Kinachofanyika Arusha Ni Land Rover Parade, sio Land Rover Festival

Kinachofanyika Arusha Ni Land Rover Parade, sio Land Rover Festival

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Festival ni maadhimisho yanayoadhimishwa kila msimu na ambayo huwa yanaendana na utamaduni wa jamii fulani hasa yakiendana zaidi na dini, sanaa au mtindo wa maisha wa muda mrefu, mfano mzuri ni Diwali Festival, Halloween, Oktoberfest, Rio Carnival, Sauti za Busara n.k

Kinachofanyika huko Arusha kiuhalisia ni Parade, ilipaswa iitwe Land Rover PARADE kwa sababu haikidhi vigezo vyovyote vya festival local au kimataifa. Ni ushamba kuiita hiyo Festival. Land Rover haina historia yoyote ya kipekee na Arusha au hata Tanzania.
 
Festival ni maadhimisho yanayoadhimishwa kila msimj na ambayo huwa yanaendana na utamaduni wa jamii fulani hasa yakiendana zaidi na dini, sanaa au mtindo wa maisha wa muda mrefu, mfano mzuri ni Diwali Festival, Halloween, Oktoberfest, Rio Carnival, Sauti za Busara n.k

Kinachofanyika huko Arusha kiuhalisia ni Parade, ilipaswa iitwe Land Rover PARADE kwa sababu haikidhi vigezo vyovyote vya festival local au kimataifa. Ni ushamba kuiita hiyo Festival. Land Rover haina historia yoyote ya kipekee na Arusha au hata Tanzania.
Tatizo umesoma shule za Kayumba hujui tofauti ya parade na festival
parade inahusisha jambo moja tu Festival inakuwa na mambo Mengi

Landrover Festival mbali na msafara wa Landrover kutakuwa na shamra shamra nyingi zitakazohusisha sherehe , maonyesho ya kitalii ,na vitega uchumi nk
 
Tatizo umesoma shule za Kayumba hujui tofauti ya parade na festival
parade inahusisha jambo moja tu Festival inakuwa na mambo Mengi

Landrover Festival mbali na msafara wa Landrover kutakuwa na shamra shamra nyingi zitakazohusisha sherehe , maonyesho ya kitalii ,na vitega uchumi nk
Festival ni maadhimisho ya kihistoria kila msimu wa jamii fulani, sasa historia gani inaadhimishwa kwenye maonyesho ya Land Rover ambayo unaweza kunasibisha na utamaduni wa Arusha au wa Kitanzania??
 
Festival ni maadhimisho yanayoadhimishwa kila msimj na ambayo huwa yanaendana na utamaduni wa jamii fulani hasa yakiendana zaidi na dini, sanaa au mtindo wa maisha wa muda mrefu, mfano mzuri ni Diwali Festival, Halloween, Oktoberfest, Rio Carnival, Sauti za Busara n.k

Kinachofanyika huko Arusha kiuhalisia ni Parade, ilipaswa iitwe Land Rover PARADE kwa sababu haikidhi vigezo vyovyote vya festival local au kimataifa. Ni ushamba kuiita hiyo Festival. Land Rover haina historia yoyote ya kipekee na Arusha au hata Tanzania.
Unasubiri historia uletewe?

Historia lazima ifosiwe,hakuna ushamba hapo watu wapo sahihi saaaaana


Hio tunajua sisi ni festival,wewe Andika andika huku jf watu wanafanya yao na yanaenda 😄
 
Back
Top Bottom