Hilooo[emoji15] [emoji15] [emoji15] ....kwao kubaya na halijaendeleza kwao lipo hapa linaweweseka na kuwaonea wanye kwao wivu.hakuna mchagha fala wa kuazima magari kama hana atajipa moyo wa kupata mwakani na kweli ana-fight mwaka kesho nae unamkuta kwenye msafara,acha uzwazwa bablai jenga kwenu likizo upate na wewe pakwenda.tunawajua hao ikifika desemba wanakopa pesa na kuazima magari ya kwenda kuoshea kwao
Mkuu ni.ekupenda bureHilooo[emoji15] [emoji15] [emoji15] ....kwao kubaya na halijaendeleza kwao lipo hapa linaweweseka na kuwaonea wanye kwao wivu.hakuna mchagha fala wa kuazima magari kama hana atajipa moyo wa kupata mwakani na kweli ana-fight mwaka kesho nae unamkuta kwenye msafara,acha uzwazwa bablai jenga kwenu likizo upate na wewe pakwenda.
Kabisa mwambie mkuu. Sis tupo juuAcha ujinga wewe magari hakuna MTU anaeazima ni yetu na pesa hatukopi ni hela yetu ya kufight wenyewe so nawe jibidishe uende kwenu
Shicha meku. Tunapiga kazi mwaka mzima lazma tukajiponheze buana. Si ni taiga kubwaaaaKwa nini nifanye biashara tangu January mpaka December halafu Krismasi nisiende mgombani kujipongeza? Lazima nikale ndafu bwana. Na nyie msituonee sisi Wachaga wivu. Biashara ni jadi yetu kama ilivyo jadi yetu kwenda mgombani Krismasi. Shimbony?
Hzi roho za kichawi zinakuandama tutakufanyia maombi over the air utaponaWakuu, Amani iwe nanyi!!
Nimekuwepo Kilimanjaro kuanzia mwanzoni mwa Mwezi huu wa December.
Na bahati nzuri nimeyaona maisha ya kijamii kabisa ya wachagga...
Nchi yetu raia wanalalamika sana kuwa hali ni ngumu kila kona, lakini hawa jamaa wa huku sivyo kabisa, nilitegemea kuona mkwamo wa sherehe msimu huu
Lakini mambo yamekuwa tofauti kabisa, wachagga bado wanafanya masherehe makubwa kabisa, Harusi nyingi zinafanywa kwa sherehe kubwa kubwa kabisa, ubarikio na ubatizo bado vinafanyika kwa masherehe.
Hawa watu wao wanapata wapi pesa za kufanya yote haya tena kipindi hiki! Ambapo kila mtu analalamika pesa haionekani?
Tuseme ndiyo Magu kashindwa kuwabana vizuri hadi wanaendelea na matumizi ya aina hii?
Kweli kabisa mkuu[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Acha unafki weweWakuu, Amani iwe nanyi!!
Nimekuwepo Kilimanjaro kuanzia mwanzoni mwa Mwezi huu wa December.
Na bahati nzuri nimeyaona maisha ya kijamii kabisa ya wachagga...
Nchi yetu raia wanalalamika sana kuwa hali ni ngumu kila kona, lakini hawa jamaa wa huku sivyo kabisa, nilitegemea kuona mkwamo wa sherehe msimu huu
Lakini mambo yamekuwa tofauti kabisa, wachagga bado wanafanya masherehe makubwa kabisa, Harusi nyingi zinafanywa kwa sherehe kubwa kubwa kabisa, ubarikio na ubatizo bado vinafanyika kwa masherehe.
Hawa watu wao wanapata wapi pesa za kufanya yote haya tena kipindi hiki! Ambapo kila mtu analalamika pesa haionekani?
Tuseme ndiyo Magu kashindwa kuwabana vizuri hadi wanaendelea na matumizi ya aina hii?
Acha unafki weweWakuu, Amani iwe nanyi!!
Nimekuwepo Kilimanjaro kuanzia mwanzoni mwa Mwezi huu wa December.
Na bahati nzuri nimeyaona maisha ya kijamii kabisa ya wachagga...
Nchi yetu raia wanalalamika sana kuwa hali ni ngumu kila kona, lakini hawa jamaa wa huku sivyo kabisa, nilitegemea kuona mkwamo wa sherehe msimu huu
Lakini mambo yamekuwa tofauti kabisa, wachagga bado wanafanya masherehe makubwa kabisa, Harusi nyingi zinafanywa kwa sherehe kubwa kubwa kabisa, ubarikio na ubatizo bado vinafanyika kwa masherehe.
Hawa watu wao wanapata wapi pesa za kufanya yote haya tena kipindi hiki! Ambapo kila mtu analalamika pesa haionekani?
Tuseme ndiyo Magu kashindwa kuwabana vizuri hadi wanaendelea na matumizi ya aina hii?
Hapo ndo napowapenda wachaga..hawasahau kwao bablai.. ata wakifa wanazikwa kwao na dec hii ukienda moshi ni foleni ya magari ya maana tu..Kweli kabisa mkuu
Hao ulio waona si wa disemba bali ni wa mwaka mzima wanaish Moshi wenyewe wanatokeaga mikoa ya Dar , Mbeya , Iringa , Moro , Dom , Ars na Mnyr kwenda MoshiWakuu, Amani iwe nanyi!!
Nimekuwepo Kilimanjaro kuanzia mwanzoni mwa Mwezi huu wa December.
Na bahati nzuri nimeyaona maisha ya kijamii kabisa ya wachagga...
Nchi yetu raia wanalalamika sana kuwa hali ni ngumu kila kona, lakini hawa jamaa wa huku sivyo kabisa, nilitegemea kuona mkwamo wa sherehe msimu huu
Lakini mambo yamekuwa tofauti kabisa, wachagga bado wanafanya masherehe makubwa kabisa, Harusi nyingi zinafanywa kwa sherehe kubwa kubwa kabisa, ubarikio na ubatizo bado vinafanyika kwa masherehe.
Hawa watu wao wanapata wapi pesa za kufanya yote haya tena kipindi hiki! Ambapo kila mtu analalamika pesa haionekani?
Tuseme ndiyo Magu kashindwa kuwabana vizuri hadi wanaendelea na matumizi ya aina hii?
Hivi ni majanga mangapi yameupata MKOA WA Kagera kulinganisha na Kilimanjaro.mpaka kagera inakuwa hivi ilivyo? After all leta leta niachane na sifa zako za uongo et ITV wakati hata hii jamii ni mhaya,clouds media ni mhaya,abemulo nk yote ya wahaya.bora nikuache na masifa yako ambayo hayana msingi ila nakuakikishia Kilimanjaro itaporomoka tu hasa mkiendelea ni misifa yenu hii ya kijingamkuu naona hata we huamini unachosema unarukaruka
1_kuhusu uwaanja wa ndege MBNA sisi tuna uwanja wa kimataifa kia lakin hatujigambi? sembuse nyie kiji uwanja cha bukoba?
2_bukoba kimakaz n pa hovyo nimekaa kahororo,kashai na kagondo vijumba vya ajabu
lile tetemeko liliwaumbua aina ya vijumba mlivyonavyo bukoba mjini
3_niny mmekimbia mkoa wenu mmebaki kujigamba tu wakati mkoa wa kagera n wa 3 kwa umaskini,Kilimanjaro n ya pili kwa kuwa na maisha bora(kwa mujibu wa ripoti ya wizara ya fedha)
4_ninyi hamna uwekezaji wowote mkubwa either mkoan kwenu au nje angali sisi kiufupi ITV,NIPASHE,RADIO ONE,EATV,EA RADIO,MAJI KILIMANJARO,COCACOLA(BoNITE) precision air nk
5_mabasi ya mikoani karibu 40% n ya watu wa kaskzn Fanya utafiti
6_mnajitapa mmesoma wakati bukoba hakuna Chuo kikuu hata kimoja,Kilimanjaro ndio inaingoza tz kuwa na secondary nyingi
pia INA vyuo vikuu vifuatavyo
muccobs,kcmc,mwenge catholic ,na matawi ya vyuo hayana idadi
niishie hapo kiufupi bukoba kwa moshi haifikii hata 1% mkoa wa kagera n mkoa wa 3 kwa umaskini kawekezeni kwenu achen mbwembwe
ahsante
Wambie nikiwambia hawanielewi siku hizi kahama inabwaga moshi mbaya mbovu kwa ukuaji na maendeleohamna mji umejichokea kama Moshi, ikifika jioni mjini hakuna watu wameshakimbilia migombani kunywa vitochi....hata Njombe kumechangamka kupita Moshi....wachaga ni washamba sana wanajua maisha ni kulewa mapombe tu
mnachekesha kweli kweliWambie nikiwambia hawanielewi siku hizi kahama inabwaga moshi mbaya mbovu kwa ukuaji na maendeleo
nyie n sifa zimewazid hakuna cha majangaHivi ni majanga mangapi yameupata MKOA WA Kagera kulinganisha na Kilimanjaro.mpaka kagera inakuwa hivi ilivyo? After all leta leta niachane na sifa zako za uongo et ITV wakati hata hii jamii ni mhaya,clouds media ni mhaya,abemulo nk yote ya wahaya.bora nikuache na masifa yako ambayo hayana msingi ila nakuakikishia Kilimanjaro itaporomoka tu hasa mkiendelea ni misifa yenu hii ya kijinga