Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe binti acha mdomo shida mechi zako.Wakati huo mmecheza na timu ya aina gani?
Yaani Ethiopia nayo kuna timu ya mpira kweli?
Mngewafunga As Vita Club ama Petro Luanda hapo ndipo mngesema mmefunga timu yenye uhai.
UmesahauWakati huo mmecheza na timu ya aina gani?
Yaani Ethiopia nayo kuna timu ya mpira kweli?
Mngewafunga As Vita Club ama Petro Luanda hapo ndipo mngesema mmefunga timu yenye uhai.
Sikuona mkuu labda ukiniwekea highlights ya mechi iliyotoka 8-2.Umesahau
8_2
Alifungwa nani?
Au hukuona bango
Lol.Wakati huo mmecheza na timu ya aina gani?
Yaani Ethiopia nayo kuna timu ya mpira kweli?
Mngewafunga As Vita Club ama Petro Luanda hapo ndipo mngesema mmefunga timu yenye uhai.
Tulia kolo mlikula tanoWakati huo mmecheza na timu ya aina gani?
Yaani Ethiopia nayo kuna timu ya mpira kweli?
Mngewafunga As Vita Club ama Petro Luanda hapo ndipo mngesema mmefunga timu yenye uhai.
Muone huyu nae si mlikula kono la nyani nyie.Wakati huo mmecheza na timu ya aina gani?
Yaani Ethiopia nayo kuna timu ya mpira kweli?
Mngewafunga As Vita Club ama Petro Luanda hapo ndipo mngesema mmefunga timu yenye uhai.
masikini sasa wale cbe mbona afadhali ya mtibwa sukariKwelii kabisaaaa unaifunga timu 6-0
NOOOOO NOOOOO HATA MNGEWAACHIQ GOLI1
DIARA KAMA YUKO LIKIZO AISEE
HAYABANA
Hahahaha kumbe muuaji yupo JF
Rubbish kabisaaaWakati huo mmecheza na timu ya aina gani?
Yaani Ethiopia nayo kuna timu ya mpira kweli?
Mngewafunga As Vita Club ama Petro Luanda hapo ndipo mngesema mmefunga timu yenye uhai.
Uko sahihi kabisa. Ukiona Yanga anaifunga timu pinzani goli 5 na kuendelea ujue timu hiyo ni mbovu na nyanya kabisaaa!Wakati huo mmecheza na timu ya aina gani?
Yaani Ethiopia nayo kuna timu ya mpira kweli?
Mngewafunga As Vita Club ama Petro Luanda hapo ndipo mngesema mmefunga timu yenye uhai.
hapa ndo napopata picha kwanini FFU wamemwagwa mitaani yote ni kuidhibiti yanga na unyanyasaji wao wa kijinsia na kimpiraKwelii kabisaaaa unaifunga timu 6-0
NOOOOO NOOOOO HATA MNGEWAACHIQ GOLI1
DIARA KAMA YUKO LIKIZO AISEE
HAYABANA
Mu Ethiopia ni mbovu kama Simba tu.. Wote wamekula 7.Wakati huo mmecheza na timu ya aina gani?
Yaani Ethiopia nayo kuna timu ya mpira kweli?
Mngewafunga As Vita Club ama Petro Luanda hapo ndipo mngesema mmefunga timu yenye uhai.