Kwa majengo,muingiliano wa watu na kuchangamka na pia kieneo na idadi ya watuUkubwa kwenye criterion gan mkuu? Hebu fafanua nielewe maana nna mpango wa kuja huko January.
Kimsingi andiko lako linaafiki kuwa uchumi uko ICU.Wakuu, Amani iwe nanyi!!
Nimekuwepo Kilimanjaro kuanzia mwanzoni mwa Mwezi huu wa December.
Na bahati nzuri nimeyaona maisha ya kijamii kabisa ya wachagga...
Nchi yetu raia wanalalamika sana kuwa hali ni ngumu kila kona, lakini hawa jamaa wa huku sivyo kabisa, nilitegemea kuona mkwamo wa sherehe msimu huu
Lakini mambo yamekuwa tofauti kabisa, wachagga bado wanafanya masherehe makubwa kabisa, Harusi nyingi zinafanywa kwa sherehe kubwa kubwa kabisa, ubarikio na ubatizo bado vinafanyika kwa masherehe.
Hawa watu wao wanapata wapi pesa za kufanya yote haya tena kipindi hiki! Ambapo kila mtu analalamika pesa haionekani?
Tuseme ndiyo Magu kashindwa kuwabana vizuri hadi wanaendelea na matumizi ya aina hii?
Majengo,eneo,population,na,interaction ya watu in comparison na wapi mkuu? Ili tuchambue one fact after another.Kwa majengo,muingiliano wa watu na kuchangamka na pia kieneo na idadi ya watu
Kwani we kanda ya ziwa hauijui na mikoa yakeMajengo,eneo,population,na,interaction ya watu in comparison na wapi mkuu? Ili tuchambue one fact after another.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kisebusebu na kiroho PAPO. Usiku wote huu hupati usingizi kwajili ya roho mbaya
Wakuu, Amani iwe nanyi!!
Nimekuwepo Kilimanjaro kuanzia mwanzoni mwa Mwezi huu wa December.
Na bahati nzuri nimeyaona maisha ya kijamii kabisa ya wachagga...
Nchi yetu raia wanalalamika sana kuwa hali ni ngumu kila kona, lakini hawa jamaa wa huku sivyo kabisa, nilitegemea kuona mkwamo wa sherehe msimu huu
Lakini mambo yamekuwa tofauti kabisa, wachagga bado wanafanya masherehe makubwa kabisa, Harusi nyingi zinafanywa kwa sherehe kubwa kubwa kabisa, ubarikio na ubatizo bado vinafanyika kwa masherehe.
Hawa watu wao wanapata wapi pesa za kufanya yote haya tena kipindi hiki! Ambapo kila mtu analalamika pesa haionekani?
Tuseme ndiyo Magu kashindwa kuwabana vizuri hadi wanaendelea na matumizi ya aina hii?
Clouds media ni ya mhaya?Hivi ni majanga mangapi yameupata MKOA WA Kagera kulinganisha na Kilimanjaro.mpaka kagera inakuwa hivi ilivyo? After all leta leta niachane na sifa zako za uongo et ITV wakati hata hii jamii ni mhaya,clouds media ni mhaya,abemulo nk yote ya wahaya.bora nikuache na masifa yako ambayo hayana msingi ila nakuakikishia Kilimanjaro itaporomoka tu hasa mkiendelea ni misifa yenu hii ya kijinga
emmyta mimi nimekumis tuMmh. Inategemea ila sifa yao walio wengi wanajua kutafuta yaani hawana sifa ya kubweteka.
General Mangi, chuma cha mjerumani, MBIIRWA, Nleterewa Nganengo na atlas copco kaka zangu hawa natumahi nao ni watafutaji wazuri ukimjumlisha na emmy anayefuata nyayo zao.
Afu nadhani 60% ya watumiaji wa mtandao huu ni hao jamaa.Huu uzi unanisaidia kujua wachagga wa jf....
viwanda si vimejengwa mjini?Mkuu nimependa ulivyoandika reality..
Kuna mtu hapa amesema yale majumba ya kifahari yaliyo jengwa migombani hayana maana ni bora wangejenga viwanda.
He tena Leo wapo bukoba team nzima kwenye azimio la kagera pia kuna jamii,gazeti la jamhuri na ukizingatia kagera ni moja ya mikoa yenye radio nyingi sana na nyingine zinasikika hadi nje ya nchi kama Rwanda, Burundi, na Uganda sasa kiujumla kuna radio kumiClouds media ni ya mhaya?
Unadhani Clouds ni ya Ruge?
Pale Clouds kwebyewe wafanyakazi wengi ni Mangi's
unajua Clouds media ni ya Nan?He tena Leo wapo bukoba team nzima kwenye azimio la kagera pia kuna jamii,gazeti la jamhuri na ukizingatia kagera ni moja ya mikoa yenye radio nyingi sana na nyingine zinasikika hadi nje ya nchi kama Rwanda, Burundi, na Uganda sasa kiujumla kuna radio kumi
Swahiba ndio nazifuata aiseee.Ni kweli kbs swahiba sifa yetu kubwa ni kutafuta,naamini na ww utafuata nyayo zetu
Shukrani sana Mkuu.Karibu sana
Mi nabisha Mangi. [emoji85] [emoji85]Nafikiri hata hapa JF takwim zikichukuliwa Chagga ndio wengi,
Anaebisha aje
Mi pia Mangi. Uko poa?emmyta mimi nimekumis tu
Ur welcome mummy akeSwahiba ndio nazifuata aiseee.
Hicho sio nilichokuuliza..Kwani we kanda ya ziwa hauijui na mikoa yake