SubiriJibu
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 1,805
- 1,876
- Thread starter
- #21
Kumbe basi kweli huyo mdudu AMNESTY anakuja na haupingi hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni bendi ya wapi?
Tulipohoji sinema ya Mambosasa kunywa chai na Mo hatkuwa wajinga, tulijadili hayo kwenye baa miezi kadhaa iliyopita.
Siku hizi bar kuna vitu adimu kuliko huko serikalini kunakopikwa data
Rubbish...
Kwani korosho manunuzi ya tshs 3300, tayari??jamaa alikua anatamba kuwa kuna pesa nyingi zikihamishiwa vote 20 sasa wahisani wamekata jamaa kila siku kukopa tu karibu atashindwa kulipa mishahara maana ameisha anza kushindwa kulipa madeni amekua mdaiwa sugu
Huyo kajilaanisha mwenyewe.zitaisha mpaka vote 20 itakaukiwa ndio ataelewa nini maana ya kulaaniwa.
Hao pamewashinda Congo Africa ya Kati Somalia south Sudan Ethiopia myinmar colombia Mexico Burundi Rwanda je wataweza kwetu ambapo hatujafikia hatua hiyoMkuu,
Mimi siyo unaowasema, nimeleta tetesi za mtaani na hata mimi sina hakika kama ni kweli au la.
Kama tunapigwa na kuonewa basi AMNESTY INTERNATIONAL wana haki ya kuja.
Hata kitendo cha kukalishwa mahabusu kwa miezi minne wanatakiwakukichukua kama evi
ence.
Maybe wanataka wakusaidie ili usifike kwenye hiyo hatuaHao pamewashinda Congo Africa ya Kati Somalia south Sudan Ethiopia myinmar colombia Mexico Burundi Rwanda je wataweza kwetu ambapo hatujafikia hatua hiyo
Mkipigwa mmeonewa mkiachiwa mmeogopwa aise ila nchi ilikuwa imechakaa kiana
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Mkipigwa mmeonewa mkiachiwa mmeogopwa aise ila nchi ilikuwa imechakaa kiana
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Pumbavu!Wht he pissed me off, eti alikuwa bar, tetesi za bar unaleta humu.. Imagine..!! This is shithole of the year..!!
Na sifa mojawapo ya hao wanusaji ili unuse vizuri, ni kuwa mnywaji. Ingawa hunywa kwa mahesabu lengo kuu likiwa ni kunusa. Nimemshangaa jamaa mmoja hapo juu anasema eti habari za kwenye bar.... Huko ndo mijadala ya nchi iliko, tena watu huwa wanajadili kwa kufunguka kwa sababu ya ujasili fake wa largerKaka,
Siyo siku hizi. Siku zote bar ndiko kwenye habari zote. Hata wale binadamu wanaoishi kwa kunusanusa habari na kuzipeleka kwa waliowatuma hujazana bar ingawa siku hizi wanajazana hata humu mitandaoni.
"Hamuwezi kuwa nchi huru huku mnategemea kila kitu kutoka kwa wahisani"- Mwalimu J.K.NYERERE
Mawazo mfu hayo, kipi kimebadilika?? Nani anayefanya kazi Hapati chake kama zamani??Mkipigwa mmeonewa mkiachiwa mmeogopwa aise ila nchi ilikuwa imechakaa kiana
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Mimi mwenyewe mlevi na nipo Jf hivyo acha ukudaHalafu mambo ya baa unatuletea tu discuss huku, hiyo akili matope? kajadili na walevi wenzako huko.