Kinachofanywa na Yanga n ukatili wa kij.....

Kinachofanywa na Yanga n ukatili wa kij.....

Wakati huo mmecheza na timu ya aina gani?

Yaani Ethiopia nayo kuna timu ya mpira kweli?

Mngewafunga As Vita Club ama Petro Luanda hapo ndipo mngesema mmefunga timu yenye uhai.
Wewe binti acha mdomo shida mechi zako.
 
Wakati huo mmecheza na timu ya aina gani?

Yaani Ethiopia nayo kuna timu ya mpira kweli?

Mngewafunga As Vita Club ama Petro Luanda hapo ndipo mngesema mmefunga timu yenye uhai.
Umesahau
8_2
Alifungwa nani?
Au hukuona bango
 
Wameutaka.

Yaani unacheza na timu kubwa halafu unaikazia hapo unategemea nini.
 
Wakati huo mmecheza na timu ya aina gani?

Yaani Ethiopia nayo kuna timu ya mpira kweli?

Mngewafunga As Vita Club ama Petro Luanda hapo ndipo mngesema mmefunga timu yenye uhai.
Lol.
 
Hivi mngevunja rekodi ya simba ya kumpiga mtu wiki 7-0 si mngeandamana au mnajitoa ufahamu kusahau kuwa simba ashapita huko?
 
Wakati huo mmecheza na timu ya aina gani?

Yaani Ethiopia nayo kuna timu ya mpira kweli?

Mngewafunga As Vita Club ama Petro Luanda hapo ndipo mngesema mmefunga timu yenye uhai.
Muone huyu nae si mlikula kono la nyani nyie.
 
Wakati huo mmecheza na timu ya aina gani?

Yaani Ethiopia nayo kuna timu ya mpira kweli?

Mngewafunga As Vita Club ama Petro Luanda hapo ndipo mngesema mmefunga timu yenye uhai.
Uko sahihi kabisa. Ukiona Yanga anaifunga timu pinzani goli 5 na kuendelea ujue timu hiyo ni mbovu na nyanya kabisaaa!
 
Kwelii kabisaaaa unaifunga timu 6-0

NOOOOO NOOOOO HATA MNGEWAACHIQ GOLI1
DIARA KAMA YUKO LIKIZO AISEE

HAYABANA
hapa ndo napopata picha kwanini FFU wamemwagwa mitaani yote ni kuidhibiti yanga na unyanyasaji wao wa kijinsia na kimpira
 
Back
Top Bottom