Kinachoendelea Moshi, Hakuna Hali Ngumu

Kinachoendelea Moshi, Hakuna Hali Ngumu

Wakuu, Amani iwe nanyi!!
Nimekuwepo Kilimanjaro kuanzia mwanzoni mwa Mwezi huu wa December.
Na bahati nzuri nimeyaona maisha ya kijamii kabisa ya wachagga...
Nchi yetu raia wanalalamika sana kuwa hali ni ngumu kila kona, lakini hawa jamaa wa huku sivyo kabisa, nilitegemea kuona mkwamo wa sherehe msimu huu

Lakini mambo yamekuwa tofauti kabisa, wachagga bado wanafanya masherehe makubwa kabisa, Harusi nyingi zinafanywa kwa sherehe kubwa kubwa kabisa, ubarikio na ubatizo bado vinafanyika kwa masherehe.

Hawa watu wao wanapata wapi pesa za kufanya yote haya tena kipindi hiki! Ambapo kila mtu analalamika pesa haionekani?

Tuseme ndiyo Magu kashindwa kuwabana vizuri hadi wanaendelea na matumizi ya aina hii?
Kimsingi andiko lako linaafiki kuwa uchumi uko ICU.

Pia unatanabaisha kuwa wachaga wanashikilia % kubwa ya pesa zilizoko kwenye mzunguko nchini.

Mambo ikoje huko chato na kolomije?

Ni heri zile traffic lights zingefungwa pale marangu mtoni.
 
Kwa majengo,muingiliano wa watu na kuchangamka na pia kieneo na idadi ya watu
Majengo,eneo,population,na,interaction ya watu in comparison na wapi mkuu? Ili tuchambue one fact after another.
 
Kisebusebu na kiroho PAPO. Usiku wote huu hupati usingizi kwajili ya roho mbaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakuu, Amani iwe nanyi!!
Nimekuwepo Kilimanjaro kuanzia mwanzoni mwa Mwezi huu wa December.
Na bahati nzuri nimeyaona maisha ya kijamii kabisa ya wachagga...
Nchi yetu raia wanalalamika sana kuwa hali ni ngumu kila kona, lakini hawa jamaa wa huku sivyo kabisa, nilitegemea kuona mkwamo wa sherehe msimu huu

Lakini mambo yamekuwa tofauti kabisa, wachagga bado wanafanya masherehe makubwa kabisa, Harusi nyingi zinafanywa kwa sherehe kubwa kubwa kabisa, ubarikio na ubatizo bado vinafanyika kwa masherehe.

Hawa watu wao wanapata wapi pesa za kufanya yote haya tena kipindi hiki! Ambapo kila mtu analalamika pesa haionekani?

Tuseme ndiyo Magu kashindwa kuwabana vizuri hadi wanaendelea na matumizi ya aina hii?
 
Hivi ni majanga mangapi yameupata MKOA WA Kagera kulinganisha na Kilimanjaro.mpaka kagera inakuwa hivi ilivyo? After all leta leta niachane na sifa zako za uongo et ITV wakati hata hii jamii ni mhaya,clouds media ni mhaya,abemulo nk yote ya wahaya.bora nikuache na masifa yako ambayo hayana msingi ila nakuakikishia Kilimanjaro itaporomoka tu hasa mkiendelea ni misifa yenu hii ya kijinga
Clouds media ni ya mhaya?
Unadhani Clouds ni ya Ruge?

Pale Clouds kwebyewe wafanyakazi wengi ni Mangi's
 
Wamefika hapo Moshi kwa Pesa za mikopo na Magari ya kukodi
 
Clouds media ni ya mhaya?
Unadhani Clouds ni ya Ruge?

Pale Clouds kwebyewe wafanyakazi wengi ni Mangi's
He tena Leo wapo bukoba team nzima kwenye azimio la kagera pia kuna jamii,gazeti la jamhuri na ukizingatia kagera ni moja ya mikoa yenye radio nyingi sana na nyingine zinasikika hadi nje ya nchi kama Rwanda, Burundi, na Uganda sasa kiujumla kuna radio kumi
 
He tena Leo wapo bukoba team nzima kwenye azimio la kagera pia kuna jamii,gazeti la jamhuri na ukizingatia kagera ni moja ya mikoa yenye radio nyingi sana na nyingine zinasikika hadi nje ya nchi kama Rwanda, Burundi, na Uganda sasa kiujumla kuna radio kumi
unajua Clouds media ni ya Nan?
 
Wachagga tofauti na Makabila Mengi wana nidhamu ya Fedha na Uelewa wa Kutunza kwa ajili ya Jambo fulani wacha wale maisha desemba kwao ni kufuta jasho la mwaka mzima
 
Back
Top Bottom