Tetesi: Kinachoendelea ni dalili za kuwasili AMNESTY INTERNATIONAL

Siku hizi bar kuna vitu adimu kuliko huko serikalini kunakopikwa data

Kaka,

Siyo siku hizi. Siku zote bar ndiko kwenye habari zote. Hata wale binadamu wanaoishi kwa kunusanusa habari na kuzipeleka kwa waliowatuma hujazana bar ingawa siku hizi wanajazana hata humu mitandaoni.
 
Acheni kujitisha na kuwa wajinga kiasi hicho. Wao pia wana mipaka.
 
Halafu mambo ya baa unatuletea tu discuss huku, hiyo akili matope? kajadili na walevi wenzako huko.
 
jamaa alikua anatamba kuwa kuna pesa nyingi zikihamishiwa vote 20 sasa wahisani wamekata jamaa kila siku kukopa tu karibu atashindwa kulipa mishahara maana ameisha anza kushindwa kulipa madeni amekua mdaiwa sugu
Kwani korosho manunuzi ya tshs 3300, tayari??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao pamewashinda Congo Africa ya Kati Somalia south Sudan Ethiopia myinmar colombia Mexico Burundi Rwanda je wataweza kwetu ambapo hatujafikia hatua hiyo
 
Kaka,

Siyo siku hizi. Siku zote bar ndiko kwenye habari zote. Hata wale binadamu wanaoishi kwa kunusanusa habari na kuzipeleka kwa waliowatuma hujazana bar ingawa siku hizi wanajazana hata humu mitandaoni.
Na sifa mojawapo ya hao wanusaji ili unuse vizuri, ni kuwa mnywaji. Ingawa hunywa kwa mahesabu lengo kuu likiwa ni kunusa. Nimemshangaa jamaa mmoja hapo juu anasema eti habari za kwenye bar.... Huko ndo mijadala ya nchi iliko, tena watu huwa wanajadili kwa kufunguka kwa sababu ya ujasili fake wa larger

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…