Kinachoifanya ngono ionekane dili ni mavazi, lakini ukweli ngono yenyewe siyo ishu kiviiile

Kinachoifanya ngono ionekane dili ni mavazi, lakini ukweli ngono yenyewe siyo ishu kiviiile

Anamaanisha tuanze kutembea uchi tu kwani shida nini..[emoji23][emoji23]
Ngono inafanywa iwe yakuvutia zaidi kwasababu tunavaa nguo!.. sijui msamiati nyege anauonaje huyu ndugu..[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daah “msamiati nyege”
 
You got a point son!

Tofauti ya binadamu na viumbe wengine imeanzia kwenye mavazi, ukirejea bustanini Edeni utaona hapo kabla walikuwa uchi... ila akili zilipowarudi (utashi) wakaona haya na kujisitiri.

Na hata hizo jamii ulizotaja ambao kwao ngono si lolote, na kwamba kila mgeni hutunukiwa... mavazi yao ni ushahidi tosha.

Anzia hao makahaba, mavazi yao ni nusu uchi uchi... na hata zile jamii pia hujifunga funga tu kidogo na sehemu kubwa iko wazi.

Ngono hupewa thamani na mavazi tu.
 
You got a point son!

Tofauti ya binadamu na viumbe wengine imeanzia kwenye mavazi, ukirejea bustanini Edeni utaona hapo kabla walikuwa uchi... ila akili zilipowarudi (utashi) wakaona haya na kujisitiri.

Na hata hizo jamii ulizotaja ambao kwao ngono si lolote, na kwamba kila mgeni hutunukiwa... mavazi yao ni ushahidi tosha.

Anzia hao makahaba, mavazi yao ni nusu uchi uchi... na hata zile jamii pia hujifunga funga tu kidogo na sehemu kubwa iko wazi.

Ngono hupewa thamani na mavazi tu.
Ujumbe wako umeshiba
 
Kuna Wakati mtu anakomaa kwelikweli kusaka ngono

Wakati mwingine katika kusaka ngono watu hutumia pesa mingi, mda mwingi au madaraka ili kutimiza tu haja hii

Lakini Ukweli ni kwamba ngono siyo ishu ngumu kupatikana namna hiyo, ngono siyo dili kiivo kiasi Cha kuzungushana na kunyanyasana na kuburusana, kiufupi ngono Ni Kama kivuli tu ambacho hatupaswi kubaniana kujibanza Wakati wa mvua na jua!

Aliye ifanya ngono ionekane ni dili ni yule aliyengundua mavazi. Saikolojia inatuambia kilichofichwa huhitajika zaidi kuliko kilichozagaa.

Asili ya ngono ni Kama kiu ya maji! Huhitaji kuzungushwa ili kupatiwa. Ndiyo maana baadhi ya makabila mgeni rafiki wa kiume akikutembelea kwako, Kama huna wake wengi, sharti umkabidhi mkeo amkarimu mgeni kitandani!

Penzi siyo jamboo kuubwa la kumfanya mtu awaze atalipata wapi. Inatakiwa mtu nyege zikikolea, apatiwe chapu apige gemu nakusepa!

Kiufupi ngono haipaswi kabisa kuwa Jambo la kuumiza kichwa. Ukitaka kuielewa mada hii waulize Malaya ambavyo ngono isivyowashtua mshipa wala kuitetemekea! hii inaashilia dhahili maisha tumeyafanya magumu wenyewe lakini Ukweli ni kwamba hatupaswi hata kuwaza juzi tulifanya ngono na Nani!

..IT IS JUST A MATTER OF HIT& RUN....
Chaiii
 
Kuna Wakati mtu anakomaa kwelikweli kusaka ngono

Wakati mwingine katika kusaka ngono watu hutumia pesa mingi, mda mwingi au madaraka ili kutimiza tu haja hii

Lakini Ukweli ni kwamba ngono siyo ishu ngumu kupatikana namna hiyo, ngono siyo dili kiivo kiasi Cha kuzungushana na kunyanyasana na kuburusana, kiufupi ngono Ni Kama kivuli tu ambacho hatupaswi kubaniana kujibanza Wakati wa mvua na jua!

Aliye ifanya ngono ionekane ni dili ni yule aliyengundua mavazi. Saikolojia inatuambia kilichofichwa huhitajika zaidi kuliko kilichozagaa.

Asili ya ngono ni Kama kiu ya maji! Huhitaji kuzungushwa ili kupatiwa. Ndiyo maana baadhi ya makabila mgeni rafiki wa kiume akikutembelea kwako, Kama huna wake wengi, sharti umkabidhi mkeo amkarimu mgeni kitandani!

Penzi siyo jamboo kuubwa la kumfanya mtu awaze atalipata wapi. Inatakiwa mtu nyege zikikolea, apatiwe chapu apige gemu nakusepa!

Kiufupi ngono haipaswi kabisa kuwa Jambo la kuumiza kichwa. Ukitaka kuielewa mada hii waulize Malaya ambavyo ngono isivyowashtua mshipa wala kuitetemekea! hii inaashilia dhahili maisha tumeyafanya magumu wenyewe lakini Ukweli ni kwamba hatupaswi hata kuwaza juzi tulifanya ngono na Nani!

..IT IS JUST A MATTER OF HIT& RUN....

mleta mada una mapepo, Njoo uombewe kwa Jina la Yesu, Jina lipitalo majina yote!
 
Dmkali nikusanue..
Ngono inaweza isiwe dili kwa wapenzi au wanandoa kutokana nasababu kadha kadha lakini ukweli Ni kuwa ngono Ni tamu kuliko utamu wa madaraka na utajiri.

Duniani hakuna ngono/mapenzi matamu Kama kufanya na mtu unayempenda kwa dhati ya nafsi na kwa akili zako zote.
Weeee acha masihara
 
Back
Top Bottom