kyalankota
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 2,594
- 1,462
- Thread starter
- #21
Unauliza au unatoa taarifa?Zoezi litakuwa wiki ya kwanza ya mwez wa sita???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unauliza au unatoa taarifa?Zoezi litakuwa wiki ya kwanza ya mwez wa sita???
Na chupi zitavulika kweliTatizo la ajira ni kubwa aisee,nawahurumia tu dada zangu namna watakavyovuliwa vyupi ili wapate huo ulaji wa laki nne,STAY TUNED
Nimeuliza kakaUnauliza au unatoa taarifa?
Zoez liwe July
Kwanini July?Zoez liwe July
Ili awe likizo, mwanachuo huyoKwanini July?
HahahahaIli awe likizo, mwanachuo huyo
Sina uhakikaNimeuliza kaka
Kama umeomba hiyo nafasi we endelea kufanya shughuli zako tu za day worker usizitegemee hyo maana rushwa ni kubwa sanasana wanasubiri shule zifungwe mwezi wa 6Ndugu wanajukwaa, natumaini mnaendelea vizuri katika harakati za hapa na pale za kujikwamua kiuchumi.
Bila kuwachosha niende moja kwa moja kwenye hoja husika:
Siku za nyuma hivi karibuni Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza nafasi ya kazi ya muda mfupi kwa ajili ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa waandishi wasaidizi na waendeshaji wa BVR ambapo tarehe ya mwisho ya kutumia maombi ilikuwa tarehe 27/04/2024.
Baada ya hapo kumekuwa na maswali mengi watu wakiulizana kwenye mitandao ya kijamii na maswali hayo ambayo watu wamekuwa wakijiuliza yamelenga zaidi juu ya:
1. Lini majibu ama orodha ya waliochaguliwa itatoka?
2. Lini usaili / interview itafanyika?
3. Lini semina itaanza na itafanyika kwa muda gani?
4. Lini kazi yenyewe itaanza na itachukua muda gani?
5. Taarifa juu ya yote hayo yanayojiri yatapatikana kwa njia gani?
Kwa mimi binafsi nadhani kwa mlioomba hizo nafasi muwe watulivu na kwa namna mlivyopokea hayo matangazo ya kazi ndivyo mtakavyojuzwa msije mkapotoshana. Vyanzo vya kuaminika kuna Tovuti ya tume husika, ofisi za kata, vijiji/ mitaa, mkurugenzi e.t.c.
N.B kwa yule atakayekuwa wa kwanza kupata taarifa yoyote sahihi na chanzo sahihi ajulishe wenzake kupitia Uzi huu ama kama una namba zake za simu mjulishe ili asije akapitwa na fursa.
Asanteni na karibuni.
kwani kwenye cv na barua kuna kipengele cha uanachama au,wakati tangazo linasema asiwe mwanachama wa chama chochote cha siasa au tume wanavunja kanuni kwa makusudiWatendaji kata na wenyeviti wa Vijiji wameketi Leo kujadili majina ya waombaji, kigezo kikubwa ni kuwa wanachama wa CCM ndio wanaopewa kipaumbele zaidi, kama siyo mwanachama basi omba Sana Mungu kuweza kuvuka hicho kinyang'anyiro
Watajuaje km ni mwanachama au sio mwanachama?Watendaji kata na wenyeviti wa Vijiji wameketi Leo kujadili majina ya waombaji, kigezo kikubwa ni kuwa wanachama wa CCM ndio wanaopewa kipaumbele zaidi, kama siyo mwanachama basi omba Sana Mungu kuweza kuvuka hicho kinyang'anyiro
Swali zuri sanaWatajuaje km ni mwanachama au sio mwanachama?
Sidhani kama uanachama ni kigezokwani kwenye cv na barua kuna kipengele cha uanachama au,wakati tangazo linasema asiwe mwanachama wa chama chochote cha siasa au tume wanavunja kanuni kwa makusudi
Ndugu wanajukwaa, natumaini mnaendelea vizuri katika harakati za hapa na pale za kujikwamua kiuchumi.
Bila kuwachosha niende moja kwa moja kwenye hoja husika:
Siku za nyuma hivi karibuni Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza nafasi ya kazi ya muda mfupi kwa ajili ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa waandishi wasaidizi na waendeshaji wa BVR ambapo tarehe ya mwisho ya kutumia maombi ilikuwa tarehe 27/04/2024.
Baada ya hapo kumekuwa na maswali mengi watu wakiulizana kwenye mitandao ya kijamii na maswali hayo ambayo watu wamekuwa wakijiuliza yamelenga zaidi juu ya:
1. Lini majibu ama orodha ya waliochaguliwa itatoka?
2. Lini usaili / interview itafanyika?
3. Lini semina itaanza na itafanyika kwa muda gani?
4. Lini kazi yenyewe itaanza na itachukua muda gani?
5. Taarifa juu ya yote hayo yanayojiri yatapatikana kwa njia gani?
Kwa mimi binafsi nadhani kwa mlioomba hizo nafasi muwe watulivu na kwa namna mlivyopokea hayo matangazo ya kazi ndivyo mtakavyojuzwa msije mkapotoshana. Vyanzo vya kuaminika kuna Tovuti ya tume husika, ofisi za kata, vijiji/ mitaa, mkurugenzi e.t.c.
N.B kwa yule atakayekuwa wa kwanza kupata taarifa yoyote sahihi na chanzo sahihi ajulishe wenzake kupitia Uzi huu ama kama una namba zake za simu mjulishe ili asije akapitwa na fursa.
Asanteni na karibu
Zoezi linaanza rasmi mwezi wa kumi mwishoni na sio mwezi wa sita kma wengi wanavyodhani, reference ya zoezi la uandikishaji mwaka 2019Ndugu wanajukwaa, natumaini mnaendelea vizuri katika harakati za hapa na pale za kujikwamua kiuchumi.
Bila kuwachosha niende moja kwa moja kwenye hoja husika:
Siku za nyuma hivi karibuni Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza nafasi ya kazi ya muda mfupi kwa ajili ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa waandishi wasaidizi na waendeshaji wa BVR ambapo tarehe ya mwisho ya kutumia maombi ilikuwa tarehe 27/04/2024.
Baada ya hapo kumekuwa na maswali mengi watu wakiulizana kwenye mitandao ya kijamii na maswali hayo ambayo watu wamekuwa wakijiuliza yamelenga zaidi juu ya:
1. Lini majibu ama orodha ya waliochaguliwa itatoka?
2. Lini usaili / interview itafanyika?
3. Lini semina itaanza na itafanyika kwa muda gani?
4. Lini kazi yenyewe itaanza na itachukua muda gani?
5. Taarifa juu ya yote hayo yanayojiri yatapatikana kwa njia gani?
Kwa mimi binafsi nadhani kwa mlioomba hizo nafasi muwe watulivu na kwa namna mlivyopokea hayo matangazo ya kazi ndivyo mtakavyojuzwa msije mkapotoshana. Vyanzo vya kuaminika kuna Tovuti ya tume husika, ofisi za kata, vijiji/ mitaa, mkurugenzi e.t.c.
N.B kwa yule atakayekuwa wa kwanza kupata taarifa yoyote sahihi na chanzo sahihi ajulishe wenzake kupitia Uzi huu ama kama una namba zake za simu mjulishe ili asije akapitwa na fursa.
Asanteni na karibuni.
Mwezi wa kumi ni uchaguzi au uandiishaji?Zoezi linaanza rasmi mwezi wa kumi mwishoni na sio mwezi wa sita kma wengi wanavyodhani, reference ya zoezi la uandikishaji mwaka 2019
ikiwa mwez wa kumi na uchaguzi kipindi gani?Zoezi linaanza rasmi mwezi wa kumi mwishoni na sio mwezi wa sita kma wengi wanavyodhani, reference ya zoezi la uandikishaji mwaka 2019
Uandikishaji Ni mwezi wa kumi pitia reference ya 2019Mwezi wa kumi ni uchaguzi au uandiishaji?
UandikishajiMwezi wa kumi ni uchaguzi au uandiishaji?