Kinachoendelea Moshi, Hakuna Hali Ngumu

Kinachoendelea Moshi, Hakuna Hali Ngumu

tunawajua hao ikifika desemba wanakopa pesa na kuazima magari ya kwenda kuoshea kwao
Hilooo[emoji15] [emoji15] [emoji15] ....kwao kubaya na halijaendeleza kwao lipo hapa linaweweseka na kuwaonea wanye kwao wivu.hakuna mchagha fala wa kuazima magari kama hana atajipa moyo wa kupata mwakani na kweli ana-fight mwaka kesho nae unamkuta kwenye msafara,acha uzwazwa bablai jenga kwenu likizo upate na wewe pakwenda.
 
Acha ujinga wewe magari hakuna MTU anaeazima ni yetu na pesa hatukopi ni hela yetu ya kufight wenyewe so nawe jibidishe uende kwenu
 
Hilooo[emoji15] [emoji15] [emoji15] ....kwao kubaya na halijaendeleza kwao lipo hapa linaweweseka na kuwaonea wanye kwao wivu.hakuna mchagha fala wa kuazima magari kama hana atajipa moyo wa kupata mwakani na kweli ana-fight mwaka kesho nae unamkuta kwenye msafara,acha uzwazwa bablai jenga kwenu likizo upate na wewe pakwenda.
Mkuu ni.ekupenda bure
 
Kwa nini nifanye biashara tangu January mpaka December halafu Krismasi nisiende mgombani kujipongeza? Lazima nikale ndafu bwana. Na nyie msituonee sisi Wachaga wivu. Biashara ni jadi yetu kama ilivyo jadi yetu kwenda mgombani Krismasi. Shimbony?
Shicha meku. Tunapiga kazi mwaka mzima lazma tukajiponheze buana. Si ni taiga kubwaaaa
 
Wakuu, Amani iwe nanyi!!
Nimekuwepo Kilimanjaro kuanzia mwanzoni mwa Mwezi huu wa December.
Na bahati nzuri nimeyaona maisha ya kijamii kabisa ya wachagga...
Nchi yetu raia wanalalamika sana kuwa hali ni ngumu kila kona, lakini hawa jamaa wa huku sivyo kabisa, nilitegemea kuona mkwamo wa sherehe msimu huu

Lakini mambo yamekuwa tofauti kabisa, wachagga bado wanafanya masherehe makubwa kabisa, Harusi nyingi zinafanywa kwa sherehe kubwa kubwa kabisa, ubarikio na ubatizo bado vinafanyika kwa masherehe.

Hawa watu wao wanapata wapi pesa za kufanya yote haya tena kipindi hiki! Ambapo kila mtu analalamika pesa haionekani?

Tuseme ndiyo Magu kashindwa kuwabana vizuri hadi wanaendelea na matumizi ya aina hii?
Hzi roho za kichawi zinakuandama tutakufanyia maombi over the air utapona
 
Wakuu, Amani iwe nanyi!!
Nimekuwepo Kilimanjaro kuanzia mwanzoni mwa Mwezi huu wa December.
Na bahati nzuri nimeyaona maisha ya kijamii kabisa ya wachagga...
Nchi yetu raia wanalalamika sana kuwa hali ni ngumu kila kona, lakini hawa jamaa wa huku sivyo kabisa, nilitegemea kuona mkwamo wa sherehe msimu huu

Lakini mambo yamekuwa tofauti kabisa, wachagga bado wanafanya masherehe makubwa kabisa, Harusi nyingi zinafanywa kwa sherehe kubwa kubwa kabisa, ubarikio na ubatizo bado vinafanyika kwa masherehe.

Hawa watu wao wanapata wapi pesa za kufanya yote haya tena kipindi hiki! Ambapo kila mtu analalamika pesa haionekani?

Tuseme ndiyo Magu kashindwa kuwabana vizuri hadi wanaendelea na matumizi ya aina hii?
Acha unafki wewe

50% ya wachaga ni wajasiria Mali na wapo vizuri sana katika kibudget hela ya kwenda kuesabiwa kila mwisho wa mwaka
 
Wakuu, Amani iwe nanyi!!
Nimekuwepo Kilimanjaro kuanzia mwanzoni mwa Mwezi huu wa December.
Na bahati nzuri nimeyaona maisha ya kijamii kabisa ya wachagga...
Nchi yetu raia wanalalamika sana kuwa hali ni ngumu kila kona, lakini hawa jamaa wa huku sivyo kabisa, nilitegemea kuona mkwamo wa sherehe msimu huu

Lakini mambo yamekuwa tofauti kabisa, wachagga bado wanafanya masherehe makubwa kabisa, Harusi nyingi zinafanywa kwa sherehe kubwa kubwa kabisa, ubarikio na ubatizo bado vinafanyika kwa masherehe.

Hawa watu wao wanapata wapi pesa za kufanya yote haya tena kipindi hiki! Ambapo kila mtu analalamika pesa haionekani?

Tuseme ndiyo Magu kashindwa kuwabana vizuri hadi wanaendelea na matumizi ya aina hii?
Acha unafki wewe

50% ya wachaga ni wajasiria Mali na wapo vizuri sana katika kibudget hela ya kwenda kuesabiwa kila mwisho wa mwaka
 
hali mbaya ni kwako wakati wewe unalalamika hali mbaya wengine wako wanafuja wanasiasa wasikuanganye kuwa hali ni mbaya wakati wao wenyewe mambo mazuri
 
Wakuu, Amani iwe nanyi!!
Nimekuwepo Kilimanjaro kuanzia mwanzoni mwa Mwezi huu wa December.
Na bahati nzuri nimeyaona maisha ya kijamii kabisa ya wachagga...
Nchi yetu raia wanalalamika sana kuwa hali ni ngumu kila kona, lakini hawa jamaa wa huku sivyo kabisa, nilitegemea kuona mkwamo wa sherehe msimu huu

Lakini mambo yamekuwa tofauti kabisa, wachagga bado wanafanya masherehe makubwa kabisa, Harusi nyingi zinafanywa kwa sherehe kubwa kubwa kabisa, ubarikio na ubatizo bado vinafanyika kwa masherehe.

Hawa watu wao wanapata wapi pesa za kufanya yote haya tena kipindi hiki! Ambapo kila mtu analalamika pesa haionekani?

Tuseme ndiyo Magu kashindwa kuwabana vizuri hadi wanaendelea na matumizi ya aina hii?
Hao ulio waona si wa disemba bali ni wa mwaka mzima wanaish Moshi wenyewe wanatokeaga mikoa ya Dar , Mbeya , Iringa , Moro , Dom , Ars na Mnyr kwenda Moshi
 
mkuu naona hata we huamini unachosema unarukaruka
1_kuhusu uwaanja wa ndege MBNA sisi tuna uwanja wa kimataifa kia lakin hatujigambi? sembuse nyie kiji uwanja cha bukoba?
2_bukoba kimakaz n pa hovyo nimekaa kahororo,kashai na kagondo vijumba vya ajabu
lile tetemeko liliwaumbua aina ya vijumba mlivyonavyo bukoba mjini
3_niny mmekimbia mkoa wenu mmebaki kujigamba tu wakati mkoa wa kagera n wa 3 kwa umaskini,Kilimanjaro n ya pili kwa kuwa na maisha bora(kwa mujibu wa ripoti ya wizara ya fedha)
4_ninyi hamna uwekezaji wowote mkubwa either mkoan kwenu au nje angali sisi kiufupi ITV,NIPASHE,RADIO ONE,EATV,EA RADIO,MAJI KILIMANJARO,COCACOLA(BoNITE) precision air nk
5_mabasi ya mikoani karibu 40% n ya watu wa kaskzn Fanya utafiti
6_mnajitapa mmesoma wakati bukoba hakuna Chuo kikuu hata kimoja,Kilimanjaro ndio inaingoza tz kuwa na secondary nyingi
pia INA vyuo vikuu vifuatavyo
muccobs,kcmc,mwenge catholic ,na matawi ya vyuo hayana idadi
niishie hapo kiufupi bukoba kwa moshi haifikii hata 1% mkoa wa kagera n mkoa wa 3 kwa umaskini kawekezeni kwenu achen mbwembwe
ahsante
Hivi ni majanga mangapi yameupata MKOA WA Kagera kulinganisha na Kilimanjaro.mpaka kagera inakuwa hivi ilivyo? After all leta leta niachane na sifa zako za uongo et ITV wakati hata hii jamii ni mhaya,clouds media ni mhaya,abemulo nk yote ya wahaya.bora nikuache na masifa yako ambayo hayana msingi ila nakuakikishia Kilimanjaro itaporomoka tu hasa mkiendelea ni misifa yenu hii ya kijinga
 
hamna mji umejichokea kama Moshi, ikifika jioni mjini hakuna watu wameshakimbilia migombani kunywa vitochi....hata Njombe kumechangamka kupita Moshi....wachaga ni washamba sana wanajua maisha ni kulewa mapombe tu
Wambie nikiwambia hawanielewi siku hizi kahama inabwaga moshi mbaya mbovu kwa ukuaji na maendeleo
 
Salute,


Kuzunguka zunguka kwangu kote, sijaona Mchaga hohae, ambaye anaishi mfano kwenye nyumba za pembe.


Hivi ni kwanini ?, au wao ni matepeli sana ama wanafanya biashara za type gani?



Nawasilisha.
 
Hahaha ...mm nina wapuuzi kibao wakichaga nawajua masikiti wa kutupwa tunawasaidia hapa
 
Wambie nikiwambia hawanielewi siku hizi kahama inabwaga moshi mbaya mbovu kwa ukuaji na maendeleo
mnachekesha kweli kweli
ingia web ya tra uangalie makusanyo ya moshi na hko kwenu then mrudi hapa
nyie mmebaki sifa tu bukoba imedidimia vibaya
 
Hivi ni majanga mangapi yameupata MKOA WA Kagera kulinganisha na Kilimanjaro.mpaka kagera inakuwa hivi ilivyo? After all leta leta niachane na sifa zako za uongo et ITV wakati hata hii jamii ni mhaya,clouds media ni mhaya,abemulo nk yote ya wahaya.bora nikuache na masifa yako ambayo hayana msingi ila nakuakikishia Kilimanjaro itaporomoka tu hasa mkiendelea ni misifa yenu hii ya kijinga
nyie n sifa zimewazid hakuna cha majanga
mnakimbia kuwekeza kwenu mtarajie mtapata maendeleo? n aibu bukoba kutokuwa na Chuo Kikuu hata kimoja
stand ya mkoa n vumbi
 
Back
Top Bottom