Kinachoendelea Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura 2024

Kinachoendelea Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura 2024

Ndugu wanajukwaa, natumaini mnaendelea vizuri katika harakati za hapa na pale za kujikwamua kiuchumi.
Bila kuwachosha niende moja kwa moja kwenye hoja husika:
Siku za nyuma hivi karibuni Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza nafasi ya kazi ya muda mfupi kwa ajili ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa waandishi wasaidizi na waendeshaji wa BVR ambapo tarehe ya mwisho ya kutumia maombi ilikuwa tarehe 27/04/2024.
Baada ya hapo kumekuwa na maswali mengi watu wakiulizana kwenye mitandao ya kijamii na maswali hayo ambayo watu wamekuwa wakijiuliza yamelenga zaidi juu ya:
1. Lini majibu ama orodha ya waliochaguliwa itatoka?
2. Lini usaili / interview itafanyika?
3. Lini semina itaanza na itafanyika kwa muda gani?
4. Lini kazi yenyewe itaanza na itachukua muda gani?
5. Taarifa juu ya yote hayo yanayojiri yatapatikana kwa njia gani?

Kwa mimi binafsi nadhani kwa mlioomba hizo nafasi muwe watulivu na kwa namna mlivyopokea hayo matangazo ya kazi ndivyo mtakavyojuzwa msije mkapotoshana. Vyanzo vya kuaminika kuna Tovuti ya tume husika, ofisi za kata, vijiji/ mitaa, mkurugenzi e.t.c.

N.B kwa yule atakayekuwa wa kwanza kupata taarifa yoyote sahihi na chanzo sahihi ajulishe wenzake kupitia Uzi huu ama kama una namba zake za simu mjulishe ili asije akapitwa na fursa.
Asanteni na karibuni.
Kama umeomba hiyo nafasi we endelea kufanya shughuli zako tu za day worker usizitegemee hyo maana rushwa ni kubwa sanasana wanasubiri shule zifungwe mwezi wa 6
 
Watendaji kata na wenyeviti wa Vijiji wameketi Leo kujadili majina ya waombaji, kigezo kikubwa ni kuwa wanachama wa CCM ndio wanaopewa kipaumbele zaidi, kama siyo mwanachama basi omba Sana Mungu kuweza kuvuka hicho kinyang'anyiro
kwani kwenye cv na barua kuna kipengele cha uanachama au,wakati tangazo linasema asiwe mwanachama wa chama chochote cha siasa au tume wanavunja kanuni kwa makusudi
 
Watendaji kata na wenyeviti wa Vijiji wameketi Leo kujadili majina ya waombaji, kigezo kikubwa ni kuwa wanachama wa CCM ndio wanaopewa kipaumbele zaidi, kama siyo mwanachama basi omba Sana Mungu kuweza kuvuka hicho kinyang'anyiro
Watajuaje km ni mwanachama au sio mwanachama?
 
Ndugu wanajukwaa, natumaini mnaendelea vizuri katika harakati za hapa na pale za kujikwamua kiuchumi.
Bila kuwachosha niende moja kwa moja kwenye hoja husika:
Siku za nyuma hivi karibuni Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza nafasi ya kazi ya muda mfupi kwa ajili ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa waandishi wasaidizi na waendeshaji wa BVR ambapo tarehe ya mwisho ya kutumia maombi ilikuwa tarehe 27/04/2024.
Baada ya hapo kumekuwa na maswali mengi watu wakiulizana kwenye mitandao ya kijamii na maswali hayo ambayo watu wamekuwa wakijiuliza yamelenga zaidi juu ya:
1. Lini majibu ama orodha ya waliochaguliwa itatoka?
2. Lini usaili / interview itafanyika?
3. Lini semina itaanza na itafanyika kwa muda gani?
4. Lini kazi yenyewe itaanza na itachukua muda gani?
5. Taarifa juu ya yote hayo yanayojiri yatapatikana kwa njia gani?

Kwa mimi binafsi nadhani kwa mlioomba hizo nafasi muwe watulivu na kwa namna mlivyopokea hayo matangazo ya kazi ndivyo mtakavyojuzwa msije mkapotoshana. Vyanzo vya kuaminika kuna Tovuti ya tume husika, ofisi za kata, vijiji/ mitaa, mkurugenzi e.t.c.

N.B kwa yule atakayekuwa wa kwanza kupata taarifa yoyote sahihi na chanzo sahihi ajulishe wenzake kupitia Uzi huu ama kama una namba zake za simu mjulishe ili asije akapitwa na fursa.
Asanteni na karibu

Ndugu wanajukwaa, natumaini mnaendelea vizuri katika harakati za hapa na pale za kujikwamua kiuchumi.
Bila kuwachosha niende moja kwa moja kwenye hoja husika:
Siku za nyuma hivi karibuni Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza nafasi ya kazi ya muda mfupi kwa ajili ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa waandishi wasaidizi na waendeshaji wa BVR ambapo tarehe ya mwisho ya kutumia maombi ilikuwa tarehe 27/04/2024.
Baada ya hapo kumekuwa na maswali mengi watu wakiulizana kwenye mitandao ya kijamii na maswali hayo ambayo watu wamekuwa wakijiuliza yamelenga zaidi juu ya:
1. Lini majibu ama orodha ya waliochaguliwa itatoka?
2. Lini usaili / interview itafanyika?
3. Lini semina itaanza na itafanyika kwa muda gani?
4. Lini kazi yenyewe itaanza na itachukua muda gani?
5. Taarifa juu ya yote hayo yanayojiri yatapatikana kwa njia gani?

Kwa mimi binafsi nadhani kwa mlioomba hizo nafasi muwe watulivu na kwa namna mlivyopokea hayo matangazo ya kazi ndivyo mtakavyojuzwa msije mkapotoshana. Vyanzo vya kuaminika kuna Tovuti ya tume husika, ofisi za kata, vijiji/ mitaa, mkurugenzi e.t.c.

N.B kwa yule atakayekuwa wa kwanza kupata taarifa yoyote sahihi na chanzo sahihi ajulishe wenzake kupitia Uzi huu ama kama una namba zake za simu mjulishe ili asije akapitwa na fursa.
Asanteni na karibuni.
Zoezi linaanza rasmi mwezi wa kumi mwishoni na sio mwezi wa sita kma wengi wanavyodhani, reference ya zoezi la uandikishaji mwaka 2019
 
Kwani serikari imetangaza rasmi kuhusu muda wa huo zoezi kufanyika pamoja na muda wa uchaguzi jamani? Kwanza tuulizeni hayo matokeo au majina ya waliopata hizo nafasi ni lini yatatoka!!!
 
Back
Top Bottom