Kinachofanyika Arusha Ni Land Rover Parade, sio Land Rover Festival

Kinachofanyika Arusha Ni Land Rover Parade, sio Land Rover Festival

Ikifanyika kwa kiwango hichi kwa miaka mi5 mfululizo itajulikana sana hii kitu. Iwe parade au Festival.

Nipo Arusha sasa. Weekend hii imeanza vizuri. Makonda kajitahidi si haba. Mwitikio si haba, hadi majirani zetu wametutembelea na landrover zao.
 
Moja; Unajuaje kama ikiwa nzuri haitafanyika kila mwaka ?

A festival is a public or private event that is organised for the purpose of celebrating, commemorating or promoting a specific cultural, artistic, religious or social activity. Festivals are usually of limited duration, ranging from a few days to several weeks, and are often held on a regular, annual or biannual basis.

Mbili: Keywords ni usually and often (which does not mean necessarily)

Tatu: Culture ni nini (utamaduni) ; inawezekana watu wanaunganishwa na mapenzi ya gari aina ya landlover kwahio wanakutana ku promote na ku commemorate mapenzi yao ya gari aina ya Land Rover....; hata ukibisha kwamba technically this is not cultural what about social ?!!!

Nadhani this is much ado about nothing so long as inavutia watu na watu wanafurahi for the good who cares hata about semantics ?
 
Tatizo la maada uzoefu wa biashara hana Landrover Festival ni brand name huwezi kuibuka tu na wehu wako ukasena brand name siyo Landrover Festival ni Landrover Parade

Aisee kuwa lofa kila kitu lakini sio kichwani

Hiyo sio Landrover Parade ni Landrover Festival na watangazaji wajitahidi kutangaza hiyo brand sio kutunga brand zao eti ohhh Landrover Parade.Hopeless kabisa

Kwa kweli kama TBC wamenitia hadi kichefuchefu badala ya kukazana kutangaza brand washenzi wanasema Landrover Parade

Wapuuzi wakubwa.Wajikite kurudia kuitangaza hiyo brand sio kujitungia maneno yao
 
Unasubiri historia uletewe?

Historia lazima ifosiwe,hakuna ushamba hapo watu wapo sahihi saaaaana


Hio tunajua sisi ni festival,wewe Andika andika huku jf watu wanafanya yao na yanaenda 😄
Au sio.... kwamba historia ndio inatengenezwa, kwa kuanzia kuvunja rekodi ya guinnes sijui gaines.
NOma mzee
 
Festival ni maadhimisho ya kihistoria kila msimu wa jamii fulani, sasa historia gani inaadhimishwa kwenye maonyesho ya Land Rover ambayo unaweza kunasibisha na utamaduni wa Arusha au wa Kitanzania??
Festival ni 1 tu, NYAMA CHOMA FESTIVAL hiyo najua unakubaliana nayo sababu meno unayo.
 
Sasa wenzio ambao hawamkubali wanaweka chuki kwenye chochote afanyacho au asemacho.
Huo sasa ni mkumbo.
Mtu akifanya jema kati ya makosa mengi mpongeze.

Mtu akifanya baya kati ya mema yake mengi pia mkosea.

Hiyo ndio akili njema
 
Woyoooo
Haters endeleeni kuchonga ngenga. Londo zimesoma 1078 tumemtia kibindoni Mjerumani na rekodi yake ya 632.
This is Tanzania Brooo.
Halla Tanzaniaaaaaaaaaa
 

Attachments

  • IMG-20241012-WA0016.jpg
    IMG-20241012-WA0016.jpg
    65 KB · Views: 1
Sasa si ndo imeanza hivyo na Kila mwaka itaendelea kufanyika au unaona wivu? Wabongo mmh
 
Festival ni maadhimisho yanayoadhimishwa kila msimu na ambayo huwa yanaendana na utamaduni wa jamii fulani hasa yakiendana zaidi na dini, sanaa au mtindo wa maisha wa muda mrefu, mfano mzuri ni Diwali Festival, Halloween, Oktoberfest, Rio Carnival, Sauti za Busara n.k

Kinachofanyika huko Arusha kiuhalisia ni Parade, ilipaswa iitwe Land Rover PARADE kwa sababu haikidhi vigezo vyovyote vya festival local au kimataifa. Ni ushamba kuiita hiyo Festival. Land Rover haina historia yoyote ya kipekee na Arusha au hata Tanzania.
Ingekuwa land cruiser SAWA!
 
Japo makonda ckubaliani nae kwa mengi ila kwa hili nampongeza. Kunaweza kuwa na mapungufu kidogo watarekebisha na kuboresha next time. Tusiongozwe na hisia wakat mwingine tuwe wakweli.
 
Ni ushamba kuiita hiyo Festival. Land Rover haina historia yoyote ya kipekee na Arusha au hata Tanzania.
Lete yako iite Utakavyo, lkn hy ndo imeeanza na itaendelea hvy, tuache wivu wa kike!
 
Back
Top Bottom