Mabasi ya kuja bukoba mbona sio hayo tu ni mengi mbona mfano friends,falcon,mombasa raha,ota,ilyana,fikoshi,nk isitoshe hakuna sababu ya kuwa na mabasi mengi maana meli ikitia nanga tu bukoba inamwaga zaidi ya watu 1500 kutoka mwanza hivyo wengi usafiri hadi mwanza kwa either basi au train na siku kunajengwa meli nyingine kubwa zaidi inayobeba watu 1200 hivi hawa watu moshi kwa siku moja wanaokuja kwa basi ndo maana uwekezaji wa mabasi utapata loss maana wengi uwenda hadi mwanza kwanza na kuja kwa meli au basi ndo maana root ya bk mwanza INA mabasi mengi.pia watu wengi kwa sababu ya sifa na utajiri wao uja kwa ndege hadi bukoba ndo maana safari za ndege kuna bukoba hazikomi na uwanja inapanuliwa zaidi ili ndege kubwa kama fastjet ziweze kutua .hivi unafikiri kwa nini wafanye hivyo ? Kuhusu mji wa bukoba kuwa na majengo yaliozeeka sijui kama unachokisema unakifahamu maana maghorofa siku hizi yanaongezeka kila siku mfano mwaka huu tu maghorofa 20 yameongezeka mjini hasa milimani ukiongeza na ihungo blocks.bahati nzr mji wa moshi nimesomea pale moshi tech ila moshi pamekanda sana mighorofa speed yake sio kama ya bukoba na muingiliano wa watu ni mdogo kulinganisha na arusha na mabasi mengi yaneelekea arusha sio moshi lakini sio mengi kama ya bk mwanza
Sent from my VF685 using
JamiiForums mobile app
mkuu naona hata we huamini unachosema unarukaruka
1_kuhusu uwaanja wa ndege MBNA sisi tuna uwanja wa kimataifa kia lakin hatujigambi? sembuse nyie kiji uwanja cha bukoba?
2_bukoba kimakaz n pa hovyo nimekaa kahororo,kashai na kagondo vijumba vya ajabu
lile tetemeko liliwaumbua aina ya vijumba mlivyonavyo bukoba mjini
3_niny mmekimbia mkoa wenu mmebaki kujigamba tu wakati mkoa wa kagera n wa 3 kwa umaskini,Kilimanjaro n ya pili kwa kuwa na maisha bora(kwa mujibu wa ripoti ya wizara ya fedha)
4_ninyi hamna uwekezaji wowote mkubwa either mkoan kwenu au nje angali sisi kiufupi ITV,NIPASHE,RADIO ONE,EATV,EA RADIO,MAJI KILIMANJARO,COCACOLA(BoNITE) precision air nk
5_mabasi ya mikoani karibu 40% n ya watu wa kaskzn Fanya utafiti
6_mnajitapa mmesoma wakati bukoba hakuna Chuo kikuu hata kimoja,Kilimanjaro ndio inaingoza tz kuwa na secondary nyingi
pia INA vyuo vikuu vifuatavyo
muccobs,kcmc,mwenge catholic ,na matawi ya vyuo hayana idadi
niishie hapo kiufupi bukoba kwa moshi haifikii hata 1% mkoa wa kagera n mkoa wa 3 kwa umaskini kawekezeni kwenu achen mbwembwe
ahsante