Kinachoendelea Twitter (X) kuhusu maoni ya watu juu ya Waraka wa TEC ni upuuzi mtupu

Kinachoendelea Twitter (X) kuhusu maoni ya watu juu ya Waraka wa TEC ni upuuzi mtupu

Waraka utasomwa kwa wiki 6 mfululizo tutegemee mengi zaidiView attachment 2723499 Hii Ayo TV ameshurutishwa kuifuta haipo tena
Na hapo ndio watajua hawajui... Maana sasa hivi hata aliekuwa hafatilii mambo ya Bandari ameanza kufuatilia... Sasa wiki Sita kama utasomwa si itakua balaaa... Kweli kanisa lina nguvu... Maana hadi aliekuwa makete udungwani lazima asikie na aungemkono.. 🤔🤔
 
Huu waraka naona umewashika pabaya mno na ni wazi hawana pa kutokea! Si waraka mbaya umesheheni ushauri na tadhahari kwa maslahi ya Watanganyika wote bila kujali imani, itikadi wala asili zao.

Ni waraka usio na chembe ya udini wala itikadi za kisiasa.. Umetembea kwenye mstari wa katiba na sheria za nchi. Ni mkataba uliozingatia kwa asilimia 100 uzalendo, ustawi, utu na urithi wa taifa hili na tunu zake kwa vizazi vya sasa na vijavyo.. Lakini nyuma yake kuna mamlaka inajaribu kuukwamisha kwa kutengeneza watu wasiojitambua kuuhuisha na dini na maisha binafsi ya watu.

Wametengezwa watu wanaohojiwa na kutoa maoni yao. Yaani ni vituko na upuuzi mtupu.. Mpaka unaona kabisa hata huyo aliyewatengeneza akili zake hazina akili kama wao.

Inawezekana kabisa kuna kitu kikubwa zaidi kibaya zaidi cha kuogofya zaidi kuhusiana DPW na Bandari zetu za Tanganyika. Maana baada ya waraka kutoka JK kaibukia huko kwa Wasabato na kutoa nasaha zake zilizoacha maswali mengi kuliko majibu

Mama naye ni mwalikwa huko KKKT sijui atasema nini. Lakini unaweza kutabiri. Chama cha mitume na manabii eti nao wametoa waraka wao unaoupinga wa TEC.

Hizo mbinu zote ni namna ya kutaka kuwatenganisha watanganyika na waraka wa TEC na kutaka kuonesha waraka huo ni wa kikundi cha watu wachache wenye malengo yao mabaya.

TEC hawajakurupuka na hawatajibu mapigo kwakuwa wanajua kwa hakika wanachokifanya na waraka husika utaendelea kusomwa kwa wiki sita mfululizo bila kukoma mpaka hata asiye na masikio ya kusikia kama kenge asikie.

Hii panic ya kijinga ya kutafuta watu mitaani waupinge waraka haitafika popote. Wasabato, KKKT, Pentecost BAKWATA na wengine wote unganeni na TEC kwenye hili mwisho hauko mbali

Umoja wetu ndio mtaji wetu
Mungu ibariki Tanganyika
Mungu wabariki Watanganyika

View attachment 2723488
hapa ni kwamba chizi anayeokota makopo alikuwa anajaribu kumjibu mtu mwenye akili timamu. ni ajabu nchi inaendeshwa na watu kama mwijaku,
 
Ila Mkuu Mshana kuna jamii nimeidharau mno mno!
Wakati wa utawala wa Kikwete kuna Masheik waliwekwa ndani.
Walioandiika waraka kupinga wale Masheikh kushikiliwa na TEC na Sheikh Ponda tu
!
Wengine wote walikaa kimya bila kupaza sauti!
Wakati wa Magufuli na unyanyasaji wake TEC iliandika waraka kupinga pia na kulitokea kutoelewana kati yake na TEC.
Ni vyema kuomba hekima kwa hawa watu waweze kujitambua!
 
TAFAKARI KWA WAKATOLIKI WENZANGU – GEORGE RUGAMBWA

Tumsifu Yesu Kristo
Amani na Usalama

Nataka niwape tafakari ndogo ya sehemu ya Kanisa Katoliki katika amani na ustawi wa jamii yetu.

Naomba nitumie mfano wa jirani zetu Rwanda mwaka 1994. Idadi ya Wakatoliki ilikuwa 65%, Waprotestanti 9%, Waislamu 1%. Dini nyingine na wasio na dini wanagawana hiyo 25% inayobaki. Kama tunavyojua Rwanda ina makabila makubwa mawili, Wahutu na Watusi. Maaskofu akiwemo aliyekuwa Askofu Mkuu wa Kigali Vincent Nsengiyumva, wakawa nyuma ya siasa za kibaguzi kwa miaka 14.

Askofu Nsengiyumva akawa Mwenyekiti wa Kamati Kuu ya National Republican Movement for Democracy and Development (NRMDD) au Kiswahili Vuguvugu la Jamhuri la Demokrasia na Maendeleo. Hiki kilikuwa ndicho chama tawala chini ya Wahutu kuanzia mwaka 1975 hadi mwaka 1994 pale Kagame na Rwandan Patriotic Front (RPF) walipoitwaa Kigali baada ya watu zaidi ya laki nane wengi wao Watusi kupoteza maisha katika mauaji ya Kimbari.

Mwaka 1990 Vatican ilimuonya Askofu Nsengiyumva kuachana na siasa lakini hakutii ipasavyo. Sijui kama mnaelewa.

Huyu alikuwa Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Kigali Rwanda na wakati huo huo Mwenyekiti wa Kamati Kuu ya Chama Tawala na Kiongozi wa Maaskofu wote wa Katoliki Rwanda. Chama chake cha Wahutu kilishiriki kupanga mauaji ya Watusi. Chini ya uongozi wake maaskofu Rwanda waliishi kwenye majumba ya kifahari yakijengwa kwa misamaha ya kodi kwenye huduma na biashara za kanisa.

Juni 7 1994, kikosi kidogo cha Wanajeshi wa Kagame wa RPF walimvamia na kumuua yeye na maaskofu wengine wawili na mapadri kumi na kusema wanahusika kwenye mauaji ya ndugu zao. Askofu Nsengiyumva alikuwa na marafiki maaskofu, mapadri na watawa Tanzania na amefika hapa mara nyingi hadi miaka miwili kabla ya kifo chake.

Wakristo wenzangu, nachotaka kusema ni kwamba viongozi wetu wa dini ni binadamu wenye ajenda zao. Uzuri baadhi ya mambo yao mnayajua pia. Akili za kuambiwa changanya na za kwako.

Nawatakia Ibada Njema ya Jumapili Agosti 20, 2023.

George Rugambwa
Butainamwa, Kagera
fact
 
Ulipoandika tu "TANGANYIKA"..

Mshana Jr acha ubaguzi wa thamani kuu ya taifa la JMT...

Ni hayati El Commandante JKN ndiye aliyelifuta DOLA la TANGANYIKA kwa sababu pana mno za maslahi dumu ya taifa hili....

Unaegemea HISIA zako zaidi ya UHALISIA ?!!!
Mkunazi Njiwa Mimi ni Mtanganyika na nitabaki kuwa Mtanganyika kama alivyo Mzanzibar hakuna ubaguzi hapo
 
Huu waraka naona umewashika pabaya mno na ni wazi hawana pa kutokea! Si waraka mbaya umesheheni ushauri na tadhahari kwa maslahi ya Watanganyika wote bila kujali imani, itikadi wala asili zao.

Ni waraka usio na chembe ya udini wala itikadi za kisiasa.. Umetembea kwenye mstari wa katiba na sheria za nchi. Ni mkataba uliozingatia kwa asilimia 100 uzalendo, ustawi, utu na urithi wa taifa hili na tunu zake kwa vizazi vya sasa na vijavyo.. Lakini nyuma yake kuna mamlaka inajaribu kuukwamisha kwa kutengeneza watu wasiojitambua kuuhuisha na dini na maisha binafsi ya watu.

Wametengezwa watu wanaohojiwa na kutoa maoni yao. Yaani ni vituko na upuuzi mtupu.. Mpaka unaona kabisa hata huyo aliyewatengeneza akili zake hazina akili kama wao.

Inawezekana kabisa kuna kitu kikubwa zaidi kibaya zaidi cha kuogofya zaidi kuhusiana DPW na Bandari zetu za Tanganyika. Maana baada ya waraka kutoka JK kaibukia huko kwa Wasabato na kutoa nasaha zake zilizoacha maswali mengi kuliko majibu

Mama naye ni mwalikwa huko KKKT sijui atasema nini. Lakini unaweza kutabiri. Chama cha mitume na manabii eti nao wametoa waraka wao unaoupinga wa TEC.

Hizo mbinu zote ni namna ya kutaka kuwatenganisha watanganyika na waraka wa TEC na kutaka kuonesha waraka huo ni wa kikundi cha watu wachache wenye malengo yao mabaya.

TEC hawajakurupuka na hawatajibu mapigo kwakuwa wanajua kwa hakika wanachokifanya na waraka husika utaendelea kusomwa kwa wiki sita mfululizo bila kukoma mpaka hata asiye na masikio ya kusikia kama kenge asikie.

Hii panic ya kijinga ya kutafuta watu mitaani waupinge waraka haitafika popote. Wasabato, KKKT, Pentecost BAKWATA na wengine wote unganeni na TEC kwenye hili mwisho hauko mbali

Umoja wetu ndio mtaji wetu
Mungu ibariki Tanganyika
Mungu wabariki Watanganyika

View attachment 2723488
Katu Mwinjaku Hamna mtu mwenye akili timamu anaweza akafikiria unachokizugumza shoga mzoefu unadiriki vipi kuingilia maneno ya wanazuoni hebu tafuta vilinge vyako kijana hii ishu huna nafasi Bata wewe
 
Huu waraka naona umewashika pabaya mno na ni wazi hawana pa kutokea! Si waraka mbaya umesheheni ushauri na tadhahari kwa maslahi ya Watanganyika wote bila kujali imani, itikadi wala asili zao.

Ni waraka usio na chembe ya udini wala itikadi za kisiasa.. Umetembea kwenye mstari wa katiba na sheria za nchi. Ni mkataba uliozingatia kwa asilimia 100 uzalendo, ustawi, utu na urithi wa taifa hili na tunu zake kwa vizazi vya sasa na vijavyo.. Lakini nyuma yake kuna mamlaka inajaribu kuukwamisha kwa kutengeneza watu wasiojitambua kuuhuisha na dini na maisha binafsi ya watu.

Wametengezwa watu wanaohojiwa na kutoa maoni yao. Yaani ni vituko na upuuzi mtupu.. Mpaka unaona kabisa hata huyo aliyewatengeneza akili zake hazina akili kama wao.

Inawezekana kabisa kuna kitu kikubwa zaidi kibaya zaidi cha kuogofya zaidi kuhusiana DPW na Bandari zetu za Tanganyika. Maana baada ya waraka kutoka JK kaibukia huko kwa Wasabato na kutoa nasaha zake zilizoacha maswali mengi kuliko majibu

Mama naye ni mwalikwa huko KKKT sijui atasema nini. Lakini unaweza kutabiri. Chama cha mitume na manabii eti nao wametoa waraka wao unaoupinga wa TEC.

Hizo mbinu zote ni namna ya kutaka kuwatenganisha watanganyika na waraka wa TEC na kutaka kuonesha waraka huo ni wa kikundi cha watu wachache wenye malengo yao mabaya.

TEC hawajakurupuka na hawatajibu mapigo kwakuwa wanajua kwa hakika wanachokifanya na waraka husika utaendelea kusomwa kwa wiki sita mfululizo bila kukoma mpaka hata asiye na masikio ya kusikia kama kenge asikie.

Hii panic ya kijinga ya kutafuta watu mitaani waupinge waraka haitafika popote. Wasabato, KKKT, Pentecost BAKWATA na wengine wote unganeni na TEC kwenye hili mwisho hauko mbali

Umoja wetu ndio mtaji wetu
Mungu ibariki Tanganyika
Mungu wabariki Watanganyika

View attachment 2723488
Mkuu naungana na wewe mimi siyo.mtumiaji mzuri wa
Twitter, Baada ya andiko lako nimepita kule nimegudua twiter kwa Tanzania ina wajinga wengi sana nakiri kusema hivyo.

Nikarudi kuamini that is the reason Magufuli aliipiga chini kuna uzezeta mwingi sana kule. I dont use twiter or instagram unless kuna issue ya maana yenye mchongo
 
..
Tukemee wale wote wanaotaka kujificha kwenye udini pale tu wanapokosolewa kwa makosa waliyoyafanya wenyewe.

Mungu Ibariki Tanzania na watu wote.

Uhuru, Umoja na Amani ...

Nakubaliana nawe Mkuu Mshana Jr kwa hoja yako hiyo.

Yeyote anayepinga Waraka wa TEC kuwa una udini hakika ndiye mwenye hisia ya udini. AKEMEWE KWA NGUVU ZOTE
 
Nakubaliana nawe Mkuu Mshana Jr kwa hoja yako hiyo.

Yeyote anayepinga Waraka wa TEC kuwa una udini hakika ndiye mwenye hisia ya udini. AKEMEWE KWA NGUVU ZOTE
"Kanisa halipingi uwekezaji, lakini ni lazima uwekezaji huo uwe kwa maslahi ya taifa na wananchi waridhike nao. Wananchi wana haki ya kutoa maoni na viongozi wa dini tukiona mambo hayaendi, ni wajibu wetu kushauri na kukemea. Na tunapofanya hivyo msituambie tunachanganya dini na siasa" Askofu Fredrick Shoo, Mkuu wa KKKT.
FB_IMG_1692668747912.jpg
 
Back
Top Bottom