Liquid Club habari ya mjini Bukoba ni ya mchagaWachagga wengi kwenye biashara kumewashinda wamebaki kufoji vyeti kuingia katika kazi za serikalini na kufanya wizi. Kwa utawala huu wa sasa ivi lazima wakimbie. Apa kariakoo maduka mengi wamekimbia yamechukuliwa na wakigoma na wakinga. Biashara za wizi wizi, sasa ivi zimekwisha lazma wajipange kisaikolojia. Wanabaki kujifariji Mara hoo Kilimanjaro sijui kumeendelea kerere za chura,
Hao wakinga na wakigoma si ndio hao wanatumia mbojo[emoji15] ,tafute hela za halali jamn mbojo sio inshu kabisaWachagga wengi kwenye biashara kumewashinda wamebaki kufoji vyeti kuingia katika kazi za serikalini na kufanya wizi. Kwa utawala huu wa sasa ivi lazima wakimbie. Apa kariakoo maduka mengi wamekimbia yamechukuliwa na wakigoma na wakinga. Biashara za wizi wizi, sasa ivi zimekwisha lazma wajipange kisaikolojia. Wanabaki kujifariji Mara hoo Kilimanjaro sijui kumeendelea kerere za chura,
We piga porojo tu hata hauelewekiWachagga wengi kwenye biashara kumewashinda wamebaki kufoji vyeti kuingia katika kazi za serikalini na kufanya wizi. Kwa utawala huu wa sasa ivi lazima wakimbie. Apa kariakoo maduka mengi wamekimbia yamechukuliwa na wakigoma na wakinga. Biashara za wizi wizi, sasa ivi zimekwisha lazma wajipange kisaikolojia. Wanabaki kujifariji Mara hoo Kilimanjaro sijui kumeendelea kerere za chura,
Eh aliyekwambia liquid ndo club matata nani ? Kenyewe kadogo kama nyumba ya mtu.bk club matata ni kama sky motel,Casanova,linaz yenye kubeba watu 800 ,pk,bukoba club,safari pub,yassira,kilitime,q bar,na beach nyingi zenye club sio hako ukienda bk utembee bwana sio kuangalia sehemu moja nenda milimani uoneLiquid Club habari ya mjini Bukoba ni ya mchaga
Wewe sio mchaga,acha mambo ya kishamba..nimefuatilia huu uzi naona wewe ndo umeanza kuleta mambo yako ya bukoba,wakati hapa wanaume tunazungumzia mkoa wa Kilimanjaro.Wachaga inatubidi nasi tupange mikakati ya kuuinua mkoa wa Kilimanjaro kama wanavyofanya kagera.kagera ilikuwa na maendeleo sana miaka ya nyuma ila iliporomoka kwa sababu ya rushwa na kuporomoka kwa bei ya mazao na ukosefu wa meli na zao la ndizi kushambuliwa na mnyauko ambao SAA hivi umeisha kwa mda mrefu tena matatizo hayo yalishaanza kutatuliwa na rais akitia mkono wake sasa wanaamuka upya na usishangae kuiona kagera hasa bk ikiizidi Kilimanjaro kiuchumi na sisi wachaga tusibweteke siku hizi kahawa zimekufa na uzalishaji umepungua na hata ndizi tujipange upya tuache majivuno tuwafuate wahaya wanavyofanya kagera na Leo kulikuwepo azimio la kagera.
Watu kama hawa ni kuwajibu kwa takwimu tuu. Kasome gazeti la The Citizen la Leo sio unaongea uongoTusisahau,takwimu zinasema kagera ni mkoa wa tatu kutoka mwisho kwa umaskini..Tena nasisitiza kabisa.
Kubali kuambiwa ukweli bro.ukweli unauma lakini ni lazima useme nimetoa kagera kama mfano kwa sababu tamaduni zinafanana sanaWewe sio mchaga,acha mambo ya kishamba..nimefuatilia huu uzi naona wewe ndo umeanza kuleta mambo yako ya bukoba,wakati hapa wanaume tunazungumzia mkoa wa Kilimanjaro.
Na si mara ya kwanza kukuona inalazimishwa ushindani kati ya moshi na bukoba kwenye nyuzi zenye maudhui tofauti..sasa sijui una shida gani?..Number don't lie,Kagera ni mkoa wa 3 kutoka mwisho kwa umaskini Tz,meanwhile Kilimanjaro ni mkoa wa pili from top,kwa mikoa yenye maisha mazuri(uchumi na mengine mengi).
Hao wanatoka nchi mbalimbali wanakuwa likizo hivo wanatumia sio hela za ndani usione wivu.Wakuu, Amani iwe nanyi!!
Nimekuwepo Kilimanjaro kuanzia mwanzoni mwa Mwezi huu wa December.
Na bahati nzuri nimeyaona maisha ya kijamii kabisa ya wachagga...
Nchi yetu raia wanalalamika sana kuwa hali ni ngumu kila kona, lakini hawa jamaa wa huku sivyo kabisa, nilitegemea kuona mkwamo wa sherehe msimu huu
Lakini mambo yamekuwa tofauti kabisa, wachagga bado wanafanya masherehe makubwa kabisa, Harusi nyingi zinafanywa kwa sherehe kubwa kubwa kabisa, ubarikio na ubatizo bado vinafanyika kwa masherehe.
Hawa watu wao wanapata wapi pesa za kufanya yote haya tena kipindi hiki! Ambapo kila mtu analalamika pesa haionekani?
Tuseme ndiyo Magu kashindwa kuwabana vizuri hadi wanaendelea na matumizi ya aina hii?
Na katika takwimu izo jumulisha na tetemeko la aridhi, ugonjwa wa ndizi, kuaribika kwa meli ya Victoria zaidi ya mwaka sasa na zao la kahawa limekuwa na changamoto ya Soko. Kagera watu wanapambana hakuna msaada wa serikali lakini watu wananyanyuka na maisha yanaendaKuna mtu anaweza kufanya ziara ya kushtukiza kwa hasira huko!
Tamaduni gani zinafanana kati ya wahaya na wachaga?..uzi huu ulikuwa na lengo la kuwapa sifa wachaga kwa kurudi nyumbani kwao msimu huu wa sikukuu na kwa kula maisha bila stress ya vyuma vimekaza..sasa wewe sijui kulichokuuma ni nini,hii ni dalili ya inferiority..Kubali kuambiwa ukweli bro.ukweli unauma lakini ni lazima useme nimetoa kagera kama mfano kwa sababu tamaduni zinafanana sana
Hio ni kukimbiza upepo tu aliepewa kapewa,hakuna mwenye dhamani ya kudumu,dunia ni ya Mungu sio ya shetani.Ni mpito tu zaidi ya kuambulia frastiration tu za kukimbiza upepo.Utasababisha shetani apelekwe huko awashughulikie ili wasiishi kama wapo peponi.
Na Mimi nimetoa changamoto kwa wachaga wote mawazo yangu ni muhimu kwa sababu naona mwelekeo wa wachaga utakuja kufanana na wahaya na mkoa wao ulivyoporomoka inferiority imetoka wapi hapo ?Tamaduni gani zinafanana kati ya wahaya na wachaga?..uzi huu ulikuwa na lengo la kuwapa sifa wachaga kwa kurudi nyumbani kwao msimu huu wa sikukuu na kwa kula maisha bila stress ya vyuma vimekaza..sasa wewe sijui kulichokuuma ni nini,hii ni dalili ya inferiority..
Lini kagera kulikuwa na maendeleo(yale yanayoonekana)?...ambayo unasema yameporomoka!!Na Mimi nimetoa changamoto kwa wachaga wote mawazo yangu ni muhimu kwa sababu naona mwelekeo wa wachaga utakuja kufanana na wahaya na mkoa wao ulivyoporomoka inferiority imetoka wapi hapo ?
Huu ndio ukabila sasa... Kila uzi kwa nini ugusie wahaya hakuna makabila mengine ya mfano Tanzania nzima.. ?? Naona umeibukia kule kwa issue za ukabila na huku.. Umebanwa ukabila... Must be having psychological problem..Na Mimi nimetoa changamoto kwa wachaga wote mawazo yangu ni muhimu kwa sababu naona mwelekeo wa wachaga utakuja kufanana na wahaya na mkoa wao ulivyoporomoka inferiority imetoka wapi hapo ?
Kweli mkuu, bora uwakumbushe Maana changamoto ambazo wahaya wamepitia wangekuwa wachaga zimewakuta tungekuwa tushawasahau kama ilo kabila lipo tena apa TanzaniaNa Mimi nimetoa changamoto kwa wachaga wote mawazo yangu ni muhimu kwa sababu naona mwelekeo wa wachaga utakuja kufanana na wahaya na mkoa wao ulivyoporomoka inferiority imetoka wapi hapo ?
Sure mkuu..huyu jamaa ana tatizo kubwa sana,haiewezekani kabisa..oohoo mara moshi pa kawaida!!,,mama yangu katokea Kibosho,!!kuna umaskini mkubwa!!..watu tunamwangalia tuHuu ndio ukabila sasa... Kila uzi kwa nini ugusie wahaya hakuna makabila mengine ya mfano Tanzania nzima.. ?? Naona umeibukia kule kwa issue za ukabila na huku.. Umebanwa ukabila... Must be having psychological problem..