Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi sawa..Festival ni maadhimisho yanayoadhimishwa kila msimj na ambayo huwa yanaendana na utamaduni wa jamii fulani hasa yakiendana zaidi na dini, sanaa au mtindo wa maisha wa muda mrefu, mfano mzuri ni Diwali Festival, Halloween, Oktoberfest, Rio Carnival, Sauti za Busara n.k
Kinachofanyika huko Arusha kiuhalisia ni Parade, ilipaswa iitwe Land Rover PARADE kwa sababu haikidhi vigezo vyovyote vya festival local au kimataifa. Ni ushamba kuiita hiyo Festival. Land Rover haina historia yoyote ya kipekee na Arusha au hata Tanzania.
Nami huwa simkubali lkn kwa huu ubunifu kajitahidi sana tuJamaa simkubali lakini anawazo zuri sana na likifanyiwa maboresho linaweza kuwa na tija hasa kiuchumi.
Wivu umekujaa.. kunywa sumu ya panya.. sisi ni bata tu arachugaMsifanywe wajinga, mnaambiwa jambo la hovyo ni nyie mmetoa macho tu kushadadia uhovyo.
Naona bado mnabishania lugha ya mkoloni ifae kukuita hata wewe pia ni mshamba ipe jina la kiswahili tuelewe!Festival ni maadhimisho yanayoadhimishwa kila msimj na ambayo huwa yanaendana na utamaduni wa jamii fulani hasa yakiendana zaidi na dini, sanaa au mtindo wa maisha wa muda mrefu, mfano mzuri ni Diwali Festival, Halloween, Oktoberfest, Rio Carnival, Sauti za Busara n.k
Kinachofanyika huko Arusha kiuhalisia ni Parade, ilipaswa iitwe Land Rover PARADE kwa sababu haikidhi vigezo vyovyote vya festival local au kimataifa. Ni ushamba kuiita hiyo Festival. Land Rover haina historia yoyote ya kipekee na Arusha au hata Tanzania.
Pole mkuu. Chuki yako haiwezi kuzuia hilo tukio lisitokee. Iite utakavyo roho yako isuuzike.Msifanywe wajinga, mnaambiwa jambo la hovyo ni nyie mmetoa macho tu kushadadia uhovyo.
Sasa wenzio ambao hawamkubali wanaweka chuki kwenye chochote afanyacho au asemacho.Nami huwa simkubali lkn kwa huu ubunifu kajitahidi sana tu
Parade sio neno la Kiswahili.Paredi la Land Rover
Kijana hujahudhuria?Kwenye ili tuwape hongera iwe festival au parade au kikao
Vijana wanateseka mno wanataka IST festival 🤣Yaani kuna watu wanaketeka unashangaa shida nini? Si muwaache na ujinga wao nyie wherever mfanye matamasha yenu?
Hha hii hapana hafu sio chuma zangu pendwa izoKijana hujahudhuria?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wivu wa kike.
Kwahio long weekend hii hata ka road trip hujapiga?Hha hii hapana hafu sio chuma zangu pendwa izo
Chuki na wivu ukijumlisha unapata uchawi. Wewe umebuni nini? Au ni bingwa wa kukosoa.Anzisha yako yenye vigezo basi tukusifie.Festival ni maadhimisho yanayoadhimishwa kila msimj na ambayo huwa yanaendana na utamaduni wa jamii fulani hasa yakiendana zaidi na dini, sanaa au mtindo wa maisha wa muda mrefu, mfano mzuri ni Diwali Festival, Halloween, Oktoberfest, Rio Carnival, Sauti za Busara n.k
Kinachofanyika huko Arusha kiuhalisia ni Parade, ilipaswa iitwe Land Rover PARADE kwa sababu haikidhi vigezo vyovyote vya festival local au kimataifa. Ni ushamba kuiita hiyo Festival. Land Rover haina historia yoyote ya kipekee na Arusha au hata Tanzania.