Kinachoigharimu Simba ni kupoteza focus katika nyakati muhimu

Ateba, Ngoma, Che Malone..??? Hawa wananipa wasiwasi Sana kama ni wachezaji wenye hadhi ya kucheza simba
 

Post ya jana ya Mo Dewji.

Wakubwa wananisikiliza na kunielewa.
 
Nafikiri mkuu umeongea kila kitu ambacho hata mimi nilikiona kwa hii Simba ya sasa... Timu haina time management ikiwa uwanjani. Hilo ndio tatizo kubwa, nafikiri kwa hili kocha anahusika kwa 100%... Kuna muda hajui timu icheze vipi ikiwa kwenye kipindi kipi, nani aingie wapi kwa ajili ya kufanya nini, hili bado linamsumbua kocha wetu...
 
Hoja ya Nouma kwenda kwenye harusi ni weak point,Mbona wa Yanga walienda na wakaperform......Ahoua pia alikwepo kwenye harusi nikuongezeee..

Kuna maisha baada ya mpira usijifikirie upande wako tu ...La msingi linaicost Simba Nikujipa jina kubwa wakati uwezo wa kupambana ni mdogo game nyiingi za mikoani zimenifanya niongee haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…