Kinachofanyika kwenye kutekwa, kupotezwa au kuuawa bila kujulikana kwa watu popote ulimwenguni

undefinedha ha ha,kumbe na wewe umemng'amua huyu dogo anavyowaspin watu hapa hadi huruma,
 
undefinedha ha ha,kumbe na wewe umemng'amua huyu dogo anavyowaspin watu hapa hadi huruma,
 
undefinedha ha ha,kumbe na wewe umemng'amua huyu dogo anavyowaspin watu hapa hadi huruma,
hayupo serious
IF YOU DO DO IT BIG ila hawa bado wanarukaruka tuu
m naona wanazidi kujidhalilisha tuu
 
kimsingi umejitahidi japo umalkia mwingi utapunguza michango, hapa vipi "you know no nothing"
 
Kuna Mwenyekiti mpya wa Mods wa Jf ? Uzi kama huu ungeshafutwa
Hongereni Jf kwa kufanyia kazi maoni ya kutokufuta nyuzi hovyo
 
Nafurahi Sana kuwaona watu ambao ni critical thinker. Swali: hawa wanayofanya matukio ya kuteka ni akina nani? Na ni wapi huwaficha mateka wao?
 
Kwani mkuu utekaji unaoendelea hapa nchini unatekelezwa na Sirikali?[emoji30][emoji30][emoji30]
 
Haya mambo nimeyajua sana kupitia movies na series

Some time undercover anaweza kutumwa kazi ili a-influence adui, halafu yeye ndio anakuwa influenced na adui, mwisho wa siku anaiba siri kwa waliomtuma halafu anapeleka kwa adui

Hatari sana haya mambo
 
 
Hao hawato baki salama mzee wamefanya uzembe mkubwa Mnoo unaopelekea kutaka kuliingiza taifa kwenye mtafaruku mkubwa dhidi ya Washirika wake ... tena yule mohd salmin alivyo na roho mbaya .. aisee muda huu watakuwa wamesha karibishwa kuzimu huko
 
Hao hawato baki salama mzee wamefanya uzembe mkubwa Mnoo unaopelekea kutaka kuliingiza taifa kwenye mtafaruku mkubwa dhidi ya Washirika wake ... tena yule mohd salmin alivyo na roho mbaya .. aisee muda huu watakuwa wamesha karibishwa kuzimu huko
Kweli kabisa huyu jamaa anaitwa "Abu rasasa" maana yake Baba Risasi

Baada ya kumtumia mmoja wa officials kushindwa kumfanyia wepesi katika majengo aliyokuwa anataka.

Akamtumia bahasha yenye Risasi
Jamaa ni mkatili sana na atakuwa anasubiri mambo yapoe kidogo tu
 
hahaa indeed
 
Dadeki Naam Mkuu huyo Jamaa ni Mafia .. hata ile Ajali iliyotokea Makkah (Hija) 2015 yeye alikuwa ni victim ubabe wake uka sababisha watu wengi kuweza kupoteza UHAI.. lakini hilo likafunikwa na wakubwa wa dunia kwaajili ya kulinda maslahi Yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…