Kinachoendelea Twitter (X) kuhusu maoni ya watu juu ya Waraka wa TEC ni upuuzi mtupu

Kinachoendelea Twitter (X) kuhusu maoni ya watu juu ya Waraka wa TEC ni upuuzi mtupu

Kitu kikubwa cha kuogofya ni UNAFIKI NA UZANDIKI wa BARAZA kutoa waraka wenye nia ya kugonganisha na kuchonganisha.

LENGO LA WARQKA WA TEC sio maoni bali ni kuzua taharuki miongoni mwa Jamii.

TEC ni chombo cha kanisa hivyo tukiruhusu kanisa au msikiti kutoa matamko kwenye masuala ya kisiasa ni hatari kwa ustawi wa nchi yetu.

Leo waraka umetolewa na TEC, kesho watatoa BAKWATA kutetea kitakacho fuata ni malumbano ya KIDINI.


MIMI NI RC lakini sikubaliani na njia waliyo itumia TEC.

Vikiibuka vita vya kidini hakuna atakaye pona, tusifike huko lakini TEC wanataka kutufikisha huko....hii ni hatari tusiichekelea kwani hakuna atakaye pona
Sisi ndio tunaset trends ww fwala
 
Hebu msome vizuri hapa

Hapa Taasisi ambazo zina haki ya kusikilizwa kwenye suala la Bandari ni Bunge na Mahakama, sio taasisi yeyote ya dini wala kikundi chochote hapa nchini.

- Kwenye suala la IGA tayari Mahakama Kuu kanda ya Mbeya ilishatoa hukumu kwamba IGA haina tatizo na kubariki mchakato mzima wa uwekezaji uendelee.

- Tatu, Bunge la JMT limepitisha mkataba wa IGA kwa kuzingatia sheria za bunge na maslahi mapana ya Taifa letu.

- Kama suala la kitaifa la uwekezaji kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu mmeanza kulitia udini, basi niwaambia Mbegu mnayoipanda sio nzuri na kwa hakika, itawatokea puani siku si nyingi.
..Pole zake Sana. Muda Mfupi TU Ujao atatafuta Mchana wa kuficha Kichwa Chale kama Mbuni ! Mark my Words...
 
Back
Top Bottom