Rank namba 6 Africa sio mchezo Hata hao kaizer wamepitwa!Brand za wachezaji zimepanda mno, ndivyo ilivyo timu ikipata mafanikio.
Ukiona timu haina hizi kash kash mwisho wa msimu jibu unalo
Inakuchoma ukiwa wapi we bottomKilasiku kujadili waume zenu Yanga, inaonekana Yanga inawakuna vizuri hizo tgo zenu... Watoto wa kiume mnapoteza marinda kwa upuuzi wenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariii tupuuu.."....na wachezaji hao wanne ni Bangala, Mayele, Diarra na Lomalisa."
Mwisho wa kunukuu[emoji28][emoji28]
Unamaanisha nini hapa mkuu?Rank namba 6 Africa sio mchezo
No 6 kwa takwimu zipii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Rank namba 6 Africa sio mchezo Hata hao kaizer wamepitwa!
Hata dhamani ya klabu imepanda huu ni muda wa viongozi kuleta wadhamini wenye misuli mikubwa zaidi
Wewe ndo umekunwa tigo hata kuzuia wachezaji na makocha unashindwa. Wanatoka tu kama Mavi.Yanga mtambo wa kubrand wachezaji na makocha. Yaani msimu huu tumepiga kwenye mshono masimango yoootee ya makolo
Bro acha kukaza fuvu mpira ni burudani tu [emoji2]Kilasiku kujadili waume zenu Yanga, inaonekana Yanga inawakuna vizuri hizo tgo zenu... Watoto wa kiume mnapoteza marinda kwa upuuzi wenu
Tatizo la utopolo wanadhani hizo rankings anagawae g.s.m.No 6 kwa takwimu zipii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unachekesha wee
Kama Dotmund vileBrand za wachezaji na benchi la ufundi zimepanda mno, ndivyo ilivyo timu ikipata mafanikio.
Off course inauma wachezaji kuondoka ila watauzwa kwa faida na watanunuliwa wengine.
Wakate pochi tu MTANI! Hela ndiyo kila kitu na siyo talalila.USAJILI Kiungo/Beki wa Yanga mkongomani Yannick Bangala Litombo amesema wazi wazi ana asilimia 20% tu za kubaki Yanga. Naishia hapa nakuachia wewe mdau unateseka ukiwa wapi na hizi taarifa za wachezaji wenu kuanza kusepa?..BANGALA ATHIBITISHA KUONDOKA YANGA.
Baada ya Kocha Nasredinne Nabbi Kuondoka Yanga na inataarifiwa kuwa Tayari ameshasaini Kaizer Chief ya Afrika Ya Kusini.
Kocha Nabi anataka Kuwasajili baadhi ya Wachezaji Ambao alikuwa nao ndani ya Klabu hio ya Yanga aende nao Kaizer.
Yanick Bangala ni moja ya Wachezaji wanaoitajika na Kocha Nabi na ana Mkataba Wa Mwaka Mmoja.
Tayari Kaizer Chief wamewatumia Barua Yanga kwa ajili ya Kutaka Saini ya Kiungo huyo Yanick Bangala.
Inatajwa Bangala Yupo Tayari Kukubali Ofa Hio na Muda wowote atatuma Barua ya Kutaka Kuvunja Mkataba Wake na Yanga Kama Yanga wakigomea Ofa ya Kaizer Chief .
Kwenye Mahojiano aliyofanya Bangala Siku za Hivi Karibuni Amesema ana Asilimia 20 ya Kubaki Yanga na Asilimia 80 ya Kuondoka.
Kaizer inampango wa Kuwasajili Wachezaji Wanne Kutoka Klabu Ya Yanga.
#YangaSC #YannickBangala
View attachment 2659602
Yanga wamemalizana na lilepoAposto nini kimetokea
Nabi anamchukua kila mtu jangwani na kuwaachia kiungo bamia sure boy[emoji23][emoji23][emoji23]Aposto nini kimetokea
Sio bahasha tena ni wakongoKwa hii ondoka ondoka ya mutu ya Congo, hamchukui hata kikombe cha chai msimu ujao.
Unamaanisha nini hapa mkuu?
No 6 kwa takwimu zipii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unachekesha wee