhakikisha wakulima wanapata huduma kwa bei Raisi kwa mfano heka moja ukalimiwa kkwa sh. 20,000 badala ya 50,000 mpaka 70,000 na vijana wengi wakapata ajira uhalifu ungepungua na nchi ingekuwa na uhakika wa Amani. Ona sasa kinachotokea Conga, serikali imeuwa vijana 170 hadharani laana inakuja vijana hao wanataka kuing'oa serikali madarakani wakisaidiana na M23. Pamoja wale vijana walio uliwa wengi wao walikuwa ni wahalifu waliokubuhu lakini wamefika ktk hatua ile ni baada ya misingi ya nchi kusahau sera za vijana. Kwa mfano kupatikana kwa vitabu mashuleni, Kujengwa kwa wingi vyuo vya ufundi, Mikopo yenye Riba na masharti nafuu.Sasa usipotimiza hayo halafu ukaseme vijana wajiajiri watajiajiri kwa skils zipi zaidi ya kuwa vibaka. Serikali inatakiwa iweke miundo mbinu wezeshi kwa vijana kupata elimu pamoja na ujuzi wakuweza kujitegemea. Kunakipindi fulani kulikuwa na wimbi kubwa la vijana wakitanzania kuzamia Meli, ingawa sasa limepungua, kukaja wimbi la vijana wengi wa Kitanzani kwenda kwa nia haramu Afrka kusini, ingawa kwa sasa nalo limepungua, hivi sawa wimbi kubwa la vijana nikujishughurisha na umachinga ktk sehemu zisizo rasmi kwahiyo kunakamata kamata kila siku huko mijini. Kilimo peke yake ndicho kitakacho weza kumuokoa kijana wakitanzania kwa sasa. Tuna ardhi kubwa sana na yenye rutuba bidhaa za kilimo zinahitajika sana duniani yakitengwa maeneo Rasmi kwa ajili ya kilimo cha biashara yakapimwa vizuri alafu wakagawiwa vijana.Ikatengwa bajeti ya kuwakopesha ili waendeleze hayo maeneo mkopo ukawa wa mda mrefu tena wangeanza na wanafunzi wa Sua wanao maliza degree na Masters baada ya hapo.serkali ikipata uzoefu wa uendeshaji wanashuka hata kwa vijana wasio na Elimu, hii migrant from vijijini kuna mjini ingeisha kabisa. Ila serikali yetu inaweza zaidi ktk kujilinda ili wapizani wasiiwanyang'anye madaraka. Ni kweli unaweza ukawadhibiti wapinzani au ukawamaliza nguvu kabisa na wakafutika wenyewe, Ila wananchi huwezi kuwadhibiti hayo yanayoendelea Congo ni matunda yalio Anzia kwa Rais Mabutu sasa madhara yake ndiyo hayo yanayoonekana Leo. Tanzania tusipoangalia tutafikia huko. Chama kinaweza kikawa hata kimoja ila kama kitaweza kuendesha nchi kwa misingi iliyo sawa na haki wananchi wake hawana shida nacho, lakini ukiona malalamiko kila kona ujue kuna udhaifu mahali. Watu wanasema oooh kwakuwa Rais ni MwNamke kwa hiyo watu hawamuogopi. Uraisi ni taasisi na taasisi haina jinsia kikubwa ni mifumo ya nchi ipoje. Nakomea hapo kwanza kwa leo. Watanzania wote tunapaswa kuijenga nchi yetu kwa mioyo yetu yote. Na wale wanaotapanya Rasilimali zetu tusiwaonee aibu tuwakemee, kwani hizi rasilimaliinakwenda zikiisha hasa rasilimali asili
Asante kwa Andiko Murua, kama wazalendo Nchi hii wapo wale wanaojisema ni wazalendo basi watakuwa wameiona hii comment
 
haya jaribu kuelezea kinachoendelea, wazungu wanaandamana kupinga waafrika kunyimwa misaada kwa maana masikini wa afrika watakosa dawa, serikali ya tanzagiza inafanya party ya kufuru, wabunge wanaolipwa mamilioni wanashindana ulafi kula wakati mita chache nje ya bunge watoto yatima hawajui jioni watakula nini, birthday hela kibao zinatumika hata kusema tu basi labda wakasherehekee na watoto yatima hamna, hiyo ni nini kama siyo satanism ?
Ccm Kweli ni chama cha kishetani!
 
Sherehe zinazofanyika ktk nchi hii chini ya kile chama, bajeti zake ni kubwa mno hata kw akufikiria tu.

Uki imagine kwamba hii ni Nchi maskini huku wanatujazia Madeni kila mwaka utaamini kabisa hii mikopo huwa inachelushwa.

Trump wa Marekani atakuwa amewashtukia omba omba wote wa Afrika wanaotwisha mizigo ya madeni kwa Wananchi huku wao wakizitumbua kwa starehe na anasa.

Mungu Mbariki Trump wa Marekani.
Itafika wakati wa kula nyasi tutakula nao pamoja.
 
Sherehe zinazofanyika ktk nchi hii chini ya kile chama, bajeti zake ni kubwa mno hata kw akufikiria tu.

Uki imagine kwamba hii ni Nchi maskini huku wanatujazia Madeni kila mwaka utaamini kabisa hii mikopo huwa inachelushwa.

Trump wa Marekani atakuwa amewashtukia omba omba wote wa Afrika wanaotwisha mizigo ya madeni kwa Wananchi huku wao wakizitumbua kwa starehe na anasa.

Mungu Mbariki Trump wa Marekani.
Hapo wanaoumia ni wafanyabiashara, wanachangia hizo hela za kufanya hayo
 
angalia sasa, aga khani ni charity? mtanzagiza gani wa chini anatibiwa aga khani? tembea mikoani na wilayani huko porini ukaone hospitali Christian zinavyotoa huduma kwa kila mtu hata kwa wasi na dini, sehemu ambako hata serikal ya tanzagiza haifiki lkn Christians wapo wanahudumia watu …
Meku umewahi kutibiwa KCMC ?
 
Back
Top Bottom