Kinachoendelea Twitter (X) kuhusu maoni ya watu juu ya Waraka wa TEC ni upuuzi mtupu

Kinachoendelea Twitter (X) kuhusu maoni ya watu juu ya Waraka wa TEC ni upuuzi mtupu

Different colors, One people

Hawa bodaboda wa Makumbusho ni balaa!

Naomba mwenye picha ya mwenyekiti wa wafanya biashara Kariakoo aipost😀

20230821_083542.jpg
 
Jamani kwani watu huko kitengoni wameisha!?[emoji23]
20230821_083551.jpg
 
Huu waraka naona umewashika pabaya mno na ni wazi hawana pa kutokea! Si waraka mbaya umesheheni ushauri na tadhahari kwa maslahi ya Watanganyika wote bila kujali imani...
UKitetewa na watu aina ya huyo Mwijaku ni fadhaa.

Sasa huyo ana sentence gani ya kuweza kuukosoa Waraka?

Walivyo Mapunguani, wanamshambulia mtu aliyetumwa kuwasilisha, hiyo ni dhahiri kuwa hao jamaa ni hamnazo.

Kingine, hao ni swala la muda tu, iwe wametumwa au wamejituma, ni swala la muda.

Wanadhani hivi vitu watu huja navyo kwa kukurupuka?
 
Kaka hata hao umoja wamitume na manabii pia wanahaki ya kupinga uwo waraka wa Tec kwa maana wote sisi ni watanzania

Hila wapinge kwa oja co chuk tu kwahiyo kaka uctake wewe kila mtu awaelewe hao Tec

Na kingine unasema et kuna watu wametengenezwa kupinga tec! Umesahau Tz ina watu wengi na kila mtu yupo na akili zake na kupinga co dhambi hata kma jambo linaukweli
 
Tarehe 25 December 2017, Askofu Zakaria Kakobe akiwa kanisani kwenye ibada ya Christmas, katika kanisa la FGBF Mwenge jijini Dar es Salaam, alinukuliwa akituma salamu kwa Rais wa JMT, Dkt. John P. Magufuli...
Yeye Kakobe ametubu?
 
Kaka hata hao umoja wamitume na manabii pia wanahaki ya kupinga uwo waraka wa Tec kwa maana wote sisi ni watanzania

Hila wapinge kwa oja co chuk tu kwahiyo kaka uctake wewe kila mtu awaelewe hao Tec

Na kingine unasema et kuna watu wametengenezwa kupinga tec! Umesahau Tz ina watu wengi na kila mtu yupo na akili zake na kupinga co dhambi hata kma jambo linaukweli
Huyu unamfahamu? Nenda twitter kwanza kawasikilize kisha urejee hapa kwa mjadala
20230821_083542.jpg
20230821_083551.jpg
 
Kwa Rais Mstaafu @jmkikwete na mnaosema Baraza La Maaskofu wana chuki za kidini. Naombeni mnieleweshe:

- Baraza hili la maakofu (TEC) mwaka 2018 lilipotoa waraka wa Pasaka wa kupinga mauaji na utekaji wa watu uliofanywa na Serikali ya Jiwe walikua na vhuki ya Kidini na 'Mkatoliki' Mwenzao Magufuli?

- Mmesahau Askofu Severine Niwemuguzi alinyang’anywa Passport na kuambiwa sio raia kwa sababu ya kupinga uonevu wa
Jiwe, alikua na chuki na Mkatoliki mwenzake?

- Wakati wa COVID Baraza La Maaskofu lilipotoa waraka wa kumpinga Magufuli kuwa COVID haipo na kutaka serikali iruhusu watu wapewe chanjo, walikua na chuki za kidini na Magufuli Mkristo mwenzao?

- Walivyo kemea madudu ya uchaguzi wa 2020 walikuwa na chuki za kidini na Magufuli Mkristo mwenzao?

- Kama kila wakati kukiwa na mjadala wa kitaifa wanatoa Waraka, na hamkuwai kuona shida, kwanini mnataka sasa wasitoe?

- Kwahiyo wakitoa kwa Mkristo mwenzao sio chuki? Wakitoa sasa kwa Muislam ndio wana chuki?
 
Kwa Rais Mstaafu @jmkikwete na mnaosema Baraza La Maaskofu wana chuki za kidini. Naombeni mnieleweshe:

- Baraza hili la maakofu (TEC) mwaka 2018 lilipotoa waraka wa Pasaka wa kupinga mauaji na utekaji wa watu uliofanywa na Serikali ya Jiwe walikua na vhuki ya Kidini na 'Mkatoliki' Mwenzao Magufuli....
Mnaoishi nao hao Watanzania kweli mliumbwa na Mioyo
 
Hao ni wajanja kama wanasiasa, wanajua msiojielewa mtamezwa kwenye hizo points zao walizozianisha vizuri. Kinachotia shaka ni kuwa hakuna majibu katika maswali juu ya mamia ya mikataba ya madini na gesi inayohusu wazungu. Mbona huwa hazitoki waraka kukemea huo unyonyaji? Kwanini?!!!!!!!

Watu wanapokosa majibu wanaamua kufanya reference na kuhitimisha hivyo bila kuhangaika na blah blah za vifungu vya katiba. Wakiamua wanaviweka tu.
 
Huu waraka naona umewashika pabaya mno na ni wazi hawana pa kutokea! Si waraka mbaya umesheheni ushauri na tadhahari kwa maslahi ya Watanganyika wote bila kujali imani, itikadi wala asili zao.

Ni waraka usio na chembe ya udini wala itikadi za kisiasa.. Umetembea kwenye mstari wa katiba na sheria za nchi. Ni mkataba uliozingatia kwa asilimia 100 uzalendo, ustawi, utu na urithi wa taifa hili na tunu zake kwa vizazi vya sasa na vijavyo.. Lakini nyuma yake kuna mamlaka inajaribu kuukwamisha kwa kutengeneza watu wasiojitambua kuuhuisha na dini na maisha binafsi ya watu.

Wametengezwa watu wanaohojiwa na kutoa maoni yao. Yaani ni vituko na upuuzi mtupu.. Mpaka unaona kabisa hata huyo aliyewatengeneza akili zake hazina akili kama wao.

Inawezekana kabisa kuna kitu kikubwa zaidi kibaya zaidi cha kuogofya zaidi kuhusiana DPW na Bandari zetu za Tanganyika. Maana baada ya waraka kutoka JK kaibukia huko kwa Wasabato na kutoa nasaha zake zilizoacha maswali mengi kuliko majibu

Mama naye ni mwalikwa huko KKKT sijui atasema nini. Lakini unaweza kutabiri. Chama cha mitume na manabii eti nao wametoa waraka wao unaoupinga wa TEC.

Hizo mbinu zote ni namna ya kutaka kuwatenganisha watanganyika na waraka wa TEC na kutaka kuonesha waraka huo ni wa kikundi cha watu wachache wenye malengo yao mabaya.

TEC hawajakurupuka na hawatajibu mapigo kwakuwa wanajua kwa hakika wanachokifanya na waraka husika utaendelea kusomwa kwa wiki sita mfululizo bila kukoma mpaka hata asiye na masikio ya kusikia kama kenge asikie.

Hii panic ya kijinga ya kutafuta watu mitaani waupinge waraka haitafika popote. Wasabato, KKKT, Pentecost BAKWATA na wengine wote unganeni na TEC kwenye hili mwisho hauko mbali

Umoja wetu ndio mtaji wetu
Mungu ibariki Tanganyika
Mungu wabariki Watanganyika

View attachment 2723488
Huyu mchimba chumvi wa morogoro namjua hadi chumba alichokuwa analala...
Kwa heshima ya familia yake ya Mzee Mwemba kwa sasa nitakaa kimya...
Mpuuzeni tu....
 
Shikamoo waraka wa TEC, Kati ya nyaraka walizowahi kutoa TEC huu umebamba na ku cover angle zote. Wametembea na katiba mwanzo hadi mwisho. Washenzi na machawa hawachomoki hapa. Watachomoka kwa hoja ipi wakitumia katiba? Hawa maaskofu ni next level sidhani kwamba kuna wengine nao watatoa waraka kuwapinga kwa katiba ile ile labda watumie upuuzi wa kidini
 
Back
Top Bottom